-
Rais wa Ufaransa atoa amri ya kuchunguzwa nafasi ya Paris katika mauaji ya halaiki nchini Rwanda
Apr 06, 2019 21:57Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameipatia kamisheni moja ya nchi hiyo jukumu la kufuatilia iwapo Paris ilikuwa na nafasi katika mauaji ya halaiki ya muongo wa 90 nchini Rwanda au la.
-
Facebook, You Tube zashtakiwa kwa kurusha mubashara mauaji ya Waislamu New Zealand
Mar 26, 2019 03:07Baraza la Waislamu nchini Ufaransa (CFCM) limeifungulia mashitaka mitandao ya kijamii ya Facebook na You Tube kwa kurusha hewani mubashara mauaji ya kutisha ya Waislamu nchini New Zealand.
-
Mataifa mbalimbali yatuma salamu za pole na rambirambi kufuatia janga la mafuriko Iran
Mar 25, 2019 22:38Kufuatia mafuriko yaliyoikumba mikoa kadhaa ya Iran na kupelekea kwa akali watu 19 kufariki dunia na makumi ya wengine kujeruhiwa, balozi za nchi mbalimbali hapa Tehran zimetoa mkono wa pole kwa familia zilizopoteza ndugu zao walioaga dunia katika maafa haya ya mafuriko.
-
Mashirika ya kutetea haki za bindamu yaitaka Ufaransa isitishe mauzo ya silaha zake kwa Saudia
Mar 21, 2019 20:48Mashirika 12 ya Yemen na ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu yameitaka Ufaransa isitishe uuzaji wa silaha zake kwa Saudi Arabia, na kujishughulisha zaidi na mambo ambayo yatasaidia kukomesha vita dhidi ya Yemen.
-
Maandamano ya "Vizibao vya Njano" yafanyika kwa wiki ya 18 Ufaransa
Mar 17, 2019 01:13Maandamano ya vugu vugu la "Vizibao vya Njano" yameendelea katika mitaa ya mji mkuu wa Ufaransa, Paris na miji mingine ya nchi hiyo kwa wiki ya 18 mfululizo huku waandamanaji wakiyataja maandamano ya jana kuwa ya "Makataa."
-
Maandamano ya Vizibao vya Njano yafanyika kwa wiki ya 17 dhidi ya Macron, Ufaransa
Mar 09, 2019 11:39Maandamano ya wananchi wa Ufaransa ya kupinga siasa za serikali ya nchi hiyo mashuhuri kama maandamano ya harakatri ya Visibao vya Njano yamefanyika leo kwa wiki ya 17.
-
Serikali ya Ufaransa yalaumiwa ndani na nje ya nchi kwa kuingilia kijeshi mgogoro wa Chad
Feb 14, 2019 12:07Uingiliaji wa serikali ya Ufaransa katika mchakato wa kisiasa nchini Chad kwa madai na kisingizio cha kupambana na ugaidi umeibua wimbi la lawama na ukosoaji ndani ya nchi zote mbili.
-
Chuki dhidi ya Waisraeli yaongezeka kwa 74% nchini Ufaransa
Feb 12, 2019 23:02Serikali ya Ufaransa imesema vitendo na matamshi ya chuki dhidi ya Mayahudi wanaoishi katika nchi hiyo ya Ulaya yameongezeka kwa asilimia 74, rekodi ambayo haijawahi kushuhudiwa tena.
-
Mvutano usio wa kawaida wa kisiasa kati ya Ufaransa na Italia; ufa unaozidi kupanuka katika Umoja wa Ulaya
Feb 09, 2019 00:14Umoja wa Ulaya umekuwa ukikabiliwa na changamoto kadhaa katika miaka ya hivi karibuni na tofauti za mitazamo kuhusiana na jinsi ya kukabiliana nazo zimezidi kuongeza nyufa katika umoja huo.
-
Taarifa: Ufaransa ilifahamu njama za mauaji ya kimbari Rwanda
Feb 07, 2019 19:08Shirika la Ujasusi la Ufaransa DGSE lilikuwa na taarifa za kiitelijensia kuhusu njama ya mauaji ya rais wa zamani wa Rwanda, Juvenal Habyarimana, yaliyopelekea kuanza kwa mauaji ya kimbari nchini humo mwaka 1994.