-
Kanusho la Iran kwa madai ya uwongo ya Marekani ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump
Jul 18, 2024 10:40Baada ya tukio la kupigwa risasi Donald Trump, rais wa zamani na mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani wa 2024, baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani kwa mara nyingine vikiendeleza propaganda za chuki dhidi ya Iran (Iranphobia) vilidai kuweko mkono wa Iran katika tukio hilo.
-
Tukio la kupigwa risasi Trump; ishara ya kuongezeka ghasia za kisiasa nchini Marekani
Jul 14, 2024 13:22Tukio la kupigwa risasi Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani wakati akizungumza kwenye kampeni ya uchaguzi mbele ya wafuasi wake huko Butler, Pennsylvania, Jumamosi jioni, huku uchaguzi wa rais ukikaribia kufanyika nchini humo, limeibua gumzo kubwa la kisiasa katika vyombo vya habari vya Marekani.
-
Askari wa zamani auwa 27 kanisani Texas nchini Marekani, makumi wajeruhiwa
Nov 06, 2017 03:34Watu wasiopungua 27 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika shambulizi lililofanywa na askari wa zamani wa kikosi cha Jeshi la Anga la Marekani dhidi ya watu waliokuwa kanisani katika mji wa Sutherland Springs jimboni Texas.
-
Watu 11 wauawa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati
Oct 16, 2016 07:55Watu 11 wameuawa katika shambulio la watu wenye silaha kwenye kambi ya wakimbizi huko Jamhuri ya Afrika ya Kati.