-
Msalaba Mwekundu: Mamia ya Wakongomani wamekimbilia Uganda
Jan 02, 2019 15:16Shirika la Msalaba Mwekundu limesema mamia ya raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia nchini Uganda baada ya kufanyika uchaguzi mkuu wa Jumapili iliyopita.
-
Uganda yachukua tahadhari kuhusu Ebola kabla ya uchaguzi DRC
Dec 21, 2018 14:48Uganda imeongeza kiwango cha tahadhari kuhusu ugonjwa wa Ebola, ili kukabiliana na wimbi tarajiwa la wakimbizi iwapo vurugu zitaibuka katika nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi hiki cha uchaguzi mkuu.
-
Wanasiasa wa upinzani Uganda wakutana mjini Kampala + Sauti
Dec 12, 2018 16:52Wanasiasa wa vyama kadhaa nchini Uganda wamekutana katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala katika mjadala maalumu uliogusia masuala muhimu kadhaa ya kijamii na kisiasa kuhusu mustakbali wa nchi hiyo. Kigozi Ismail mwandishi wetu wa Kampala ametuandalia taarifa ifuatayo.
-
Uganda nayo yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu + Sauti
Dec 10, 2018 18:13Uganda imejiunga na nchi nyingine dunia katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za binadamu. Sherehe hiyo imehutubiwa na Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye ametangaza mkakati mpya wa kupambana na ufisadi ambao umeutaja kuwa ni sawa na maradhi ya saratani. Kigozi Ismail na ripoti kamili...
-
Shirika la mafuta na gesi la Uganda latambuliwa rasmi kimataifa + Sauti
Dec 04, 2018 03:05Shirika la kwanza la mafuta na gesi la Kigumba, magharibi mwa la Uganda latambuliwa rasmi kimataifa. Mwandishi wetu Kigozi Ismail na maelezo zaidi
-
WHO: Kesi 36 mpya za Ebola ziripotiwa DRC
Nov 30, 2018 04:33Hatari wa kuenea ugonjwa habari wa Ebola imeongezeka huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na katika nchi zinazopakana nayo baada ya kesi nyingine 36 kugunduliwa karibu na mpaka wa nchi hiyo katika wiki iliyomalizikia kwenye Novemba 29.
-
Uganda yataka ushirikiano wa kiulinzi majini Afrika Mashariki + Sauti
Nov 26, 2018 18:07Umetolewa wito wa kuwepo ushirikiano baina walinzi wa majini katika nchi za Afrika Mashariki katika masuala ya ulinzi na usalama kufuatia ajali ya boti iliyotokea katika Ziwa Victoria siku ya Jumamosi iliyopita. Mwandishi wetu wa mjini Kampala Kigozi Ismail, ametuandalia ripoti ifuatayo.
-
Idadi ya waliofariki katika ajali ya boti Uganda yafika 35
Nov 26, 2018 08:03Naibu msemaji wa jeshi la Uganda Luteni kanali Deo Akiiki amesema idadi ya vifo vilivyotokana na ajali ya kupinduka kwa boti iliyotokea Jumamosi kwenye Ziwa Victoria nchini humo, imefikia 35.
-
SAUTI, Kampeni ya kupambana na magonjwa ya Sarati mbalimbali imeshika kasi nchini Uganda ambapo watu wanapimwa bure
Nov 24, 2018 15:33Juhudi za kupambana na ugonjwa wa saratani zimeshika kasi nchini Uganda kutokana na ongezeko la maradhi hayo ndani ya jamii.
-
UN yaipongeza Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi
Nov 21, 2018 07:50Umoja wa Mataifa umezipongeza serikali za Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi katika shule za taifa na kuwafanya wawe na utangamano.