Wanasiasa wa upinzani Uganda wakutana mjini Kampala + Sauti
Dec 12, 2018 13:22 UTC
Wanasiasa wa vyama kadhaa nchini Uganda wamekutana katika mji mkuu wa nchi hiyo Kampala katika mjadala maalumu uliogusia masuala muhimu kadhaa ya kijamii na kisiasa kuhusu mustakbali wa nchi hiyo. Kigozi Ismail mwandishi wetu wa Kampala ametuandalia taarifa ifuatayo.
Tags