Wanasiasa wa upinzani Uganda wakutana mjini Kampala + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i50127-wanasiasa_wa_upinzani_uganda_wakutana_mjini_kampala_sauti
Wanasiasa wa vyama kadhaa nchini Uganda wamekutana katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala katika mjadala maalumu uliogusia masuala muhimu kadhaa ya kijamii na kisiasa kuhusu mustakbali wa nchi hiyo. Kigozi Ismail mwandishi wetu wa Kampala ametuandalia taarifa ifuatayo.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Dec 12, 2018 13:22 UTC

Wanasiasa wa vyama kadhaa nchini Uganda wamekutana katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala katika mjadala maalumu uliogusia masuala muhimu kadhaa ya kijamii na kisiasa kuhusu mustakbali wa nchi hiyo. Kigozi Ismail mwandishi wetu wa Kampala ametuandalia taarifa ifuatayo.