-
Uganda yamkamata jenerali wa zamani wa jeshi kwa tuhuma za kutaka kumpindua Museveni
Mar 13, 2020 12:49Jeshi la Polisi Uganda limetangaza leo Ijumaa habari ya kumtia mbaroni jenerali wa zamani wa jeshi la nchi hiyo kwa madai ya kuomba msaada na uungaji mkono wa Rwanda ili kumuondoa madarakani Rais Yoweri Museveni wa nchi hiyo.
-
Watu 20 wauawa katika shambulizi dhidi ya kambi ya jeshi la Uganda
Mar 11, 2020 03:56Kwa akali watu 20 wameuawa katika shambulizi la wanamgambo waliobeba silaha dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini magharibi mwa Uganda, mpakani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
SAUTI: Wapiganaji magaidi kutoka Kongo DR waliovamia kambi ya jeshi la Uganda, UPDF na kutenda jinai, watiwa mbaroni 25 kati yao
Mar 09, 2020 16:26Wapiganaji 25 kutoka kundi linalotambuliwa na serikali ya Uganda kuwa la kigaidi wametiwa mbaroni na jeshi la nchi hiyo UPDF karibu na mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongoa.
-
Wilaya nyingine 15 zavamiwa na nzige nchini Uganda + Sauti
Feb 18, 2020 11:17Janga la nzige limezidi kuwa tishio barani Afrika huku wizara ya kushughulikia majanga nchini Uganda ikisema kuwa, wilaya nyingine 15 zimevamiwa na wadudu hao nchini humo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala
-
Rais wa Iran kuitembelea Uganda kushiriki 'Kongamano la Kusini'
Feb 14, 2020 07:37Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kuitembelea Uganda karibuni hivi kushiriki Kongamano la Kusini
-
Virusi vya Corona; watu 100 wawekwa karantini nchini Uganda
Feb 08, 2020 02:59Wasafiri zaidi ya 100 wawekwa karantini baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege mjini Kampala nchini Uganda wakitokea nchini China.
-
Juhudi za utawala haramu wa Israel za kutafuta washirika barani Afrika
Feb 05, 2020 06:55Ikiwa ni katika kuendeleza juhudi zake za kuwa na ushawishi na kutafuta washirika kwa minajili ya kutekeleza siasa zake za kivamizi, Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala haramu amekutana na kufanya mazungumzo mjini Entebe Uganda na Luteni Jenerali Abdul-Fattah al-Burhan, Kiongozi wa Baraza la Utawala la Sudan.
-
Chama cha FDC chailaumu vikali serikali ya Uganda + Sauti
Jan 20, 2020 16:18Kwa mara nyingine tena, mwanasiasa mkongwe katika chama cha FDC nchini Uganda, Daktari Kizza Besigye ameikosoa vikali serikali ya Rais Yoweri Museveni kutokana na ubabe na ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya dola dhidi ya wapinzani. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.
-
Mapigano yasababisha mamia ya raia wa Kongo DR wakimbilie Uganda
Jan 02, 2020 14:11Mamia ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchini Uganda ndani ya mwezi mmoja uliopita kutokana na kushtadi mapigano ya kikabila nchini kwao.
-
Uganda yapongezwa na WHO kwa kukazania afya ya jamii + Sauti
Dec 27, 2019 15:45Serikali ya Uganda imepongezwa kwa kusimamia na kukazania vyema afya katika jamii kuanzia mashinani. Pongezi hizo zimetolewa na Shirika la Afya Duniani, WHO. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala…