-
Waziri Mkuu wa Uganda aitwa Bungeni kuhusu machafuko ya Afrika Kusini + Sauti
Sep 07, 2019 08:54Bunge la Uganda limemwita Waziri Mkuu wa nchini hiyo Bw. Ruhakana Bungeni ili kutoa maelezo kuhusu hali ya raia wa nchi hiyo katika machafuko ya Afrika Kusini. Kigozi Ismail na maelezo zaidi...
-
Kesi nyingine ya ugonjwa wa Ebola yathibitishwa nchini Uganda
Aug 31, 2019 03:02Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa msichana mmoja mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepatikana na virusi vya Ebola nchini Uganda. Wizara hiyo imesema kuwa, msichana huyo mwenye umri wa miaka 9, aliwasili nchini Uganda akitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ingawa hata hivyo haikumtaja jina lake.
-
UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana
Aug 31, 2019 02:47Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa, elimu ya wakimbizi iko hatarini na inaonesha kuwa kadiri watoto wakimbizi wanavyozidi kukua ndivyo vikwazo vya kupata elimu vinavyozidi kuongezeka.
-
Kesi mpya ya Ebola yagunduliwa nchini Uganda + Sauti
Aug 30, 2019 16:44Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa msichana mmoja mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepatikana na virusi vya Ebola nchini Uganda. Wizara hiyo imesema kuwa, msichana huyo mwenye umri wa miaka 9, aliwasili nchini Uganda akitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ingawa hata hivyo haikumtaja jina lake.
-
Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC
Aug 30, 2019 08:00Wizara ya afya ya Uganda imetangaza kesi ya pili ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola katika eneo la Kasese, kilomita 472 kutoka mji mkuu wa Kampala, baada ya mgonjwa mmoja wa Ebola kuingia nchini humo kutoka nchi jirani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Katibu Mkuu wa UN apongeza mapatano ya Uganda na Rwanda
Aug 24, 2019 02:44Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekaribisha kusainiwa makubaliano ya maelewano baina ya marais wa Uganda na Rwanda, yanayolenga kurejesha uhusiano wa pande mbili katika hali ya kawaida.
-
Uganda yaanza jaribio kubwa zaidi la utoaji chanjo ya Ebola
Aug 06, 2019 13:50Uganda imeanza jaribio kubwa zaidi la utoaji wa chanjo dhidi ya homa hatari ya Ebola kufuatia kuwepo wasiwasi wa kuenea pakubwa maambukizo ya ugonjwa huo kutokea katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Watu 12 wauawa katika mashambulio ya wanamgambo wa ADF huko DRC
Jul 23, 2019 14:30Watu 12 wameuawa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakiwemo watoto wawili kufuatia mashambulio ya wanamgambo wa kundi la kigaidi la ADF la Uganda.
-
Iran na Uganda kuimarisha uhusiano wao wa kiutamaduni
Jul 07, 2019 02:20Waziri wa Jinsia na Utamaduni wa Uganda amesema nchi hiyo ya Afrika Mashariki ina hamu ya kuimarisha uhusiano wake wa kiutamaduni na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ebola yaua katika kesi ya kwanza ya ugonjwa huo nchini Uganda
Jun 12, 2019 12:58Kijana aliyekuwa na umri wa miaka mitano ameaga dunia kutokana na ugonjwa wa Ebola, hii ikiwa ni kesi ya kwanza ya maradhi hayo hatari kuthibitishwa katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.