Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Haki za Binadamu

  • Ripoti ya HRW: Pande zinazopigana Mali zinahusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu

    Ripoti ya HRW: Pande zinazopigana Mali zinahusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu

    Jun 29, 2026 12:10

    Pande zinazopigana nchini Mali zinahusika na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti mpya iliyotolewa na shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW).

  • Kamishna wa Haki za Binadamu UN: Mapigano yasitishwe Gaza na Lebanon, aonya kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Sudan

    Kamishna wa Haki za Binadamu UN: Mapigano yasitishwe Gaza na Lebanon, aonya kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Sudan

    Jun 15, 2026 12:26

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesisitiza haja ya kuimarishwa usitishaji mapigano huko Gaza na kufikiwa makubaliano endelevu ya kusitisha mapigano, akibainisha kuwa vikosi vya jeshi la Israel vimewaua Wapalestina wapatao 1,000 tangu usitishaji mapigano Oktoba mwaka jana, pamoja na kuimarisha vizingiti vya kuzuia misaada ya kibinadamu kwa watu wa Gaza, jambo ambalo amesema limezidisha mgogoro wa binadamu katika sekta hiyo.

  • Tehran yaikosoa jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua za kukabiliana na ukatili dhidi ya watoto

    Tehran yaikosoa jamii ya kimataifa kwa kutochukua hatua za kukabiliana na ukatili dhidi ya watoto

    Jun 05, 2026 03:03

    Shirika kuu la haki za binadamu la Iran limelaani mwenendo wa jamii ya kiimataifa wa kutochukua hatua za kushughulikia uhalifu wa ukatili unaofanywa dhidi ya watoto, likitaka kutiliwa maanani kimataifa watoto wengi wasio na hatia waliouawa na Marekani na utawala wa Israel katika uchokozi wa karibuni dhidi ya Iran.

  • Rais wa Tunisia: Msingi wa mirathi katika Uislamu ni uadilifu na insafu

    Rais wa Tunisia: Msingi wa mirathi katika Uislamu ni uadilifu na insafu

    Aug 17, 2020 03:08

    Rais Kais Saied wa Tunisia ameamsha hasira za jumuiya za wanawake za kiliberali baada ya kusisitiza kwamba msingi wa mirathi katika dini ya Uislamu ni uadilifu na insafu na kwamba suala hilo limeshapewa ufumbuzi katika aya za Qu'ani tukufu ambao hauhitajii tena tafsiri wala taawili.

  • Iran: Mashirika ya haki za binadamu duniani yasifumbie macho mauaji ya Mmarekani mweusi, George Floyd

    Iran: Mashirika ya haki za binadamu duniani yasifumbie macho mauaji ya Mmarekani mweusi, George Floyd

    May 31, 2020 07:26

    Katibu wa Baraza Kuu la Haki za Binadamu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mashirika ya kutetea haki za binadamu duniani yanapaswa kupaza sauti zao dhidi ya mauaji ya George Floyd Mmarekani mweusi aliyeuawa kikatili na polisi mweupe mjini Minneapolis katika jimbo la Minnesota hivi karibuni.

  • Zaidi ya Wayemen elfu 42 wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya miaka 5 ya muungano vamizi wa Saudia

    Zaidi ya Wayemen elfu 42 wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya miaka 5 ya muungano vamizi wa Saudia

    Mar 25, 2020 23:20

    Kituo kimoja cha Haki za Binaadamu kimeelezea kuuawa na kujeruhiwa zaidi ya Wayemen elfu 42 katika kipindi cha miaka mitano ya uvamizi na mashambulizi ya muungano vamizi wa Saudia nchini Yemen.

  • Amnesty yaitaka Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa hofu ya corona

    Amnesty yaitaka Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa hofu ya corona

    Mar 21, 2020 07:14

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa sababu ya kasi ya maambukizi ya virusi vya corona.

  • Pakistan yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mauaji ya Waislamu nchini India

    Pakistan yaitaka jamii ya kimataifa kukomesha mauaji ya Waislamu nchini India

    Mar 14, 2020 09:52

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Pakistan ameitaka jamii ya kimataifa kuchukua hatua za kivitendo kusitisha mauaji ya Waislamu na ukiukaji wa wazi wa haki za binaadamu nchini India.

  • Mousavi: Marekani haina hadhi ya kuzungumzia masuala ya haki za binadamu

    Mousavi: Marekani haina hadhi ya kuzungumzia masuala ya haki za binadamu

    Mar 13, 2020 23:33

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amejibu ripoti ya kila mwaka ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani kuhusiana na hali ya haki za binadamu nchini Iran na kusema kuwa, utawala wa Marekani haustahiki wala hauna hadhi ya kisiasa, kisheria na kimaadili ya kutoa maoni kuhusu masuala yanayohusiana na haki za binadamu.

  • Ripoti ya kila mwaka ya haki za binadamu ya Marekani; madai ya mkiukaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu ulimwenguni

    Ripoti ya kila mwaka ya haki za binadamu ya Marekani; madai ya mkiukaji mkubwa zaidi wa haki za binadamu ulimwenguni

    Mar 13, 2020 02:33

    Ripoti ya mwaka 2019 ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani kuhusiana na haki za binadamu ilitolewa Jumatano iliyopita ya tarehe 11 Machi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS