Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Uganda yamkamata jenerali wa zamani wa jeshi kwa tuhuma za kutaka kumpindua Museveni

    Uganda yamkamata jenerali wa zamani wa jeshi kwa tuhuma za kutaka kumpindua Museveni

    Mar 13, 2020 12:49

    Jeshi la Polisi Uganda limetangaza leo Ijumaa habari ya kumtia mbaroni jenerali wa zamani wa jeshi la nchi hiyo kwa madai ya kuomba msaada na uungaji mkono wa Rwanda ili kumuondoa madarakani Rais Yoweri Museveni wa nchi hiyo.

  • Watu 20 wauawa katika shambulizi dhidi ya kambi ya jeshi la Uganda

    Watu 20 wauawa katika shambulizi dhidi ya kambi ya jeshi la Uganda

    Mar 11, 2020 03:56

    Kwa akali watu 20 wameuawa katika shambulizi la wanamgambo waliobeba silaha dhidi ya kambi moja ya jeshi kaskazini magharibi mwa Uganda, mpakani na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • SAUTI: Wapiganaji magaidi kutoka Kongo DR waliovamia kambi ya jeshi la Uganda, UPDF na kutenda jinai, watiwa mbaroni 25 kati yao

    SAUTI: Wapiganaji magaidi kutoka Kongo DR waliovamia kambi ya jeshi la Uganda, UPDF na kutenda jinai, watiwa mbaroni 25 kati yao

    Mar 09, 2020 16:26

    Wapiganaji 25 kutoka kundi linalotambuliwa na serikali ya Uganda kuwa la kigaidi wametiwa mbaroni na jeshi la nchi hiyo UPDF karibu na mpaka wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongoa.

  • Wilaya nyingine 15 zavamiwa na nzige nchini Uganda + Sauti

    Wilaya nyingine 15 zavamiwa na nzige nchini Uganda + Sauti

    Feb 18, 2020 11:17

    Janga la nzige limezidi kuwa tishio barani Afrika huku wizara ya kushughulikia majanga nchini Uganda ikisema kuwa, wilaya nyingine 15 zimevamiwa na wadudu hao nchini humo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala

  • Rais wa Iran kuitembelea Uganda kushiriki 'Kongamano la Kusini'

    Rais wa Iran kuitembelea Uganda kushiriki 'Kongamano la Kusini'

    Feb 14, 2020 07:37

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anatazamiwa kuitembelea Uganda karibuni hivi kushiriki Kongamano la Kusini

  • Virusi vya Corona; watu 100 wawekwa karantini nchini Uganda

    Virusi vya Corona; watu 100 wawekwa karantini nchini Uganda

    Feb 08, 2020 02:59

    Wasafiri zaidi ya 100 wawekwa karantini baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege mjini Kampala nchini Uganda wakitokea nchini China.

  • Juhudi za utawala haramu wa Israel za kutafuta washirika barani Afrika

    Juhudi za utawala haramu wa Israel za kutafuta washirika barani Afrika

    Feb 05, 2020 06:55

    Ikiwa ni katika kuendeleza juhudi zake za kuwa na ushawishi na kutafuta washirika kwa minajili ya kutekeleza siasa zake za kivamizi, Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala haramu amekutana na kufanya mazungumzo mjini Entebe Uganda na Luteni Jenerali Abdul-Fattah al-Burhan, Kiongozi wa Baraza la Utawala la Sudan.

  • Chama cha FDC chailaumu vikali serikali ya Uganda + Sauti

    Chama cha FDC chailaumu vikali serikali ya Uganda + Sauti

    Jan 20, 2020 16:18

    Kwa mara nyingine tena, mwanasiasa mkongwe katika chama cha FDC nchini Uganda, Daktari Kizza Besigye ameikosoa vikali serikali ya Rais Yoweri Museveni kutokana na ubabe na ukandamizaji unaofanywa na vyombo vya dola dhidi ya wapinzani. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.

  • Mapigano yasababisha mamia ya raia wa Kongo DR wakimbilie Uganda

    Mapigano yasababisha mamia ya raia wa Kongo DR wakimbilie Uganda

    Jan 02, 2020 14:11

    Mamia ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchini Uganda ndani ya mwezi mmoja uliopita kutokana na kushtadi mapigano ya kikabila nchini kwao.

  • Uganda yapongezwa na WHO kwa kukazania afya ya jamii + Sauti

    Uganda yapongezwa na WHO kwa kukazania afya ya jamii + Sauti

    Dec 27, 2019 15:45

    Serikali ya Uganda imepongezwa kwa kusimamia na kukazania vyema afya katika jamii kuanzia mashinani. Pongezi hizo zimetolewa na Shirika la Afya Duniani, WHO. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala…

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS