-
Polisi Uganda yawatia nguvuni wabunge watatu baada ya msafara wa rais Museveni kushambuliwa kwa mawe
Aug 14, 2018 15:04Polisi nchini Uganda imewakamata wabunge watatu na watu wengine kadhaa baada ya msafara wa magari wa rais wa nchi hiyo Yoweri Kaguta Museveni kushambuliwa kwa mawe.
-
Waasi wa ADF-NALU wa Uganda wafanya mashambulio DRC na kuua watu 6
Aug 12, 2018 12:59Waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wamefanya mashambulio katika jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua watu sita.
-
SAUTI, Wizara ya Afya Uganda: Bado tuna magonjwa matatu makubwa ambayo yanatunyima usingizi
Aug 10, 2018 16:32Maradhi matatu makubwa, yametajwa kuwa ni changamoto ambayo hadi sasa inaendelea kulisumbua taifa la Uganda.
-
SAUTI, Mamlaka ya mapato nchini Uganda, imeamua kutumia mashine za kisasa katika kunasa bidhaa haramu
Aug 06, 2018 16:40Mamlaka ya kukusanya mapato nchini Uganda URA, imetangaza kwamba imefanikiwa kunasa kiasi kikubwa cha bidhaa haramu ambazo zilikuwa zikiingizwa nchini bila kulipiwa ushuru.
-
SAUTI, Ziara ya Narendra Modi nchini Uganda, kupanua kiwango uhusiano wa kiuchumi na kisiasa kati ya nchi mbili
Jul 24, 2018 08:16Ziara ya Waziri Mkuu wa India nchini Uganda imetajwa kuwa itakayoboresha mahusiano ya nchi mbili, kutokana na kuwepo matumaini kuonyesha irada ya suala hilo.
-
Uganda yaongeza majeshi katika mpaka na DRC Ziwa Edward
Jul 17, 2018 02:55Jeshi la Uganda limetangaza kuongeza idadi ya askari wake wanaolinda doria katika mpaka wa pamoja na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika Ziwa Edward baada ya kujiri machafuko.
-
Rais Rouhani amtumia ujumbe mwenzake wa Uganda, Yoweri Museveni
Jul 12, 2018 15:01Mjumbe maalumu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemkabidhi Rais Yoweri Museveni wa Uganda ujumbe wa maandishi kutoka kwa mwenzake wa Iran.
-
Polisi yatumia mabomu kuzima maandamano Uganda
Jul 11, 2018 13:37Maafisa wa polisi nchini Uganda wametumia mabomu ya kutoa machozi kuzima maandamano ya wananchi waliomiminika katika barabara za mji mkuu Kampala, kulalamikia kodi mpya wanazotozwa watumiaji wa mitandao ya kijamii.
-
Mapigano kati ya jeshi la Uganda na Kongo DR yashtadi Ziwa Edward, wavuvi 12 wauawa
Jul 10, 2018 03:10Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema wavuvi wasiopungua 12 raia wa nchi hiyo wameuawa katika mapigano makali yanaoendelea kushuhudiwa kwa siku kadhaa sasa kati ya vikosi vya majini vya nchi hiyo na Uganda, katika maji ya Ziwa Edward.
-
SAUTI, Sakata la kodi mpya kwa mitandao ya kijamii Uganda lazidi kutokota, Waganda waitisha maandamano nchi nzima kuipinga
Jul 07, 2018 17:04Sakata la kuwekwa kodi kwa mitandao ya kijamii nchini limezidi kutokota ambapo mara hii kundi la wanaharakati kwa kushirikiana na viongozi wa upinzani wameitisha maandamano ya nchi nzima kupinga kodi hiyo.