Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Waziri Mkuu wa Uganda aitwa Bungeni kuhusu machafuko ya Afrika Kusini + Sauti

    Waziri Mkuu wa Uganda aitwa Bungeni kuhusu machafuko ya Afrika Kusini + Sauti

    Sep 07, 2019 08:54

    Bunge la Uganda limemwita Waziri Mkuu wa nchini hiyo Bw. Ruhakana Bungeni ili kutoa maelezo kuhusu hali ya raia wa nchi hiyo katika machafuko ya Afrika Kusini. Kigozi Ismail na maelezo zaidi...

  • Kesi nyingine ya ugonjwa wa Ebola yathibitishwa nchini Uganda

    Kesi nyingine ya ugonjwa wa Ebola yathibitishwa nchini Uganda

    Aug 31, 2019 03:02

    Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa msichana mmoja mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepatikana na virusi vya Ebola nchini Uganda. Wizara hiyo imesema kuwa, msichana huyo mwenye umri wa miaka 9, aliwasili nchini Uganda akitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ingawa hata hivyo haikumtaja jina lake. 

  • UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana

    UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana

    Aug 31, 2019 02:47

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa, elimu ya wakimbizi iko hatarini na inaonesha kuwa kadiri watoto wakimbizi wanavyozidi kukua ndivyo vikwazo vya kupata elimu vinavyozidi kuongezeka.

  • Kesi mpya ya Ebola yagunduliwa nchini Uganda + Sauti

    Kesi mpya ya Ebola yagunduliwa nchini Uganda + Sauti

    Aug 30, 2019 16:44

    Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa msichana mmoja mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepatikana na virusi vya Ebola nchini Uganda. Wizara hiyo imesema kuwa, msichana huyo mwenye umri wa miaka 9, aliwasili nchini Uganda akitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ingawa hata hivyo haikumtaja jina lake. 

  • Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC

    Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC

    Aug 30, 2019 08:00

    Wizara ya afya ya Uganda imetangaza kesi ya pili ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola katika eneo la Kasese, kilomita 472 kutoka mji mkuu wa Kampala, baada ya mgonjwa mmoja wa Ebola kuingia nchini humo kutoka nchi jirani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Katibu Mkuu wa UN apongeza mapatano ya Uganda na Rwanda

    Katibu Mkuu wa UN apongeza mapatano ya Uganda na Rwanda

    Aug 24, 2019 02:44

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekaribisha kusainiwa makubaliano ya maelewano baina ya marais wa Uganda na Rwanda, yanayolenga kurejesha uhusiano wa pande mbili katika hali ya kawaida.

  • Uganda yaanza jaribio kubwa zaidi la utoaji chanjo ya Ebola

    Uganda yaanza jaribio kubwa zaidi la utoaji chanjo ya Ebola

    Aug 06, 2019 13:50

    Uganda imeanza jaribio kubwa zaidi la utoaji wa chanjo dhidi ya homa hatari ya Ebola kufuatia kuwepo wasiwasi wa kuenea pakubwa maambukizo ya ugonjwa huo kutokea katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Watu 12 wauawa katika mashambulio ya wanamgambo wa ADF huko DRC

    Watu 12 wauawa katika mashambulio ya wanamgambo wa ADF huko DRC

    Jul 23, 2019 14:30

    Watu 12 wameuawa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakiwemo watoto wawili kufuatia mashambulio ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la ADF la Uganda.

  • Iran na Uganda kuimarisha uhusiano wao wa kiutamaduni

    Iran na Uganda kuimarisha uhusiano wao wa kiutamaduni

    Jul 07, 2019 02:20

    Waziri wa Jinsia na Utamaduni wa Uganda amesema nchi hiyo ya Afrika Mashariki ina hamu ya kuimarisha uhusiano wake wa kiutamaduni na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Ebola yaua katika kesi ya kwanza ya ugonjwa huo nchini Uganda

    Ebola yaua katika kesi ya kwanza ya ugonjwa huo nchini Uganda

    Jun 12, 2019 12:58

    Kijana aliyekuwa na umri wa miaka mitano ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola, hii ikiwa ni kesi ya kwanza ya maradhi hayo hatari kuthibitishwa katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS