Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • SAUTI, Uganda yavipiga kufuli vyombo 13 vya habari kwa kutangaza habari zililo kinyume na sera za serikali

    SAUTI, Uganda yavipiga kufuli vyombo 13 vya habari kwa kutangaza habari zililo kinyume na sera za serikali

    May 06, 2019 11:12

    Serikali ya Uganda imevipiga kufuli vyombo 13 vya habari nchini humo kwa tuhuma za kutangaza habari zinazoenda kinyume na sera za serikali ya Kampala.

  • CAFOMI: Wahamiaji haramu kutoka DRC yumkini wakaeneza Ebola Uganda

    CAFOMI: Wahamiaji haramu kutoka DRC yumkini wakaeneza Ebola Uganda

    May 03, 2019 09:11

    Uganda imejiweka katika hali ya tahadhari kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi nchini humo ugonjwa hatari wa Ebola kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa homa hiyo.

  • Polisi mjini Kampala wapambana na vijana wenye hasira + Sauti

    Polisi mjini Kampala wapambana na vijana wenye hasira + Sauti

    Apr 29, 2019 12:27

    Ghasia za kisiasa na kijamii zimeongezeka mjini Kampala Uganda na kuwalazimisha polisi kutumia nguvu kukabiliana na ghasia hizo. Mwandishi wetu wa Kampala Kigozi Ismail na maelezo zaidi.

  • Uganda yalaani hatua za upande mmoja za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Uganda yalaani hatua za upande mmoja za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Apr 28, 2019 23:45

    Waziri Mshauri katika Masuala ya Kigeni nchini Uganda amelaani hatua za upande mmoja za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti

    Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti

    Apr 27, 2019 02:21

    Kongamano kuhusu mustakbali wa vijana wa Kiislamu barani Afrika linaendelea katika mji mkuu wa Uganda Kampala. Viongozi wa Kiislamu kutoka zaidi ya nchi 25 wanashiriki mkutano huo. Mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail ana maelezo zaidi...

  • Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua makumi ya watu Tanzania na Uganda

    Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua makumi ya watu Tanzania na Uganda

    Apr 24, 2019 03:29

    Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afrika Mashariki zimesababisha vifo vya makumi ya watu katika nchi za Uganda na Tanzania.

  • IEA: Kenya na Uganda zinatakatisha 'fedha chafu' za Sudan Kusini

    IEA: Kenya na Uganda zinatakatisha 'fedha chafu' za Sudan Kusini

    Apr 21, 2019 23:00

    Ripoti ya Taasisi ya Masuala ya Uchumi IEA imefichua kuwa, Kenya na Uganda zimefeli kuzuia mzunguko wa pesa haramu zinazotoka katika nchi changa zaidi barani Afrika, Sudan Kusini.

  • SAUTI, Hatimaye mahkama ya kilele nchini Uganda yamsafishia njia Rais Museven kuweza kugombea urais 2021

    SAUTI, Hatimaye mahkama ya kilele nchini Uganda yamsafishia njia Rais Museven kuweza kugombea urais 2021

    Apr 19, 2019 13:52

    Hatimaye mahkama ya kilele nchini Uganda imetoa hukumu ya kesi ya rufaa iliyofunguliwa na mwanasheria Male Mabirizi ambayo ilikuwa ikipinga kuondolewa kipengee cha umri wa mgombea urais.

  • Uganda yasema iko tayari kuchunguza suala la kumpa hifadhi Omar al-Bashir

    Uganda yasema iko tayari kuchunguza suala la kumpa hifadhi Omar al-Bashir

    Apr 17, 2019 02:36

    Waziri anayeshughulikia masuala ya kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje Ya Uganda amesema kwamba nchi yake itachunguza suala la kumpa hifadhi Omar al-Bashir, rais wa Sudan aliyeng'olewa madarakani na ambaye anasakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Bunge nchini Uganda lapasisha bajeti ya kununua ndege ya taifa + Sauti

    Bunge nchini Uganda lapasisha bajeti ya kununua ndege ya taifa + Sauti

    Mar 29, 2019 21:35

    Bunge nchini Uganda limepasisha bajeti ya nyongeza ya shilingi bilioni 280 za nchi hiyo kwa ajili ya kununua ndege za taifa ili kulifufua shirika la ndege la nchi hiyo. Kwa maelezo zaidi tunajiunga na mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS