Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti

    Kongamano la mustakbali wa Waislamu linaloshirikisha nchi 25 laendelea Uganda + Sauti

    Apr 27, 2019 06:51

    Kongamano kuhusu mustakbali wa vijana wa Kiislamu barani Afrika linaendelea katika mji mkuu wa Uganda Kampala. Viongozi wa Kiislamu kutoka zaidi ya nchi 25 wanashiriki mkutano huo. Mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail ana maelezo zaidi...

  • Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua makumi ya watu Tanzania na Uganda

    Mvua, mafuriko na maporomoko ya ardhi yaua makumi ya watu Tanzania na Uganda

    Apr 24, 2019 07:59

    Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika nchi za Afrika Mashariki zimesababisha vifo vya makumi ya watu katika nchi za Uganda na Tanzania.

  • IEA: Kenya na Uganda zinatakatisha 'fedha chafu' za Sudan Kusini

    IEA: Kenya na Uganda zinatakatisha 'fedha chafu' za Sudan Kusini

    Apr 22, 2019 03:30

    Ripoti ya Taasisi ya Masuala ya Uchumi IEA imefichua kuwa, Kenya na Uganda zimefeli kuzuia mzunguko wa pesa haramu zinazotoka katika nchi changa zaidi barani Afrika, Sudan Kusini.

  • SAUTI, Hatimaye mahkama ya kilele nchini Uganda yamsafishia njia Rais Museven kuweza kugombea urais 2021

    SAUTI, Hatimaye mahkama ya kilele nchini Uganda yamsafishia njia Rais Museven kuweza kugombea urais 2021

    Apr 19, 2019 18:22

    Hatimaye mahkama ya kilele nchini Uganda imetoa hukumu ya kesi ya rufaa iliyofunguliwa na mwanasheria Male Mabirizi ambayo ilikuwa ikipinga kuondolewa kipengee cha umri wa mgombea urais.

  • Uganda yasema iko tayari kuchunguza suala la kumpa hifadhi Omar al-Bashir

    Uganda yasema iko tayari kuchunguza suala la kumpa hifadhi Omar al-Bashir

    Apr 17, 2019 07:06

    Waziri anayeshughulikia masuala ya kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje Ya Uganda amesema kwamba nchi yake itachunguza suala la kumpa hifadhi Omar al-Bashir, rais wa Sudan aliyeng'olewa madarakani na ambaye anasakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Bunge nchini Uganda lapasisha bajeti ya kununua ndege ya taifa + Sauti

    Bunge nchini Uganda lapasisha bajeti ya kununua ndege ya taifa + Sauti

    Mar 30, 2019 02:05

    Bunge nchini Uganda limepasisha bajeti ya nyongeza ya shilingi bilioni 280 za nchi hiyo kwa ajili ya kununua ndege za taifa ili kulifufua shirika la ndege la nchi hiyo. Kwa maelezo zaidi tunajiunga na mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail.

  • SAUTI, Jeshi la Uganda: Hatujafunga mlango wa msamaha kwa ajili ya waasi wanaohusika na ghasia nchini

    SAUTI, Jeshi la Uganda: Hatujafunga mlango wa msamaha kwa ajili ya waasi wanaohusika na ghasia nchini

    Mar 18, 2019 17:12

    Jeshi la Uganda limesema kuwa, mlango wa msamahama kwa ajili ya waasi wanaohusika na machafuko nchini humo, bado upo wazi.

  • SAUTI, Mkutano wa viongozi kadhaa wa Afrika waendelea mjini Munyonyo, Uganda. Masuala muhimu yajadiliwa

    SAUTI, Mkutano wa viongozi kadhaa wa Afrika waendelea mjini Munyonyo, Uganda. Masuala muhimu yajadiliwa

    Mar 13, 2019 17:08

    Mkutano wa viongozi kadhaa wa Afrika na unaojadili masuala muhimu barani humo, umeendelea leo kwa siku yake ya pili mjini Munyonyo, karibu na jiji la Kampala nchini Uganda.

  • EAC yataka viongozi wa nchi wawafikie wananchi wa mashinani +Sauti

    EAC yataka viongozi wa nchi wawafikie wananchi wa mashinani +Sauti

    Mar 09, 2019 10:27

    Wanasiasa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wametaka wananchi wa mashinani wa nchi za jumuiya hiyo wafikiwe na maamuzi makuu ili thamani yao iweze kulindwa. Mwandishi wetu wa Kampala, Uganda na taarifa zaidi...

  • SAUTI, Uganda yashangazwa na hatua ya Rwanda kuendelea kufunga mipaka yake, Kigali yasema haijafunga

    SAUTI, Uganda yashangazwa na hatua ya Rwanda kuendelea kufunga mipaka yake, Kigali yasema haijafunga

    Mar 04, 2019 17:17

    Hali ya suitafahamu imeendelea kutawala kati ya Rwanda na Uganda kufuatia hatua ya serikali ya Kigali kuendelea kufunga mipaka yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS