Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tehran

  • Mkuu wa Sera za Nje wa EU awasili Tehran na ujumbe wa ngazi za juu

    Mkuu wa Sera za Nje wa EU awasili Tehran na ujumbe wa ngazi za juu

    Apr 16, 2016 07:30

    Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amewasili hapa mjini Tehran akiandamana na ujumbe wa ngazi za juu wa wanasiasa, wawekezaji na wafanyabiashara wa Ulaya katika safari inayolenga kuimarisha uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na EU.

  • Waziri Mkuu wa Italia awasili mjini Tehran

    Waziri Mkuu wa Italia awasili mjini Tehran

    Apr 12, 2016 04:26

    Waziri Mkuu wa Italia Matteo Renzi amewasili mjini Tehran mapema leo akiongoza ujumbe wa ngazi za juu wa kisiasa na kiuchumi wa nchi yake.

  • Iran haitosalimu amri mbele ya madola ya kibeberu

    Iran haitosalimu amri mbele ya madola ya kibeberu

    Mar 25, 2016 15:51

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesistiza kuwa taifa la Iran halitosalimu amri mbele ya matakwa ya madola ya kibeberu.

  • Ayatullah Kermani: Vikosi vya ulinzi vijizatiti kwa silaha za kisasa

    Ayatullah Kermani: Vikosi vya ulinzi vijizatiti kwa silaha za kisasa

    Mar 18, 2016 16:55

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo ya mjini Tehran Ayatullah Muhammad Ali Movahedi-Kermani amesema kuna ulazima wa vikosi vya ulinzi kujizatiti kwa silaha za kisasa kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya maadui.

  • Ayatullah Kermani: Vikosi vya ulinzi vijizatiti kwa silaha za kisasa

    Ayatullah Kermani: Vikosi vya ulinzi vijizatiti kwa silaha za kisasa

    Mar 18, 2016 16:37

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo ya mjini Tehran Ayatullah Muhammad Ali Movahedi-Kermani amesema kuna ulazima wa vikosi vya ulinzi kujizatiti kwa silaha za kisasa kwa ajili ya kukabiliana na vitisho vya maadui.

  • Kashani: Mwamko wa wananchi na jeshi umemaliza njama za adui

    Kashani: Mwamko wa wananchi na jeshi umemaliza njama za adui

    Mar 11, 2016 16:25

    Khatibu wa sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran, Ayatullah Muhammad Emami Kashani amesema kuwa, mwamko wa siku zote wa wananchi katika nyanja mbalimbali na pia uwezo wa majeshi ya ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, umeondoa kila aina ya chokochoko za adui dhidi ya taifa hili.

  • Maziko ya mtegeneza filamu mashuhuri wa Iran

    Maziko ya mtegeneza filamu mashuhuri wa Iran

    Feb 29, 2016 02:35

    Maziko ya mtengeneza filamu mashuhuri wa Iran, Farajullah Salahshur yalifanyika jana Jumapili kwa kushiriki idadi kubwa ya wapenzi wa tasnia ya filamu hapa nchini.

  • Kujitokeza Wairani katika uchaguzi ni ishara ya ufahamu

    Kujitokeza Wairani katika uchaguzi ni ishara ya ufahamu

    Feb 26, 2016 16:15

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran amesema kujitokeza kwa wingi Wairani katika chaguzi mbili za leo ni ishara ya kuwa hai na kuwa na ufahamu na uelewa taifa la Iran.

  • Wairani washukuriwa kwa kushiriki maadhimisho ya Mapinduzi

    Wairani washukuriwa kwa kushiriki maadhimisho ya Mapinduzi

    Feb 12, 2016 15:18

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amewashukuru wananchi wa Iran kwa kujitokeza kwa wingi katika maandamano ya 22 Bahman (11 Februari) kwa mnasaba wa kuadhimisha ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS