Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Waislamu nchini Uganda watakiwa kukithirisha ibada mwezi wa Ramadhani (SAUTI)

    Waislamu nchini Uganda watakiwa kukithirisha ibada mwezi wa Ramadhani (SAUTI)

    May 16, 2018 03:28

    Mwito umetolewa kwa waumini wa Kiislamu nchini Uganda kujipinda na kukithirisha ibada katika mwezi mtukufu wa Ramadhani.

  • Waislamu, Wakristo Uganda walalamikia kutozwa ushuru Misahafu, Biblia

    Waislamu, Wakristo Uganda walalamikia kutozwa ushuru Misahafu, Biblia

    May 15, 2018 09:44

    Viongozi wa kidini nchini Uganda wamekosoa vikali hatua ya Mamlaka ya Kukusanya Ushuru nchini humo URA kuanza kutoza ushuru wa forodha suhula za kidini zinazoingizwa nchini humo kama nakala za Qurani na Biblia.

  • UN: Wakimbizi 15,000 kutoka Sudan Kusini, DRC wameingia Uganda Aprili

    UN: Wakimbizi 15,000 kutoka Sudan Kusini, DRC wameingia Uganda Aprili

    May 12, 2018 23:46

    Ripoti mpya ya Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR imebainisha kuwa, wakimbizi 15,000 hususan kutoka nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Sudan Kusini wameingia nchini Uganda mwezi uliopita pekee wa Aprili.

  • Uganda yaitaka UN iiongezee ufadhili kwa ajili ya wakimbizi

    Uganda yaitaka UN iiongezee ufadhili kwa ajili ya wakimbizi

    May 06, 2018 03:20

    Serikali ya Uganda imeutaka Umoja wa Mataifa uongeze msaada na ufadhili wake kwa ajili ya makumi ya maelfu ya wakimbizi walioko nchini humo.

  • Upinzani Uganda waijia juu serikali kwa mauaji ya viongozi wa Kiislamu

    Upinzani Uganda waijia juu serikali kwa mauaji ya viongozi wa Kiislamu

    May 04, 2018 02:54

    Viongozi wa upinzani nchini Uganda wameitaka serikali ya Kampala kutoa ripoti kuhusu mauaji na kamatakamata dhidi ya viongozi na wahubiri wa Kiislamu katika nchi hiyo ya Afrika Mashariki.

  • SAUTI, Ripoti ya Kiislamu, Waislamu Uganda wamtaka Rais Museven kuzingatia uwiano katika nafasi za uongozi

    SAUTI, Ripoti ya Kiislamu, Waislamu Uganda wamtaka Rais Museven kuzingatia uwiano katika nafasi za uongozi

    Apr 27, 2018 12:13

    Waislamu nchini Uganda wamemkumbusha Rais Museven kuangalia uwiano katika uteuzi wa nafasi za uongozi kati ya Waislamu na Wakristo.

  • SAUTI, Ulaji nyama ambazo hazijaiva vizuri, ni hatari mno kwa afya ya mlaji yasema (WHO)

    SAUTI, Ulaji nyama ambazo hazijaiva vizuri, ni hatari mno kwa afya ya mlaji yasema (WHO)

    Apr 25, 2018 12:28

    Ripoti ya Shirika la Afya Duniani WHO, imesema kuwa, ulaji wa nyama choma ambazo hazijaiva vizuri, ni hatari kwa afya ya mlaji.

  • Uganda yakanusha kama imekubali kutuma wanajeshi wake katika vita dhidi ya Yemen

    Uganda yakanusha kama imekubali kutuma wanajeshi wake katika vita dhidi ya Yemen

    Apr 18, 2018 11:45

    Serikali ya Uganda imekadhibisha habari kwamba imekubali kutuma wanajeshi wake nchini Yemen.

  • SAUTI, Wanasheria Uganda wafungua upya kesi ya kupinga Rais Museven kugombea tena nafasi hiyo

    SAUTI, Wanasheria Uganda wafungua upya kesi ya kupinga Rais Museven kugombea tena nafasi hiyo

    Apr 09, 2018 13:30

    Wanasheria na wanasiasa nchini Uganda wamefungua tena kesi ya kupinga maamuzi ya kubatilisha kipengee cha ukomo wa umri kwa mgombea urais nchini humo.

  • Kipindupindu chaua makumi ya wakimbizi Uganda

    Kipindupindu chaua makumi ya wakimbizi Uganda

    Apr 05, 2018 23:18

    Zaidi ya wakimbizi 40 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu katika kambi za wakimbizi zilizoko nchini Uganda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS