Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Waziri Mkuu wa Ufaransa: Russia itabaki kuwa dola kuu lenye nguvu

    Waziri Mkuu wa Ufaransa: Russia itabaki kuwa dola kuu lenye nguvu

    Oct 05, 2022 02:07

    Waziri Mkuu wa Ufaransa Elizabeth Bourne amesema: Russia ilikuwa na itaendelea kuwa dola kuu lenye nguvu, na wala haitaweza kupuuzwa hata baada ya vita vya Ukraine.

  • Ubalozi wa Ufaransa nchini Burkina Faso washambuliwa, Paris inatuhumiwa kumficha Kanali Damiba

    Ubalozi wa Ufaransa nchini Burkina Faso washambuliwa, Paris inatuhumiwa kumficha Kanali Damiba

    Oct 02, 2022 12:04

    Ubalozi wa Ufaransa nchini Burkina Faso umeshambuliwa baada ya Paris kushutumiwa kwamba imempa hifadhi kamanda wa jeshi la Burkina Faso, Luteni Kanali Paul-Henri Damiba aliyeng'olewa madarakani.

  • Mali yaituhumu Ufaransa kwamba, imeisaliti baada ya kuondoa majeshi yake

    Mali yaituhumu Ufaransa kwamba, imeisaliti baada ya kuondoa majeshi yake

    Sep 25, 2022 10:02

    Kanali Abdoulaye Maiga, Waziri Mkuu wa Muda wa Mali ameituhumu Ufaransa kwamba, imelitelekeza taifa hilo la magharibi mwa Afrika na kwamba, nchi yake imesalitiwa.

  • Mkusanyiko wa kulalamikia kufukuzwa nchini Ufaransa Imam wa Swala ya Jamaa

    Mkusanyiko wa kulalamikia kufukuzwa nchini Ufaransa Imam wa Swala ya Jamaa

    Sep 06, 2022 10:33

    Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu katika mataifa ya Ulaya hususan Ufaransa ungali unaendelea.

  • Safari ya Rais wa Ufaransa nchini Algeria

    Safari ya Rais wa Ufaransa nchini Algeria

    Aug 28, 2022 13:02

    Kufuatia kuendelea mvutano kati ya Ufaransa na Algeria, Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameitembelea nchi hiyo ya Kiafrika kwa lengo la kuboresha uhusiano ulioharibika na kufungua "ukurasa mpya" katika uhusiano wa pande mbili.

  • Algeria na Ufaransa zakubaliana kuanzisha ushirikiano mpya

    Algeria na Ufaransa zakubaliana kuanzisha ushirikiano mpya

    Aug 28, 2022 07:06

    Algeria na Ufaransa zimesaini tamko la pamoja la "ushirikiano mpya" mwishoni mwa ziara ya siku tatu ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa nchini Algeria.

  • Mgogoro wa nishati Ufaransa wamlazimisha Macron kuzuru koloni la zamani

    Mgogoro wa nishati Ufaransa wamlazimisha Macron kuzuru koloni la zamani

    Aug 26, 2022 07:05

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amewasili Algeria, koloni la kitambo la nchi hiyo ya Ulaya katika safari inayolenga kuitaka nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika iongeze kiwango cha gesi inayouza barani Ulaya.

  • Yemen yaonya kuhusu harakati za kutia shaka za askari wa US, Ufaransa

    Yemen yaonya kuhusu harakati za kutia shaka za askari wa US, Ufaransa

    Aug 19, 2022 04:05

    Bunge la Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen limetadharisha kuhusu harakati na nyendo za kutiliwa shaka za wanajeshi wa Marekani na Ufaransa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu kusini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Mali yasema Ufaransa inasaidia magaidi, yaitisha kikao Baraza la Usalama

    Mali yasema Ufaransa inasaidia magaidi, yaitisha kikao Baraza la Usalama

    Aug 18, 2022 07:29

    Mali imeliomba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kufanya mkutano wa dharura ili kusitisha kile inachokitaja kuwa ni "vitendo vya uchokozi" vinavyofanywa na Ufaransa kwa kukiuka mamlaka yake, kuunga mkono makundi ya magaidi wakufurishaji na ujasusi.

  • Ukomo wa uwepo wa wanajeshi wa Ufaransa nchini Mali

    Ukomo wa uwepo wa wanajeshi wa Ufaransa nchini Mali

    Aug 16, 2022 12:13

    Sambamba na kuendelea mvutano kati ya Ufaransa na Mali, hatimaye Paris imetangaza ukomo wa uwepo wa wanajeshi wake katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS