Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Miaka 56 ya uhuru wa Uganda + Sauti

    Miaka 56 ya uhuru wa Uganda + Sauti

    Oct 09, 2018 05:42

    Uganda imeadhimisha mwaka wa 56 wa uhuru wake ikiwa imetekeleza miradi mingi ya maendeleo na kufeli katika sekta nyinginezo. Taarifa kamili anayo mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismael...

  • Uganda na Iran kuimarisha ushirikiano katika uga wa sayansi na teknolojia

    Uganda na Iran kuimarisha ushirikiano katika uga wa sayansi na teknolojia

    Oct 05, 2018 15:38

    Waziri wa Sayansi, Teknolojia na Ubunifu wa Uganda ametoa mwito wa kuimarishwa ushirikiano wa pande mbili kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa sayansi na teknolojia.

  • Iran na Uganda zasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika elimu na teknolojia

    Iran na Uganda zasisitiza kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika elimu na teknolojia

    Oct 03, 2018 14:19

    Makamu wa Rais wa Jamhuuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya elimu na teknolojia na Rais wa Uganda wamesisitiza katika mazungumzo yao leo mjini Kampala juu ya umuhimu wa kufunguliwa ukurasa mpya wa ushirikiano wa pamoja kati ya pande mbili katika uga wa elimu na teknolojia.

  • SAUTI, Serikali ya Uganda yagawa fedha kwa vijana wa mitaani ili kuwashawishi wasifuate mkumbo wa siasa

    SAUTI, Serikali ya Uganda yagawa fedha kwa vijana wa mitaani ili kuwashawishi wasifuate mkumbo wa siasa

    Sep 24, 2018 16:25

    Serikali ya Uganda chini ya Rais Museven imeanzisha kampeni kugawa fedha za mkopo wa riba nafuu kwa vijana sambamba na kuwataka wasishawishiwe na kimbunga kipya cha kisiasa nchini.

  • SAUTI, Waziri wa Usalama Uganda awaonya waandishi wa habari wanaochochea ghasia

    SAUTI, Waziri wa Usalama Uganda awaonya waandishi wa habari wanaochochea ghasia

    Sep 22, 2018 16:34

    Waziri wa Usalama nchini Uganda Jenerali Elly Tumwine, amewataka waandishi wa habari kutumia vyema taaluma yao ili wasiitumbukize nchi hiyo katika machafuko.

  • Bobi Wine awasili Uganda, askari wamuingiza gari la jeshi kwa nguvu na kumpeleka kwake

    Bobi Wine awasili Uganda, askari wamuingiza gari la jeshi kwa nguvu na kumpeleka kwake

    Sep 20, 2018 15:49

    Mbunge wa Kyadondo nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine amewasili leo nchini humo akitokea nchini Marekani alikokuwa akipatiwa matibabu.

  • Rais Museveni kuhutubia taifa kuhusu masuala muhimu leo

    Rais Museveni kuhutubia taifa kuhusu masuala muhimu leo

    Sep 09, 2018 02:21

    Rais wa Uganda Yoweri Museveni anatarajiwa kulihotubia taifa siku ya leo Jumapili kwa lengo la kutoa maelezo kuhusu masuala mbalimbali yanayolikabili taifa hilo la Afrika Mashariki.

  • Mbunge Bobi Wine ashindwa kufika mahakamani kwa sababu za kiafya

    Mbunge Bobi Wine ashindwa kufika mahakamani kwa sababu za kiafya

    Aug 30, 2018 16:28

    Mbunge Robert Kyagulanyi wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda maarufu kama Bobi Wine, ameshindwa kuhudhuria  mahakama hii leo kusikiliza kesi inayomkabili ya uhaini iliyowasilishwa na serikali ya nchi hiyo.

  • Askari waliowapiga na kuwatesa Wabunge wa upinzani Uganda watiwa mbaroni

    Askari waliowapiga na kuwatesa Wabunge wa upinzani Uganda watiwa mbaroni

    Aug 29, 2018 07:43

    Askari wa Uganda wanaotuhumiwa kuwapiga na kuwatesa Wabunge wa upinzani akiwemo Mbunge Bobi Wine aliyejizolea umashuhuri wametiwa mbaroni.

  • Mkuu wa zamani wa polisi nchini Uganda apandishwa kizimbani

    Mkuu wa zamani wa polisi nchini Uganda apandishwa kizimbani

    Aug 24, 2018 14:06

    Mkuu wa zamani wa polisi nchini Uganda Jenerali Kale Kayihura amefikishwa katika mahakama ya jeshi ya Makindye mjini Kampala baada ya kufunguliwa mashitaka ya kutowajibika katika kazi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS