-
Miaka 56 ya uhuru wa Uganda + Sauti
Oct 09, 2018 05:42Uganda imeadhimisha mwaka wa 56 wa uhuru wake ikiwa imetekeleza miradi mingi ya maendeleo na kufeli katika sekta nyinginezo. Taarifa kamili anayo mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismael...
-
Uganda na Iran kuimarisha ushirikiano katika uga wa sayansi na teknolojia
Oct 05, 2018 15:38Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Ubunifu wa Uganda ametoa mwito wa kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa sayansi na teknolojia.
-
Iran na Uganda zasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika elimu na teknolojia
Oct 03, 2018 14:19Makamu wa Rais wa Jamhuuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya elimu na teknolojia na Rais wa Uganda wamesisitiza katika mazungumzo yao leo mjini Kampala juu ya umuhimu wa kufunguliwa ukurasa mpya wa ushirikiano wa pamoja kati ya pande mbili katika uga wa elimu na teknolojia.
-
SAUTI, Serikali ya Uganda yagawa fedha kwa vijana wa mitaani ili kuwashawishi wasifuate mkumbo wa siasa
Sep 24, 2018 16:25Serikali ya Uganda chini ya Rais Museven imeanzisha kampeni kugawa fedha za mkopo wa riba nafuu kwa vijana sambamba na kuwataka wasishawishiwe na kimbunga kipya cha kisiasa nchini.
-
SAUTI, Waziri wa Usalama Uganda awaonya waandishi wa habari wanaochochea ghasia
Sep 22, 2018 16:34Waziri wa Usalama nchini Uganda Jenerali Elly Tumwine, amewataka waandishi wa habari kutumia vyema taaluma yao ili wasiitumbukize nchi hiyo katika machafuko.
-
Bobi Wine awasili Uganda, askari wamuingiza gari la jeshi kwa nguvu na kumpeleka kwake
Sep 20, 2018 15:49Mbunge wa Kyadondo nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine amewasili leo nchini humo akitokea nchini Marekani alikokuwa akipatiwa matibabu.
-
Rais Museveni kuhutubia taifa kuhusu masuala muhimu leo
Sep 09, 2018 02:21Rais wa Uganda Yoweri Museveni anatarajiwa kulihotubia taifa siku ya leo Jumapili kwa lengo la kutoa maelezo kuhusu masuala mbalimbali yanayolikabili taifa hilo la Afrika Mashariki.
-
Mbunge Bobi Wine ashindwa kufika mahakamani kwa sababu za kiafya
Aug 30, 2018 16:28Mbunge Robert Kyagulanyi wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda maarufu kama Bobi Wine, ameshindwa kuhudhuria mahakama hii leo kusikiliza kesi inayomkabili ya uhaini iliyowasilishwa na serikali ya nchi hiyo.
-
Askari waliowapiga na kuwatesa Wabunge wa upinzani Uganda watiwa mbaroni
Aug 29, 2018 07:43Askari wa Uganda wanaotuhumiwa kuwapiga na kuwatesa Wabunge wa upinzani akiwemo Mbunge Bobi Wine aliyejizolea umashuhuri wametiwa mbaroni.
-
Mkuu wa zamani wa polisi nchini Uganda apandishwa kizimbani
Aug 24, 2018 14:06Mkuu wa zamani wa polisi nchini Uganda Jenerali Kale Kayihura amefikishwa katika mahakama ya jeshi ya Makindye mjini Kampala baada ya kufunguliwa mashitaka ya kutowajibika katika kazi yake.