-
Uganda yataka ushirikiano wa kiulinzi majini Afrika Mashariki + Sauti
Nov 26, 2018 14:37Umetolewa wito wa kuwepo ushirikiano baina walinzi wa majini katika nchi za Afrika Mashariki katika masuala ya ulinzi na usalama kufuatia ajali ya boti iliyotokea katika Ziwa Victoria siku ya Jumamosi iliyopita. Mwandishi wetu wa mjini Kampala Kigozi Ismail, ametuandalia ripoti ifuatayo.
-
Idadi ya waliofariki katika ajali ya boti Uganda yafika 35
Nov 26, 2018 04:33Naibu msemaji wa jeshi la Uganda Luteni kanali Deo Akiiki amesema idadi ya vifo vilivyotokana na ajali ya kupinduka kwa boti iliyotokea Jumamosi kwenye Ziwa Victoria nchini humo, imefikia 35.
-
SAUTI, Kampeni ya kupambana na magonjwa ya Sarati mbalimbali imeshika kasi nchini Uganda ambapo watu wanapimwa bure
Nov 24, 2018 12:03Juhudi za kupambana na ugonjwa wa saratani zimeshika kasi nchini Uganda kutokana na ongezeko la maradhi hayo ndani ya jamii.
-
UN yaipongeza Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi
Nov 21, 2018 04:20Umoja wa Mataifa umezipongeza serikali za Uganda na Chad kwa kuwasomesha watoto wakimbizi katika shule za taifa na kuwafanya wawe na utangamano.
-
Hali si shwari, Uganda yamimina wanajeshi wake katika mpaka na DRC + Sauti
Nov 20, 2018 03:18Kufuatia kuzuka mgogoro wa mpakani mwa Uganda na Jamhuri ya Kidemoksaria ya Kongo, serikali ya Uganda imetuma wanajeshi wake wa wengi wa UPDF katika mpaka wa nchi hizo mbili. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.
-
SAUTI, Serikali ya Uganda yashauriwa kuzidisha juhudi za kivitendo katika kukuza lugha ya Kiswahili nchini
Nov 09, 2018 13:40Serikali ya Uganda imeshauriwa kuongeza juhudi kwa ajili ya ufundishaji lugha ya Kiswahili kwa madaraja yote ya elimu nchini humo.
-
Uganda kuanza kutoa chanjo ya Ebola kwa wafanyakazi wa sekta ya afya
Nov 02, 2018 23:26Uganda imetangaza kuwa Jumatatu ijayo itaanza kutoa chanjo kwa baadhi ya wafanyakazi wake wa huduma ya afya dhidi ya maradhi ya Ebola. Hatua hiyo inachukuliwa kutokana na kuongezeka wasiwasi juu ya uwezekano wa kuenea hadi Uganda homa hiyo ya kuvuja damu inayosababishwa na virusi kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambayo inapambana na mlipuko wa Ebola.
-
Uganda yatuma askari Tanzania katika mazoezi ya kijeshi ya Afrika Mashariki
Nov 02, 2018 02:34Uganda imetuma askari na raia 219 kushiriki kwenye mazoezi ya kijeshi ya pamoja ya Jumuiya ya Afrika Mashariki nchini Tanzania.
-
Uganda yaomba kushirikiana zaidi na Iran katika sekta ya kilimo
Oct 27, 2018 12:11Waziri wa Kilimo wa Uganda Vincent Ssempijja amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo mkubwa katika sekta ya kilimo, hivyo ametaka mashirika ya kilimo ya Iran yawekeze nchini humo na pande mbili kushirikiana zaidi katika miradi ya kilimo.
-
ICC yasikiliza kesi ya kamanda wa waasi wa Uganda wa LRA
Oct 22, 2018 12:20Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imeanza kusikiliza kesi ya kamanda wa genge la kigaidi la Kikristo la LRA lililokuwa linapigania kusimamisha serikali itakayoongozwa kwa amri kumi za Biblia nchini Uganda.