Vijana wa NRM wazozana tena na Polisi nchini Uganda + Sauti
Jan 14, 2019 23:11 UTC
Kwa mara nyingine tena, vijana wa chama tawala cha NRM nchini Uganda wamezozana na polisi wa nchi hiyo wakipinga ubeberu wa mkoloni Muingereza. Maelezo zaidi yamo kwenye ripoti ya mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail...
Tags