Umoja wa Mataifa umelaani shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea katika jumba la biashara katika mji wa Munich nchini Ujerumani.
Takwimu mpya zinaonyesha kujiri matukio 50 ya ufyatuaji risasi katika majimbo tofauti huko Marekani katika kipindi cha masaa 24 pekee.