Spika wa Majilisi ya ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi ya juzi katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels, ambapo watu zaidi ya 30 waliuawa.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels na kusababisha vifo vya makumi ya watu.