-
Hali si shwari, Uganda yamimina wanajeshi wake katika mpaka na DRC + Sauti
Nov 20, 2018 06:48Kufuatia kuzuka mgogoro wa mpakani mwa Uganda na Jamhuri ya Kidemoksaria ya Kongo, serikali ya Uganda imetuma wanajeshi wake wa wengi wa UPDF katika mpaka wa nchi hizo mbili. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.
-
SAUTI, Serikali ya Uganda yashauriwa kuzidisha juhudi za kivitendo katika kukuza lugha ya Kiswahili nchini
Nov 09, 2018 17:10Serikali ya Uganda imeshauriwa kuongeza juhudi kwa ajili ya ufundishaji lugha ya Kiswahili kwa madaraja yote ya elimu nchini humo.
-
Uganda kuanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wafanyakazi wa sekta ya afya
Nov 03, 2018 02:56Uganda imetangaza kuwa Jumatatu ijayo itaanza kutoa chanjo kwa baadhi ya wafanyakazi wake wa huduma ya afya dhidi ya maradhi ya Ebola. Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi Uganda homa hiyo ya kuvuja damu inayosababishwa na virusi kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa Ebola.
-
Uganda yatuma askari Tanzania katika mazoezi ya kijeshi ya Afrika Mashariki
Nov 02, 2018 06:04Uganda imetuma askari na raia 219 kushiriki kwenye mazoezi ya kijeshi ya pamoja ya Jumuiya ya Afrika Mashariki nchini Tanzania.
-
Uganda yaomba kushirikiana zaidi na Iran katika sekta ya kilimo
Oct 27, 2018 15:41Waziri wa Kilimo wa Uganda Vincent Ssempijja amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo mkubwa katika sekta ya kilimo, hivyo ametaka mashirika ya kilimo ya Iran yawekeze nchini humo na pande mbili kushirikiana zaidi katika miradi ya kilimo.
-
ICC yasikiliza kesi ya kamanda wa waasi wa Uganda wa LRA
Oct 22, 2018 15:50Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imeanza kusikiliza kesi ya kamanda wa genge la kigaidi la Kikristo la LRA lililokuwa linapigania kusimamisha serikali itakayoongozwa kwa amri kumi za Biblia nchini Uganda.
-
IPU yapiga marufuku mijadala kuhusu ushoga na usagaji
Oct 18, 2018 15:29Kikao cha 139 cha Jumuiya ya Kimataifa ya Mabunge (IPU) kimepiga kura kuunga mkono hoja ya kutaka kupiga marufuku mijadala inayohusu masuala ya ushoga na usagaji.
-
Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kufukiwa na matope nchini Uganda yapindukia 40
Oct 13, 2018 08:13Taarifa kutoka nchini Uganda zimeeleza kwamba idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na maporomoko ya udongo imepindukia 40 huku juhudi za uokoaji zikiendelea.
-
Watu 31 waaga dunia katika maporomoka ya ardhi Uganda
Oct 12, 2018 07:33Makumi ya watu wameripotiwa kupoteza maisha katika maporomoko ya ardhi yaliyotokea jana adhuhuri katika vijiji vilivyoko kwenye kaunti ndogo ya Bakalasi, wilayani Bududa mashariki mwa Uganda.
-
SAUTI, Rais Museven, Waganda ishini pamoja kwa upendo kama watoto wa familia moja, ama wahalifu 40 zao zinahesabika
Oct 09, 2018 16:54Rais Yoweri Museven wa Uganda amewataka raia wa nchi hiyo kupendana na kuishi sawa na watoto wa familia moja, badala ya kuchukiana.