Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Mazungumzo ya Uganda na Rwanda yagonga mwamba

    Mazungumzo ya Uganda na Rwanda yagonga mwamba

    Dec 14, 2019 08:08

    Mkutano wa wajumbe wa Rwanda na Uganda uliofanyika jana Ijumaa jijini Kampala haujakuwa na tija.

  • Idadi ya waliokufa kutokana na mafuriko Burundi yafika 43, Uganda 22

    Idadi ya waliokufa kutokana na mafuriko Burundi yafika 43, Uganda 22

    Dec 08, 2019 12:10

    Idadi ya watu walipoteza maisha kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi kadhaa za Afrika Mashariki imeongezeka.

  • Tume ya Uchaguzi Uganda yakumbwa na kashfa nyingine mpya + Sauti

    Tume ya Uchaguzi Uganda yakumbwa na kashfa nyingine mpya + Sauti

    Dec 02, 2019 16:59

    Baada ya Tume ya Uchaguzi nchini Uganda kufunguliwa mashtaka ya makosa ya kukaa ofisini kinyume cha sheria, tume hiyo sasa imekumbwa na kashfa nyingine ya kisiasa... Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.

  • Rwanda: Tunafuatilia kadhia ya kukamatwa mamia ya raia wetu Uganda

    Rwanda: Tunafuatilia kadhia ya kukamatwa mamia ya raia wetu Uganda

    Nov 26, 2019 14:55

    Balozi wa Rwanda jijini Kampala amesema wanafuatilia kwa karibu habari ya kukamatwa mamia ya Wanyarwanda na maafisa usalama wa Uganda, katika mji wa Kisoro, magharibi mwa Uganda.

  • Zaidi ya familia 50 zahamishwa katika mpaka wa Uganda na Kenya kutokana na mafuriko + Sauti

    Zaidi ya familia 50 zahamishwa katika mpaka wa Uganda na Kenya kutokana na mafuriko + Sauti

    Nov 25, 2019 15:40

    Familia zaidi ya 50 zimehamishwa kutoka kwenye mpaka wa Uganda na Kenya kutokana na kuhofia maafa yanayoweza kusababishwa na mvua kubwa zinazonyesha mfululizo. Kigozi Ismail na ripoti zaidi kutoka Kampala.

  • SAUTI, Wafanyabiashara wa Uganda: Rwanda bado haijatufungulia kikamilifu mpaka wake

    SAUTI, Wafanyabiashara wa Uganda: Rwanda bado haijatufungulia kikamilifu mpaka wake

    Nov 19, 2019 16:03

    Wafanyabiashara wa Uganda wameendelea kulalamikia hatua ya serikali ya Rwanda ya kutofungua kikamilifu mipaka yake.

  • Waganda 800 wasaini waraka wa kutaka kufikishwa ICC Rais Museveni

    Waganda 800 wasaini waraka wa kutaka kufikishwa ICC Rais Museveni

    Nov 14, 2019 02:43

    Zaidi ya wananchi 800 wa Uganda wamesaini waraka wa kushinikiza kufikishwa katika Mahakama ya Kimataia ya Jinai ICC, Rais Yoweri Museveni wa nchi hiyo.

  • SAUTI, Wakimbizi wa Kongo DR wanaoishi Uganda, waahidi kurejea makwao iwapo usalama utarejea mashariki mwa Kongo

    SAUTI, Wakimbizi wa Kongo DR wanaoishi Uganda, waahidi kurejea makwao iwapo usalama utarejea mashariki mwa Kongo

    Nov 11, 2019 16:34

    Wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wameahidi kurejea makwao iwapo maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo yatarejea katika hali ya utulivu.

  • Museveni kuwakutanisha ana kwa ana Rais wa Sudan Kusini na Machar

    Museveni kuwakutanisha ana kwa ana Rais wa Sudan Kusini na Machar

    Nov 05, 2019 07:59

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda anatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa ana kwa ana baina ya Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini na kinara wa upinzani Riek Machar jijini Kampala.

  • Bunge la Uganda lataka kuondolewa nyongeza ya karo Chuo Kikuu Makerere + Sauti

    Bunge la Uganda lataka kuondolewa nyongeza ya karo Chuo Kikuu Makerere + Sauti

    Nov 01, 2019 16:28

    Bunge la Uganda limependekeza kuondolewa nyongeza ya karo baada ya kuongezeka maandamano na upinzani mkubwa wa wanachuo wa Chuo Kikuu cha Makerere. Maelezo zaidi na mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS