-
SAUTI, Rais Museven wa Uganda: Russia ilizisaidia sana nchi za Afrika kudai uhuru wao, hivyo iendeleze roho hiyo
Oct 25, 2019 16:00Rais Yoweri Museven wa Uganda ameitaka Russia kupanua zaidi ushirikiano wake na mataifa ya Afrika huku akiipongeza nchi hiyo kutokana na juhudi zake za kusaidia harakati za kujikomboa za nchi za bara hilo.
-
Uganda yawatia mbaroni watu 16 kwa kushiriki vitendo vya ubaradhuli
Oct 24, 2019 16:44Serikali ya Uganda imewatia mbaroni wanaharakati 16 kwa tuhuma za kushiriki vitendo vya ubaradhuli nchini humo.
-
Uganda yawapa chanjo ya surua na polio watoto milioni 18
Oct 16, 2019 07:32Wizara ya Afya ya Uganda kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani WHO zinatazamiwa kuanza kuwapa chanjo za surua (measles) na ugonjwa wa kupooza (polio) watoto milioni 18 wenye chini ya umri wa miaka 15 nchini humo.
-
WHO: Kujiua ndiyo sababu kuu ya vifo vya watu nchini Uganda
Oct 14, 2019 10:34Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa karibu asilimia 10 ya vifo vya watu nchini Uganda vinatokana na kujiua.
-
Marekani, EU: Tunawaunga mkono mabaradhuli wa Uganda
Oct 12, 2019 08:05Marekani na nchi za Ulaya zimetiwa kiwewe na azma ya Uganda ya kutoa adhabu ya kifo kwa watu watakaopatikana na hatia ya kushiriki vitendo vya ubaradhuli nchini humo.
-
Uganda yapongeza "Ubunifu wa Amani ya Hormuz" wa Iran
Sep 27, 2019 13:58Waziri Mkuu wa Uganda amepongeza na kukaribisha mpango wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa "Ubunifu wa Amani ya Hormuz."
-
SAUTI, Huku mkutano wa CPC ukianza nchini Uganda, weledi wamekosoa vikao hivyo kuwa havina faida kwa Afrika
Sep 23, 2019 17:05Mkutano wa nchi za Jumuiya ya Madola umeanza shughuli zake mjini Kampala, Uganda kwa kuhudhuriwa na wajumbe kutoka nchi zaidi ya 40.
-
Rwanda na Uganda zaahidi kufungamana na Makubaliano ya Luanda
Sep 17, 2019 13:52Rwanda na Uganda kwa mara nyingine tena zimesisizia umuhimu wa kufungamana na Makubaliano ya Luanda yanayozitaka nchi mbili hizo jirani zijizuie na vitendo vyovyote vya uhasama.
-
Waziri, Mkuu wa Polisi Uganda walaumiwa kwa kuruhusu unyanyasaji + Sauti
Sep 17, 2019 06:22Waziri wa Usalama wa Uganda na Mkuu wa Jeshi la Polisi la nchi hiyo wanatuhumiwa kutowajibika ipasavyo katika kupambana na uvunjaji wa haki za washukiwa wa makosa mbalimbali nchini humo. Kigozi Ismail na taarifa zaidi kutoka Kampala
-
Umoja wa Mataifa waliunga mkono jeshi la Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda
Sep 08, 2019 02:56Umoja wa Mataifa umesisitiza kuwa unaliunga mkono jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda wa ADF.