Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Rais Museveni kuhutubia taifa kuhusu masuala muhimu leo

    Rais Museveni kuhutubia taifa kuhusu masuala muhimu leo

    Sep 08, 2018 21:51

    Rais wa Uganda Yoweri Museveni anatarajiwa kulihotubia taifa siku ya leo Jumapili kwa lengo la kutoa maelezo kuhusu masuala mbalimbali yanayolikabili taifa hilo la Afrika Mashariki.

  • Mbunge Bobi Wine ashindwa kufika mahakamani kwa sababu za kiafya

    Mbunge Bobi Wine ashindwa kufika mahakamani kwa sababu za kiafya

    Aug 30, 2018 11:58

    Mbunge Robert Kyagulanyi wa Kyadondo Mashariki nchini Uganda maarufu kama Bobi Wine, ameshindwa kuhudhuria  mahakama hii leo kusikiliza kesi inayomkabili ya uhaini iliyowasilishwa na serikali ya nchi hiyo.

  • Askari waliowapiga na kuwatesa Wabunge wa upinzani Uganda watiwa mbaroni

    Askari waliowapiga na kuwatesa Wabunge wa upinzani Uganda watiwa mbaroni

    Aug 29, 2018 03:13

    Askari wa Uganda wanaotuhumiwa kuwapiga na kuwatesa Wabunge wa upinzani akiwemo Mbunge Bobi Wine aliyejizolea umashuhuri wametiwa mbaroni.

  • Mkuu wa zamani wa polisi nchini Uganda apandishwa kizimbani

    Mkuu wa zamani wa polisi nchini Uganda apandishwa kizimbani

    Aug 24, 2018 09:36

    Mkuu wa zamani wa polisi nchini Uganda Jenerali Kale Kayihura amefikishwa katika mahakama ya jeshi ya Makindye mjini Kampala baada ya kufunguliwa mashitaka ya kutowajibika katika kazi yake.

  • Polisi Uganda yawatia nguvuni wabunge watatu baada ya msafara wa rais Museveni kushambuliwa kwa mawe

    Polisi Uganda yawatia nguvuni wabunge watatu baada ya msafara wa rais Museveni kushambuliwa kwa mawe

    Aug 14, 2018 10:34

    Polisi nchini Uganda imewakamata wabunge watatu na watu wengine kadhaa baada ya msafara wa magari wa rais wa nchi hiyo Yoweri Kaguta Museveni kushambuliwa kwa mawe.

  • Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wafanya mashambulio DRC na kuua watu 6

    Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wafanya mashambulio DRC na kuua watu 6

    Aug 12, 2018 08:29

    Waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wamefanya mashambulio katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua watu sita.

  • SAUTI, Wizara ya Afya Uganda: Bado tuna magonjwa matatu makubwa ambayo yanatunyima usingizi

    SAUTI, Wizara ya Afya Uganda: Bado tuna magonjwa matatu makubwa ambayo yanatunyima usingizi

    Aug 10, 2018 12:02

    Maradhi matatu makubwa, yametajwa kuwa ni changamoto ambayo hadi sasa inaendelea kulisumbua taifa la Uganda.

  • SAUTI, Mamlaka ya mapato nchini Uganda, imeamua kutumia mashine za kisasa katika kunasa bidhaa haramu

    SAUTI, Mamlaka ya mapato nchini Uganda, imeamua kutumia mashine za kisasa katika kunasa bidhaa haramu

    Aug 06, 2018 12:10

    Mamlaka ya kukusanya mapato nchini Uganda URA, imetangaza kwamba imefanikiwa kunasa kiasi kikubwa cha bidhaa haramu ambazo zilikuwa zikiingizwa nchini bila kulipiwa ushuru.

  • SAUTI, Ziara ya Narendra Modi nchini Uganda, kupanua kiwango uhusiano wa kiuchumi na kisiasa kati ya nchi mbili

    SAUTI, Ziara ya Narendra Modi nchini Uganda, kupanua kiwango uhusiano wa kiuchumi na kisiasa kati ya nchi mbili

    Jul 24, 2018 03:46

    Ziara ya Waziri Mkuu wa India nchini Uganda imetajwa kuwa itakayoboresha mahusiano ya nchi mbili, kutokana na kuwepo matumaini kuonyesha irada ya suala hilo.

  • Uganda yaongeza majeshi katika mpaka na DRC Ziwa Edward

    Uganda yaongeza majeshi katika mpaka na DRC Ziwa Edward

    Jul 16, 2018 22:25

    Jeshi la Uganda limetangaza kuongeza idadi ya askari wake wanaolinda doria katika mpaka wa pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika Ziwa Edward baada ya kujiri machafuko.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS