Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Waislamu Uganda kuendelea kushinikiza mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo

    Waislamu Uganda kuendelea kushinikiza mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo

    Jun 06, 2019 06:18

    Viongozi wa Kiislamu nchini Uganda wamesisitiza kuwa wataendelea kushinikiza utekelezwaji wa mfumo wa benki za Kiislamu nchini humo.

  • Waislamu walaumiwa kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao + Sauti

    Waislamu walaumiwa kwa kuuana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao + Sauti

    May 27, 2019 16:25

    Waislamu wa zama hizi wamelaumiwa kwa kumalizana wenyewe kwa wenyewe na kumsahau adui yao halisi. Mwandishi wetu wa Kampala Kigozi Ismail na taarifa kamili.

  • Ripoti: Watu milioni 10 Afrika Mashariki wanavuta bangi, Tanzania yaongoza

    Ripoti: Watu milioni 10 Afrika Mashariki wanavuta bangi, Tanzania yaongoza

    May 25, 2019 10:24

    Utafiti mpya umefichua kuwa, takriban watu milioni 10 katika kanda ya Afrika Mashariki wanavuta bangi kinyume cha sheria, huku Tanzania ikishika nafasi ya kwanza katika orodha hiyo.

  • Uganda yaongeza tahadhari ya kukabiliana na ugonjwa wa Ebola + Sauti

    Uganda yaongeza tahadhari ya kukabiliana na ugonjwa wa Ebola + Sauti

    May 13, 2019 17:57

    Nchini Uganda hatua mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa kukabiliana na ugonjwa hatari wa Ebola usiingie nchini humo kutokea nchi jirani ya DRC hasa kutokana na wimbi kubwa la wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kumiminika nchini Uganda. Mwandishi wa Radio Tehran ana ripoti zaidi kutoka Kampala.

  • Yoweri Museveni ataka viongozi wa

    Yoweri Museveni ataka viongozi wa "maisha" watawale Afrika, wapinzani wapinga

    May 13, 2019 14:28

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameyataka mataifa ya Afrika yaondoe sheria zinazowazuia viongozi wenye umri mkubwa na waiotawala muda mrefu kuwania urais katika nchi zao. Ametoa mwito huo mwezi mmoja baada ya Mahakama ya Juu nchini Uganda kuunga mkono hatua ya bunge la nchi hiyo ya kuondoa ukomo wa kuwania urais nchini humo, ili kumpa nafasi Museveni ya kuendelea kuwa rais.

  • SAUTI, Rais Museven wa Uganda: Ufisadi wa viongozi wa serikali niliowachagua unanivunja moyo sana, kwani nilitaraji wawe waadilifu

    SAUTI, Rais Museven wa Uganda: Ufisadi wa viongozi wa serikali niliowachagua unanivunja moyo sana, kwani nilitaraji wawe waadilifu

    May 10, 2019 17:06

    Rais Yoweri Museven wa Uganda amesema kuwa, amekatishwa tamaa na mienendo hasi ya viongozi wa serikali aliowachagua ambapo awali alidhani kwamba wangekuwa waadilifu kazini.

  • SAUTI, Uganda yavipiga kufuli vyombo 13 vya habari kwa kutangaza habari zililo kinyume na sera za serikali

    SAUTI, Uganda yavipiga kufuli vyombo 13 vya habari kwa kutangaza habari zililo kinyume na sera za serikali

    May 06, 2019 15:42

    Serikali ya Uganda imevipiga kufuli vyombo 13 vya habari nchini humo kwa tuhuma za kutangaza habari zinazoenda kinyume na sera za serikali ya Kampala.

  • CAFOMI: Wahamiaji haramu kutoka DRC yumkini wakaeneza Ebola Uganda

    CAFOMI: Wahamiaji haramu kutoka DRC yumkini wakaeneza Ebola Uganda

    May 03, 2019 13:41

    Uganda imejiweka katika hali ya tahadhari kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi nchini humo ugonjwa hatari wa Ebola kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa homa hiyo.

  • Polisi mjini Kampala wapambana na vijana wenye hasira + Sauti

    Polisi mjini Kampala wapambana na vijana wenye hasira + Sauti

    Apr 29, 2019 16:57

    Ghasia za kisiasa na kijamii zimeongezeka mjini Kampala Uganda na kuwalazimisha polisi kutumia nguvu kukabiliana na ghasia hizo. Mwandishi wetu wa Kampala Kigozi Ismail na maelezo zaidi.

  • Uganda yalaani hatua za upande mmoja za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Uganda yalaani hatua za upande mmoja za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Apr 29, 2019 04:15

    Waziri Mshauri katika Masuala ya Kigeni nchini Uganda amelaani hatua za upande mmoja za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS