• Larijani alaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels

    Larijani alaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels

    Mar 24, 2016 15:08

    Spika wa Majilisi ya ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi ya juzi katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels, ambapo watu zaidi ya 30 waliuawa.

  • Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels

    Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels

    Mar 23, 2016 07:21

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels na kusababisha vifo vya makumi ya watu.