Wilaya nyingine 15 zavamiwa na nzige nchini Uganda + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i59233-wilaya_nyingine_15_zavamiwa_na_nzige_nchini_uganda_sauti
Janga la nzige limezidi kuwa tishio barani Afrika huku wizara ya kushughulikia majanga nchini Uganda ikisema kuwa, wilaya nyingine 15 zimevamiwa na wadudu hao nchini humo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala
(last modified 2023-11-27T12:14:11+00:00 )
Feb 18, 2020 11:17 UTC

Janga la nzige limezidi kuwa tishio barani Afrika huku wizara ya kushughulikia majanga nchini Uganda ikisema kuwa, wilaya nyingine 15 zimevamiwa na wadudu hao nchini humo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala