-
Waganda 800 wasaini waraka wa kutaka kufikishwa ICC Rais Museveni
Nov 13, 2019 23:13Zaidi ya wananchi 800 wa Uganda wamesaini waraka wa kushinikiza kufikishwa katika Mahakama ya Kimataia ya Jinai ICC, Rais Yoweri Museveni wa nchi hiyo.
-
SAUTI, Wakimbizi wa Kongo DR wanaoishi Uganda, waahidi kurejea makwao iwapo usalama utarejea mashariki mwa Kongo
Nov 11, 2019 13:04Wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, wameahidi kurejea makwao iwapo maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo yatarejea katika hali ya utulivu.
-
Museveni kuwakutanisha ana kwa ana Rais wa Sudan Kusini na Machar
Nov 05, 2019 04:29Rais Yoweri Museveni wa Uganda anatazamiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa ana kwa ana baina ya Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini na kinara wa upinzani Riek Machar jijini Kampala.
-
Bunge la Uganda lataka kuondolewa nyongeza ya karo Chuo Kikuu Makerere + Sauti
Nov 01, 2019 12:58Bunge la Uganda limependekeza kuondolewa nyongeza ya karo baada ya kuongezeka maandamano na upinzani mkubwa wa wanachuo wa Chuo Kikuu cha Makerere. Maelezo zaidi na mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail.
-
SAUTI, Rais Museven wa Uganda: Russia ilizisaidia sana nchi za Afrika kudai uhuru wao, hivyo iendeleze roho hiyo
Oct 25, 2019 12:30Rais Yoweri Museven wa Uganda ameitaka Russia kupanua zaidi ushirikiano wake na mataifa ya Afrika huku akiipongeza nchi hiyo kutokana na juhudi zake za kusaidia harakati za kujikomboa za nchi za bara hilo.
-
Uganda yawatia mbaroni watu 16 kwa kushiriki vitendo vya ubaradhuli
Oct 24, 2019 13:14Serikali ya Uganda imewatia mbaroni wanaharakati 16 kwa tuhuma za kushiriki vitendo vya ubaradhuli nchini humo.
-
Uganda yawapa chanjo ya surua na polio watoto milioni 18
Oct 16, 2019 04:02Wizara ya Afya ya Uganda kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani WHO zinatazamiwa kuanza kuwapa chanjo za surua (measles) na ugonjwa wa kupooza (polio) watoto milioni 18 wenye chini ya umri wa miaka 15 nchini humo.
-
WHO: Kujiua ndiyo sababu kuu ya vifo vya watu nchini Uganda
Oct 14, 2019 07:04Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa karibu asilimia 10 ya vifo vya watu nchini Uganda vinatokana na kujiua.
-
Marekani, EU: Tunawaunga mkono mabaradhuli wa Uganda
Oct 12, 2019 04:35Marekani na nchi za Ulaya zimetiwa kiwewe na azma ya Uganda ya kutoa adhabu ya kifo kwa watu watakaopatikana na hatia ya kushiriki vitendo vya ubaradhuli nchini humo.
-
Uganda yapongeza "Ubunifu wa Amani ya Hormuz" wa Iran
Sep 27, 2019 10:28Waziri Mkuu wa Uganda amepongeza na kukaribisha mpango wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wa "Ubunifu wa Amani ya Hormuz."