-
Ubelgiji: Saudia inaeneza fikra za Uwahabi barani Ulaya
Feb 09, 2017 03:48Ubelgiji imeeleza wasi wasi wake juu ya kuenea kwa kasi mwangwi wa Uwahabi katika nchi hiyo na kote bara Ulaya kwa ujumla.
-
Larijani alaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels
Mar 24, 2016 10:38Spika wa Majilisi ya ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi ya juzi katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels, ambapo watu zaidi ya 30 waliuawa.
-
Iran yalaani mashambulizi ya kigaidi ya Brussels
Mar 23, 2016 02:51Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani mashambulizi ya kigaidi yaliyotokea jana katika mji mkuu wa Ubelgiji, Brussels na kusababisha vifo vya makumi ya watu.