Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Msalaba Mwekundu: Mamia ya Wakongomani wamekimbilia Uganda

    Msalaba Mwekundu: Mamia ya Wakongomani wamekimbilia Uganda

    Jan 02, 2019 15:16

    Shirika la Msalaba Mwekundu limesema mamia ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchini Uganda baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa Jumapili iliyopita.

  • Uganda yachukua tahadhari kuhusu Ebola kabla ya uchaguzi  DRC

    Uganda yachukua tahadhari kuhusu Ebola kabla ya uchaguzi DRC

    Dec 21, 2018 14:48

    Uganda imeongeza kiwango cha tahadhari kuhusu ugonjwa wa Ebola, ili kukabiliana na wimbi tarajiwa la wakimbizi iwapo vurugu zitaibuka katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu.

  • Wanasiasa wa upinzani Uganda wakutana mjini Kampala + Sauti

    Wanasiasa wa upinzani Uganda wakutana mjini Kampala + Sauti

    Dec 12, 2018 16:52

    Wanasiasa wa vyama kadhaa nchini Uganda wamekutana katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala katika mjadala maalumu uliogusia masuala muhimu kadhaa ya kijamii na kisiasa kuhusu mustakbali wa nchi hiyo. Kigozi Ismail mwandishi wetu wa Kampala ametuandalia taarifa ifuatayo.

  • Uganda nayo yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu + Sauti

    Uganda nayo yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu + Sauti

    Dec 10, 2018 18:13

    Uganda imejiunga na nchi nyingine dunia katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za binadamu. Sherehe hiyo imehutubiwa na Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye ametangaza mkakati mpya wa kupambana na ufisadi ambao umeutaja kuwa ni sawa na maradhi ya saratani. Kigozi Ismail na ripoti kamili...

  • Shirika la mafuta na gesi la Uganda latambuliwa rasmi kimataifa + Sauti

    Shirika la mafuta na gesi la Uganda latambuliwa rasmi kimataifa + Sauti

    Dec 04, 2018 03:05

    Shirika la kwanza la mafuta na gesi la Kigumba, magharibi mwa la Uganda latambuliwa rasmi kimataifa. Mwandishi wetu Kigozi Ismail na maelezo zaidi

  • WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC

    Nov 30, 2018 04:33

    Hatari wa kuenea ugonjwa habari wa Ebola imeongezeka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi zinazopakana nayo baada ya kesi nyingine 36 kugunduliwa karibu na mpaka wa nchi hiyo katika wiki iliyomalizikia kwenye Novemba 29.

  • Uganda yataka ushirikiano wa kiulinzi majini Afrika Mashariki + Sauti

    Uganda yataka ushirikiano wa kiulinzi majini Afrika Mashariki + Sauti

    Nov 26, 2018 18:07

    Umetolewa wito wa kuwepo ushirikiano baina walinzi wa majini katika nchi za Afrika Mashariki katika masuala ya ulinzi na usalama kufuatia ajali ya boti iliyotokea katika Ziwa Victoria siku ya Jumamosi iliyopita. Mwandishi wetu wa mjini Kampala Kigozi Ismail, ametuandalia ripoti ifuatayo.

  • Idadi ya waliofariki katika ajali ya boti Uganda yafika 35

    Idadi ya waliofariki katika ajali ya boti Uganda yafika 35

    Nov 26, 2018 08:03

    Naibu msemaji wa jeshi la Uganda Luteni kanali Deo Akiiki amesema idadi ya vifo vilivyotokana na ajali ya kupinduka kwa boti iliyotokea Jumamosi kwenye Ziwa Victoria nchini humo, imefikia 35.

  • SAUTI, Kampeni ya kupambana na magonjwa ya Sarati mbalimbali imeshika kasi nchini Uganda ambapo watu wanapimwa bure

    SAUTI, Kampeni ya kupambana na magonjwa ya Sarati mbalimbali imeshika kasi nchini Uganda ambapo watu wanapimwa bure

    Nov 24, 2018 15:33

    Juhudi za kupambana na ugonjwa wa saratani zimeshika kasi nchini Uganda kutokana na ongezeko la maradhi hayo ndani ya jamii.

  • UN yaipongeza Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi

    UN yaipongeza Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi

    Nov 21, 2018 07:50

    Umoja wa Mataifa umezipongeza serikali za Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi katika shule za taifa na kuwafanya wawe na utangamano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS