Uganda yaanzisha kampeni mpya ya kupambana na magonjwa hatari + SAUTI
Jan 19, 2019 14:48 UTC
Serikali ya Uganda kwa kushirikiana na Shirika la Afya Duniani (WHO) imeanzisha upya kampeni ya kupambana na magonjwa kadhaa hatari ambayo yamezuka tena nchini humo. Kigozi Ismail na maelezo zaidi...
Tags