Uganda nayo yaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Haki za Binadamu + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i50085-uganda_nayo_yaadhimisha_siku_ya_kimataifa_ya_haki_za_binadamu_sauti
Uganda imejiunga na nchi nyingine dunia katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za binadamu. Sherehe hiyo imehutubiwa na Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye ametangaza mkakati mpya wa kupambana na ufisadi ambao umeutaja kuwa ni sawa na maradhi ya saratani. Kigozi Ismail na ripoti kamili...
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Dec 10, 2018 14:43 UTC

Uganda imejiunga na nchi nyingine dunia katika maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Haki za binadamu. Sherehe hiyo imehutubiwa na Rais Yoweri Museveni wa Uganda ambaye ametangaza mkakati mpya wa kupambana na ufisadi ambao umeutaja kuwa ni sawa na maradhi ya saratani. Kigozi Ismail na ripoti kamili...