Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • SAUTI, Huku mkutano wa CPC ukianza nchini Uganda, weledi wamekosoa vikao hivyo kuwa havina faida kwa Afrika

    SAUTI, Huku mkutano wa CPC ukianza nchini Uganda, weledi wamekosoa vikao hivyo kuwa havina faida kwa Afrika

    Sep 23, 2019 13:35

    Mkutano wa nchi za Jumuiya ya Madola umeanza shughuli zake mjini Kampala, Uganda kwa kuhudhuriwa na wajumbe kutoka nchi zaidi ya 40.

  • Rwanda na Uganda zaahidi kufungamana na Makubaliano ya Luanda

    Rwanda na Uganda zaahidi kufungamana na Makubaliano ya Luanda

    Sep 17, 2019 09:22

    Rwanda na Uganda kwa mara nyingine tena zimesisizia umuhimu wa kufungamana na Makubaliano ya Luanda yanayozitaka nchi mbili hizo jirani zijizuie na vitendo vyovyote vya uhasama.

  • Waziri, Mkuu wa Polisi Uganda walaumiwa kwa kuruhusu unyanyasaji + Sauti

    Waziri, Mkuu wa Polisi Uganda walaumiwa kwa kuruhusu unyanyasaji + Sauti

    Sep 17, 2019 01:52

    Waziri wa Usalama wa Uganda na Mkuu wa Jeshi la Polisi la nchi hiyo wanatuhumiwa kutowajibika ipasavyo katika kupambana na uvunjaji wa haki za washukiwa wa makosa mbalimbali nchini humo. Kigozi Ismail na taarifa zaidi kutoka Kampala

  • Umoja wa Mataifa waliunga mkono jeshi la Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda

    Umoja wa Mataifa waliunga mkono jeshi la Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda

    Sep 07, 2019 22:26

    Umoja wa Mataifa umesisitiza kuwa unaliunga mkono jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika mapambano dhidi ya waasi wa Uganda wa ADF.

  • Waziri Mkuu wa Uganda aitwa Bungeni kuhusu machafuko ya Afrika Kusini + Sauti

    Waziri Mkuu wa Uganda aitwa Bungeni kuhusu machafuko ya Afrika Kusini + Sauti

    Sep 07, 2019 04:24

    Bunge la Uganda limemwita Waziri Mkuu wa nchini hiyo Bw. Ruhakana Bungeni ili kutoa maelezo kuhusu hali ya raia wa nchi hiyo katika machafuko ya Afrika Kusini. Kigozi Ismail na maelezo zaidi...

  • Kesi nyingine ya ugonjwa wa Ebola yathibitishwa nchini Uganda

    Kesi nyingine ya ugonjwa wa Ebola yathibitishwa nchini Uganda

    Aug 30, 2019 22:32

    Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa msichana mmoja mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepatikana na virusi vya Ebola nchini Uganda. Wizara hiyo imesema kuwa, msichana huyo mwenye umri wa miaka 9, aliwasili nchini Uganda akitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ingawa hata hivyo haikumtaja jina lake. 

  • UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana

    UNHCR: Hali ya elimu ya wakimbizi ni mbaya sana

    Aug 30, 2019 22:17

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema kuwa, elimu ya wakimbizi iko hatarini na inaonesha kuwa kadiri watoto wakimbizi wanavyozidi kukua ndivyo vikwazo vya kupata elimu vinavyozidi kuongezeka.

  • Kesi mpya ya Ebola yagunduliwa nchini Uganda + Sauti

    Kesi mpya ya Ebola yagunduliwa nchini Uganda + Sauti

    Aug 30, 2019 12:14

    Wizara ya Afya ya Uganda imesema kuwa msichana mmoja mkimbizi kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amepatikana na virusi vya Ebola nchini Uganda. Wizara hiyo imesema kuwa, msichana huyo mwenye umri wa miaka 9, aliwasili nchini Uganda akitokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ingawa hata hivyo haikumtaja jina lake. 

  • Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC

    Kesi ya pili ya Ebola nchini Uganda huku 2,000 wakipoteza maisha DRC

    Aug 30, 2019 03:30

    Wizara ya afya ya Uganda imetangaza kesi ya pili ya maambukizi ya ugonjwa wa Ebola katika eneo la Kasese, kilomita 472 kutoka mji mkuu wa Kampala, baada ya mgonjwa mmoja wa Ebola kuingia nchini humo kutoka nchi jirani Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Katibu Mkuu wa UN apongeza mapatano ya Uganda na Rwanda

    Katibu Mkuu wa UN apongeza mapatano ya Uganda na Rwanda

    Aug 23, 2019 22:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amekaribisha kusainiwa makubaliano ya maelewano baina ya marais wa Uganda na Rwanda, yanayolenga kurejesha uhusiano wa pande mbili katika hali ya kawaida.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS