Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Teknolojia

  • Iran yazindua satalaiti 3 za Navak-1, Pars-1 iliyoboreshwa, na Pars-2

    Iran yazindua satalaiti 3 za Navak-1, Pars-1 iliyoboreshwa, na Pars-2

    Feb 02, 2025 11:17

    Iran imezindua satalaiti tatu mpya wakati wa hafla iliyofanyika leo Jumapili kuadhimisha Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Anga za Mbali.

  • Teknolojia ya Microsoft ya US yakumbwa na hitilafu na kuitikisa dunia

    Teknolojia ya Microsoft ya US yakumbwa na hitilafu na kuitikisa dunia

    Jul 19, 2024 11:08

    Hitilafu kubwa ya kiteknolojia iliyotokea asubuhi ya leo Ijumaa imesababisha mashirika makubwa ya ndege duniani kusitisha safari zao, mabenki kushindwa kutoa huduma kwa wateja, vyombo vya habari vya kimataifa kushindwa kurusha matangazo yao pamoja na kusimama kwa huduma nyingine nyingi zinazoendeshwa kwa kutumia teknolojia.

  • Iran ni namba moja Ulimwengu wa Kiislamu katika uzalishaji wa sayansi na teknolojia

    Iran ni namba moja Ulimwengu wa Kiislamu katika uzalishaji wa sayansi na teknolojia

    Jul 01, 2024 02:23

    Kwa mujibu wa hifadhidata ya kimataifa ya "Web of Science," Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni ya sita duniani na ya kwanza kati ya nchi za Kiislamu katika uzalishaji wa sayansi na teknolojia ya mtandao wa neva.

  • Tehran yalaani kauli 'ya kuingilia kati' ya Uingereza kuhusu satalaiti ya Nour 3

    Tehran yalaani kauli 'ya kuingilia kati' ya Uingereza kuhusu satalaiti ya Nour 3

    Oct 05, 2023 08:03

    Iran imelaani vikali kauli ya "kiuingiliaji kati" ya serikali ya Uingereza kuhusu kurusha angani satalaiti mpya ya Nour 3 ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Tanzania yapata nafasi muhimu ya sayansi na teknolojia Umoja wa Mataifa

    Tanzania yapata nafasi muhimu ya sayansi na teknolojia Umoja wa Mataifa

    Jan 19, 2022 02:57

    Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa la Masuala ya Kiuchumi na Kijamii, ECOSOC, Collen Vixen Kelapile ameiteua nchi ya Tanzania kuwa Mwenyekiti Mwenza wa Jukwaa la Saba la Wadau Mbalimbali wa Masuala ya Sayansi, Teknolojia na Uvumbuzi katika kutekeleza Agenda ya 2030 ya Maendeleo Endelevu ya Umoja wa Mataifa, SDGs.

  • Iran kuanzisha kituo kikubwa zaidi cha Teknolojia nchini Kenya

    Iran kuanzisha kituo kikubwa zaidi cha Teknolojia nchini Kenya

    Jan 23, 2021 05:06

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuanzisha kituo kikubwa cha ubunifu na teknolojia katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi ikiwa ni katika mkakati wa kuimarisha uhusiano wa nchi hizi mbili rafiki.

  • Nchi za SADC kutumia satalaiti ya pamoja kwa ajili ya ustawi

    Nchi za SADC kutumia satalaiti ya pamoja kwa ajili ya ustawi

    Jan 15, 2020 02:51

    Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC imetangaza mpango wa kutuma angani kwa pamoja sataliti ili kuimarisha maendeleleo endelevu barani Afrika.

  • Jitihada za Marekani za kuzuia maendeleo ya teknolojia ya China

    Jitihada za Marekani za kuzuia maendeleo ya teknolojia ya China

    Dec 09, 2018 02:52

    Tangu alipochukua madaraka, Rais Donald Trump wa Marekani ameisababishia China changamoto mbalimbali. China inahesabiwa kuwa nguvu kubwa zaidi ya pili ya kiuchumi duniani.

  • UN: Teknolojia za kisasa suluhisho la changamoto za kiuchumi, kijamii na kimazingira

    UN: Teknolojia za kisasa suluhisho la changamoto za kiuchumi, kijamii na kimazingira

    May 17, 2018 04:23

    Teknolojia za kisasa ni suluhisho katika kukabiliana na changamoto za kiuchumi, kijamii na kimazingira katika karne ya sasa ya 21.

  • Iran kuongeza ushirikiano wake wa sayansi na teknolojia na nchi za Kiislamu

    Iran kuongeza ushirikiano wake wa sayansi na teknolojia na nchi za Kiislamu

    Jun 02, 2016 04:07

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itapanua zaidi wigo wa ushirikiano wake katika masuala ya sayansi na teknolojia na nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS