-
7 wauawa katika makabiliano kati ya jeshi la Uganda na Kongo DR
Jul 06, 2018 13:23Askari wanne na raia watatu wa Uganda wameripotiwa kuuawa katika mapigano makali baina ya vikosi vya majini vya Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika maji ya Ziwa Albert.
-
Wakimbizi wa Sudan Kusini walioko Uganda wajiandaa kurejea nyumbani (RIPOTI)
Jun 26, 2018 16:41Wakimbizi wa Sudan Kusini walioko nchini Uganda wameanza kujitayarisha kurejea nchini kwao, baada ya pande hasimu za kisiasa katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika kusaini makubaliano ya amani mjini Khartoum, Sudan.
-
Polisi Uganda yawatia nguvuni washukiwa 15 wa mauaji wakati wa mechi ya Kombe la Dunia
Jun 22, 2018 08:05Polisi ya Uganda imetangaza kuwa imewatia nguvuni watu 15 wanaushukiwa kuhusika na machafuko yaliyotokea katika kambi ya wakimbizi kutoka Sudan Kusini wakati wa kutazama mechi ya Kombo la Dunia la mpira wa miguu.
-
SAUTI, Aliyekuwa mkuu wa jeshi la Polisi nchini Uganda, Kale Kayihura atiwa mbaroni, kushtakiwa kijeshi
Jun 13, 2018 17:15Jenerali wa zamani wa jeshi la polisi nchini Uganda, Kale Kayihura, ametiwa mbaroni Jumatano hii akihusishwa na tuhuma mbalimbali alizozitenda wakati akitumikia nafasi hiyo.
-
Mgogoro wa kidiplomasia kati ya Kenya na Uganda wanukia tena
Jun 13, 2018 07:55Mgogoro mwingine wa kidiplomasia kati ya Kenya na Uganda unanukia. Hii ni baada ya makumi ya wahamiaji haramu raia wa Uganda kukamatwa na maafisa wa polisi wa Kenya katika mpaka wa nchi mbili hizo.
-
Uganda yasisitiza kulindwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Jun 01, 2018 07:44Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda amesema kulindwa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA ni jambo lenye udharura mkubwa.
-
Wanasiasa Uganda watakiwa kuchunga matamshi yao kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola + Sauti
May 31, 2018 17:40Wanasiasa nchini Uganda wameonywa kuhusu kutoa matamshi yanayoweza kuzusha hofu na wasiwasi mkubwa nchini Uganda na katika ukanda mzima wa Afrika Mashariki kuhusu ugonjwa hatari wa Ebola. Mwandishi wetu Kigozi Ismail ametutayarishia ripoti maalumu kuhusu suala hilo...
-
Mufti Mkuu wa Uganda: Waislamu shikamaneni na mdumishe udugu
May 29, 2018 16:07Mufti Mkuu wa Uganda Sheikh Shaaban Ramadhan Mubajje amesisitizia umuhimu wa kudumishwa amani duniani kote.
-
Wakazi wa mashariki mwa Kongo waandamana kulaani udhaifu wa jeshi katika kukabiliana na waasi
May 23, 2018 03:37Utendaji dhaifu wa jeshi la serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kukabiliana na waasi wa maeneo ya mashariki mwa nchi hiyo, umewakasirisha wakazi wa maeneo hayo na kuamua kufanya maandamano.
-
SAUTI, Shirika la Afya WHO: Walaji wa nyama za porini kama sokwe nk waache tabia hiyo ili waepukane na Ebola
May 19, 2018 17:02Huku Shirika la Afya Duniani (WHO) limkitangaza kuwa, mlipuko wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo haujafika kiwango cha kutangazwa hali ya hatari, limeitaka serikali ya Uganda kuchukua hatua za kiafya kwa ajili ya kujikinga na janga hilo.