-
Wanaharakati wataka balozi wa Uganda nchini Burundi ajiuzulu + Sauti
Feb 26, 2019 06:35Wanaharakati wa haki za binadamu wa nchini Uganda wametaka balozi wa nchi hiyo huko Burundi, Matayo Kyaligonza, ajiuzulu. Maelezo zaidi anayo mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail…
-
Iran na Uganda zasisitiza kustawisha uhusiano wao wa pande mbili
Feb 23, 2019 15:47Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uganda na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo wamesisitiza kustawishwa uhusiano wa pande mbili katika nyanja mbali mbali.
-
SAUTI, Serikali ya Uganda yaendelea kuwatimua wakurugenzi wa Shirika la Mawasiliano ya Simu MTN kwa sababu za usalama
Feb 15, 2019 16:35Serikali ya Uganda imeendelea kuwatimua wakurugenzi wa Shirika la Mawasiliano ya Simu za Mkononi nchini humo MTN kutokana na sababu za kiusalama.
-
Taarifa ya polisi wa uganda kuhusu vita dhidi ya mihadarati na pasi za kughushi + Sauti
Feb 11, 2019 17:14Polisi ya Uganda imetangaza kuwa imemtia mbaroni mtu mmoja mwenye uwezo wa kughushi pasi za kusafiria na vile vile imeripoti kwamba mwanamke mmoja raia wa nchi hiyo amenaswa na madawa ya kulevya mjini Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu. Kwa maelezo kamili, tumtegee sikio ripota wetu wa mjini Kampala, Kigozi Ismail...
-
Waziri wa Uganda atakiwa ajiuzulu kwa kutangaza utalii wa ngono kupitia 'wanawake wenye maumbo yaliyochongoka'
Feb 08, 2019 08:20Serikali ya Uganda imetakiwa ifute mashindano ya wanawake warembo "wenye maumbo yaliyochongoka" yanayolenga kuvutia wageni na watalii zaidi ili watembelee nchi hiyo, ikielezwa kwamba kitendo hicho ni kuwageuza wanawake kuwa bidhaa na kutangaza utalii wa ngono.
-
SAUTI, Uganda: Ugonjwa wa saratani unaua watu wengi zaidi kuliko malaria na kifua kikuu, uvutaji sigara ni sababu kuu
Feb 04, 2019 15:41Wizara ya Afya nchini Uganda imetangaza kwamba, ugonjwa wa saratani unaangamiza maisha ya watu wengi kuliko hata maradhi ya malaria.
-
EAC inayoendelea na kikao mjini Arusha Tanzania, yalaumiwa + Sauti
Feb 02, 2019 08:13Kikao cha siku mbili cha 20 cha kawaida cha wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC kinachofanyika mjini Arusha Tanzania, jana Ijumaa, Februari Mosi 2019 kilimteua Rais Paul Kagame wa Rwanda kuwa mwenyekiti wake mpya baada ya kumalizika uenyekiti wa kupokezana wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda. Hata hivyo jumuiya ya Afrika Mashariki inalaumiwa kwa kutotekeleza kivitendo maazimio mengi inayofikia kwenye vikao vyake. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala...
-
Kampeni ya kusafisha majambazi yaendelea nchini Uganda + Sauti
Jan 30, 2019 03:19Maafisa usalama nchini Uganda wamewatia mbaroni majambazi kadhaa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kampala na viunga vyake. Majambazi hao wanatuhumiwa kufanya vitendo mbalimbali vya uhalifu na uvunjaji sheria ikiwa ni pamoja na mauaji na kuwateka nyara watoto wadogo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala...
-
Uganda yaanzisha kampeni mpya ya kupambana na magonjwa hatari + SAUTI
Jan 19, 2019 18:18Serikali ya Uganda kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) imeanzisha upya kampeni ya kupambana na magonjwa kadhaa hatari ambayo yamezuka tena nchini humo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi...
-
Vijana wa NRM wazozana tena na Polisi nchini Uganda + Sauti
Jan 15, 2019 02:41Kwa mara nyingine tena, vijana wa chama tawala cha NRM nchini Uganda wamezozana na polisi wa nchi hiyo wakipinga ubeberu wa mkoloni Muingereza. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail...