Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Uganda yaanza zoezi la kuwarejesha nyumbani wananchi waliokwamishwa na corona + Sauti

    Uganda yaanza zoezi la kuwarejesha nyumbani wananchi waliokwamishwa na corona + Sauti

    Jun 24, 2020 15:34

    Serikali ya Uganda imeanza kutekeleza zoezi la kuwarejesha nyumbani wananchi wa nchi hiyo waliokwama katika nchi za ndani na nje ya Afrika kutokana na kuenea ugonjwa wa COVID-19. Serikali ya Uganda imepanga kuwaweka kwenye karantini watu wote wanaorejea nchini humo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala

  • Vigogo wa upinzani Uganda waunda muungano kukabiliana na Museveni

    Vigogo wa upinzani Uganda waunda muungano kukabiliana na Museveni

    Jun 15, 2020 15:16

    Viongozi wa upinzani nchini Uganda wametangaza kuunda muungano mpya kwa lengo la kumuondoa madarakani Rais Yoweri Museveni ambaye ameitawala nchi hiyo kwa muda wa miaka 34 sasa.

  • SAUTI, Madereva wa malori kutoka nchi za Kenya na Tanzania: Tunapoingia Uganda tunapachikwa jina la Corona sambamba na kunyanyaswa

    SAUTI, Madereva wa malori kutoka nchi za Kenya na Tanzania: Tunapoingia Uganda tunapachikwa jina la Corona sambamba na kunyanyaswa

    May 13, 2020 16:36

    Madereva wa malori ya masafa marefu kutoka Kenya na Uganda kwenda nchi jirani ya Uganda wamelalamikia vitendo vya kunyanyaswa na kunyanyapaliwa baada ya kuingia nchi hiyo.

  • Rais wa Uganda: Ni wendawazimu kufanya uchaguzi katika mazingira ya corona

    Rais wa Uganda: Ni wendawazimu kufanya uchaguzi katika mazingira ya corona

    May 12, 2020 14:48

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema itakuwa ni kosa kubwa kwa taifa hilo kufanya uchaguzi wa rais mapema mwaka ujao iwapo mlipuko wa virusi va corona utashtadi nchini humo.

  • Jeshi la Uganda mbioni kuzuia corona miongoni mwa askari wake Somalia

    Jeshi la Uganda mbioni kuzuia corona miongoni mwa askari wake Somalia

    May 04, 2020 02:27

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Uganda (UPDF) limetangaza hatua za kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa corona au COVID-19 miongoni mwa askari wake walioko chini Somalia na Guinea ya Ikweta baada ya mmoja wao kupimwa na kugundulika kuwa na virusi vya corona.

  • Marais Rouhani na Museveni wataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na Uganda

    Marais Rouhani na Museveni wataka kuimarishwa uhusiano wa Iran na Uganda

    Apr 22, 2020 13:08

    Rais Hassan Rouhani ameutaja uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uganda kuwa mzuri na uliojengeka katika misingi ya heshima, na kusisitiza kuwa Iran iko tayari kuboresha uhusiano wa pande mbili na nchi hiyo ya Afrika Mashariki katika nyuga zote.

  • Rais Rouhani: Inapasa nchi zote zitangaze misimamo yao kuhusu hatua za kiuadui za Marekani

    Rais Rouhani: Inapasa nchi zote zitangaze misimamo yao kuhusu hatua za kiuadui za Marekani

    Apr 22, 2020 03:14

    Rais Hassan Rouhani amesema: Katika mazingira maalumu ya hivi sasa yanayotokana na kuenea virusi vya corona duniani, nchi zote zinapaswa kuwa bega kwa bega katika kupambana na kirusi hicho angamizi na kutangaza kwa uwazi kabisa misimamo yao kuhusiana na hatua za kiuadui za Marekani.

  • Uganda yashtakiwa EACJ kwa 'sheria kandamizi' za kudhibiti corona

    Uganda yashtakiwa EACJ kwa 'sheria kandamizi' za kudhibiti corona

    Apr 11, 2020 11:11

    Wakili mmoja wa Uganda ameishtaki serikali ya Rais Yoweri Museveni katika Mahakama ya Uadilifu ya Afrika Mashariki EACJ akitaka kuondolewa zuio la kutoka nje lililotangazwa na serikali kama moja ya njia za kuzuia maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 (corona) nchini humo.

  • Waathirika wa corona Rwanda wafikia 50, Rais Museveni atangaza ongezeko la waathiriwa Uganda

    Waathirika wa corona Rwanda wafikia 50, Rais Museveni atangaza ongezeko la waathiriwa Uganda

    Mar 27, 2020 15:33

    Janga la ugonjwa wa COVID19 na virusi vya corona linaloisumbua dunia limeendelea kulinyemea kwa kasi kubwa bara la Afrika baada ya Rwanda kuripoti maambukizi mapya 9 ya virusi hivyo.

  • SAUTI, Wachina sita waliokuwa wamewekwa karantini nchini Uganda wanaswa wakijaribu kutoroka

    SAUTI, Wachina sita waliokuwa wamewekwa karantini nchini Uganda wanaswa wakijaribu kutoroka

    Mar 23, 2020 16:37

    Watu sita wenye uraia wa China wametiwa mbano nchini Uganda, wakati wakijaribu kutoroka kutoka nchi hiyo mwakachana wa Jumuisha ya Afrika Mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS