Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Hali si shwari, Uganda yamimina wanajeshi wake katika mpaka na DRC + Sauti

    Hali si shwari, Uganda yamimina wanajeshi wake katika mpaka na DRC + Sauti

    Nov 20, 2018 06:48

    Kufuatia kuzuka mgogoro wa mpakani mwa Uganda na Jamhuri ya Kidemoksaria ya Kongo, serikali ya Uganda imetuma wanajeshi wake wa wengi wa UPDF katika mpaka wa nchi hizo mbili. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.

  • SAUTI, Serikali ya Uganda yashauriwa kuzidisha juhudi za kivitendo katika kukuza lugha ya Kiswahili nchini

    SAUTI, Serikali ya Uganda yashauriwa kuzidisha juhudi za kivitendo katika kukuza lugha ya Kiswahili nchini

    Nov 09, 2018 17:10

    Serikali ya Uganda imeshauriwa kuongeza juhudi kwa ajili ya ufundishaji lugha ya Kiswahili kwa madaraja yote ya elimu nchini humo.

  • Uganda kuanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wafanyakazi wa sekta ya afya

    Uganda kuanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wafanyakazi wa sekta ya afya

    Nov 03, 2018 02:56

    Uganda imetangaza kuwa Jumatatu ijayo itaanza kutoa chanjo kwa baadhi ya wafanyakazi wake wa huduma ya afya dhidi ya maradhi ya Ebola. Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi Uganda homa hiyo ya kuvuja damu inayosababishwa na virusi kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa Ebola.

  • Uganda yatuma askari Tanzania katika mazoezi ya kijeshi ya Afrika Mashariki

    Uganda yatuma askari Tanzania katika mazoezi ya kijeshi ya Afrika Mashariki

    Nov 02, 2018 06:04

    Uganda imetuma askari na raia 219 kushiriki kwenye mazoezi ya kijeshi ya pamoja ya Jumuiya ya Afrika Mashariki nchini Tanzania.

  • Uganda yaomba kushirikiana zaidi na Iran katika sekta ya kilimo

    Uganda yaomba kushirikiana zaidi na Iran katika sekta ya kilimo

    Oct 27, 2018 15:41

    Waziri wa Kilimo wa Uganda Vincent Ssempijja amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo mkubwa katika sekta ya kilimo, hivyo ametaka mashirika ya kilimo ya Iran yawekeze nchini humo na pande mbili kushirikiana zaidi katika miradi ya kilimo.

  • ICC yasikiliza kesi ya kamanda wa waasi wa Uganda wa LRA

    ICC yasikiliza kesi ya kamanda wa waasi wa Uganda wa LRA

    Oct 22, 2018 15:50

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imeanza kusikiliza kesi ya kamanda wa genge la kigaidi la Kikristo la LRA lililokuwa linapigania kusimamisha serikali itakayoongozwa kwa amri kumi za Biblia nchini Uganda.

  • IPU yapiga marufuku mijadala kuhusu ushoga na usagaji

    IPU yapiga marufuku mijadala kuhusu ushoga na usagaji

    Oct 18, 2018 15:29

    Kikao cha 139 cha Jumuiya ya Kimataifa ya Mabunge (IPU) kimepiga kura kuunga mkono hoja ya kutaka kupiga marufuku mijadala inayohusu masuala ya ushoga na usagaji.

  • Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kufukiwa na matope nchini Uganda yapindukia 40

    Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kufukiwa na matope nchini Uganda yapindukia 40

    Oct 13, 2018 08:13

    Taarifa kutoka nchini Uganda zimeeleza kwamba idadi ya watu waliopoteza maisha kutokana na maporomoko ya udongo imepindukia 40 huku juhudi za uokoaji zikiendelea.

  • Watu 31 waaga dunia katika maporomoka ya ardhi Uganda

    Watu 31 waaga dunia katika maporomoka ya ardhi Uganda

    Oct 12, 2018 07:33

    Makumi ya watu wameripotiwa kupoteza maisha katika maporomoko ya ardhi yaliyotokea jana adhuhuri katika vijiji vilivyoko kwenye kaunti ndogo ya Bakalasi, wilayani Bududa mashariki mwa Uganda.

  • SAUTI, Rais Museven, Waganda ishini pamoja kwa upendo kama watoto wa familia moja, ama wahalifu 40 zao zinahesabika

    SAUTI, Rais Museven, Waganda ishini pamoja kwa upendo kama watoto wa familia moja, ama wahalifu 40 zao zinahesabika

    Oct 09, 2018 16:54

    Rais Yoweri Museven wa Uganda amewataka raia wa nchi hiyo kupendana na kuishi sawa na watoto wa familia moja, badala ya kuchukiana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS