Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ufaransa

  • Wanajeshi wa mwisho wa Ufaransa waondoka Mali

    Wanajeshi wa mwisho wa Ufaransa waondoka Mali

    Aug 16, 2022 07:43

    Mabaki ya wanajeshi wa Ufaransa waliondoka nchini Mali jana Jumatatu, kuashiria mwisho wa Operesheni ya Barkhane katika nchi hiyo ya eneo la Sahel barani Afrika.

  • Umoja wa Mataifa walaani Ufaransa kwa kupiga marufuku hijabu ya wanawake wa Kiislamu

    Umoja wa Mataifa walaani Ufaransa kwa kupiga marufuku hijabu ya wanawake wa Kiislamu

    Aug 06, 2022 03:50

    Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa karibuni na Kamati ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa Ufaransa imekiuka Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Kiraia na Kisiasa kwa kumzuia mwanamke mmoja aliyekuwa amevalia hijabu kushiriki kwenye kozi ya elimu ya watu wazima iliyofanyika katika shule moja ya upili nchini humo.

  • Safari ya Mohammed bin Salman nchini Ufaransa; haki za binadamu zilizosahaulika

    Safari ya Mohammed bin Salman nchini Ufaransa; haki za binadamu zilizosahaulika

    Jul 31, 2022 05:04

    Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman aliwasili mjini Paris siku ya Alhamisi Julai 28, na kukaribishwa vizuri na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa.

  • Macron akosolewa kwa 'kumtandikia zulia jekundu muuaji wa Khashoggi'

    Macron akosolewa kwa 'kumtandikia zulia jekundu muuaji wa Khashoggi'

    Jul 30, 2022 03:46

    Wanaharakati na watetezi wa haki za binadamu wamemkosoa vikali Rais Emmanuel Macron wa Ufarasa kwa kumpokea Mrithi wa Ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman, ambaye anatuhumiwa kutoa amri ya kuuawa mwanahabari Jamal Khashoggi, huko nchini Uturuki miaka 4 iliyopita.

  • Raisi: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilitia doa muamana wa kisiasa

    Raisi: Azimio la IAEA dhidi ya Iran lilitia doa muamana wa kisiasa

    Jul 24, 2022 03:27

    Rais wa Iran amesema azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) lilikuwa na taathira hasi kwa muamana na irada ya kisiasa ya pande husika.

  • Mwisho wa uwepo wa wanajeshi wa Ufaransa nchini Mali

    Mwisho wa uwepo wa wanajeshi wa Ufaransa nchini Mali

    Jul 04, 2022 04:11

    Sambamba na kuendelea kwa mvutano kati ya Ufaransa na Mali, hatimaye Paris imetangaza ukomo wa kuwepo kwa vikosi vya askari wa nchi za Ulaya vinavyojulikana kama Takuba, nchini Mali. Vikosi vya jeshi la Ufaransa vimekuwepo nchini Mali kwa takriban miaka 10 kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi.

  • Kuendelea mtikisiko katika soko la nishati, Russia yaikatia gesi Ufaransa

    Kuendelea mtikisiko katika soko la nishati, Russia yaikatia gesi Ufaransa

    Jun 20, 2022 02:33

    Huku vita vya Russia na Ukraine vikiendelea na vikwazo vya nchi za Magharibi kuwekewa Moscow, mauzo ya gesi ya Russia kwa Ulaya yamepungua sana na kuziacha nchi nyingi za bara hilo zikikumbwa na tatizo la kujidhaminia nishati na kuongezeka gharama ya bidhaa hiyo muhimu.

  • Ufaransa yaendelea kuondoa wanajeshi wake nchini Mali

    Ufaransa yaendelea kuondoa wanajeshi wake nchini Mali

    Jun 15, 2022 02:41

    Ufaransa imeendelea kuwaondoa wanajeshi wake nchini Mali, sambamba na kukabidhi kambi yake ya kijeshi ya Menaka kwa vikosi vya nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Mustakabali wenye giza wa Macron; uchaguzi wa Bunge Ufaransa waingia duru ya pili

    Mustakabali wenye giza wa Macron; uchaguzi wa Bunge Ufaransa waingia duru ya pili

    Jun 15, 2022 02:12

    Matokeo ya awali ya uchaguzi wa Bunge nchini Ufaransa yanaonyesha kuwa, hakuna muungano wowote uliofanikiwa kupata asilimia 50 ya viti na kwa muktadha huo uchaguzi huo umeingia duru ya pili.

  • Iran yajibu matamshi ya Ufaransa, Ujerumani kuhusu meli za mafuta za Ugiriki

    Iran yajibu matamshi ya Ufaransa, Ujerumani kuhusu meli za mafuta za Ugiriki

    Jun 01, 2022 09:58

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa taarifa na kukosoa taarifa zinazofanana za Ujerumani na Ufaransa kuhusu meli za mafuta za Ugiriki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS