Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uganda

  • Mzozo wa uongozi wapelekea msikiti kufungwa na kuzingirwa Uganda

    Mzozo wa uongozi wapelekea msikiti kufungwa na kuzingirwa Uganda

    Mar 23, 2018 02:52

    Wanajeshi na maafisa wa polisi wameufunga na kuuzingira Msikiti wa Basajjabalaba katika Manispaa ya Bushenyi-Ishaka magharibi mwa Uganda kutokana na mzozo miongoni mwa Waislamu katika eneo hilo.

  • UNHCR: Wakimbizi zaidi ya 57,000 wa DRC wameingia Uganda tangu kuanza mwaka huu

    UNHCR: Wakimbizi zaidi ya 57,000 wa DRC wameingia Uganda tangu kuanza mwaka huu

    Mar 17, 2018 04:33

    Shirika la Kuuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, raia zaidi ya 57,000 wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamekimbilia katika nchi jirani ya Uganda tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018.

  • SAUTI, Mamlaka ya kusimamia madawa Uganda yaendelea kunasa madawa bandia katika hospitali na maduka ya madawa

    SAUTI, Mamlaka ya kusimamia madawa Uganda yaendelea kunasa madawa bandia katika hospitali na maduka ya madawa

    Mar 15, 2018 13:13

    Taasisi ya kudhibiti madawa nchini Uganda imeendelea kukamata madawa ambayo yamekuwa yakiuzwa katika vituo mbalimbali vya afya nchini humo.

  • Generali Kayihura aliyepigwa kalamu nyekundu na Rais Museven ashtakiwa ICC

    Generali Kayihura aliyepigwa kalamu nyekundu na Rais Museven ashtakiwa ICC

    Mar 07, 2018 10:57

    Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) aliyefutwa kazi hivi karibuni na Rais Yoweri Museven wa Uganda Kale Kayihura, ameshtakiwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) kutokana na makosa dhidi ya binadamu ambayo inadaiwa aliyafanya alipokuwa na wadhifa huo wa polisi.

  • Sura mpya katika jeshi la polisi nchini Uganda + Sauti

    Sura mpya katika jeshi la polisi nchini Uganda + Sauti

    Mar 06, 2018 03:48

    Mwangwi wa hatua ya Rais Yoweri Kaguda Museveni wa Uganda ya kumtimua Inspekta Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini humo Jenerali Kale Kayehura na maafisa wengine kadhaa wa masuala ya usalama umeendelea kuhisika huku wananchi wakitoa maoni mbalimbali kuhusu hatua hiyo.

  • Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wafanya mashambulio mashariki mwa DRC na kuua watu 7

    Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wafanya mashambulio mashariki mwa DRC na kuua watu 7

    Mar 05, 2018 00:32

    Waasi wa Uganda wa ADF-Nalu wamefanya tena mashambulio katika eneo moja mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kuua watu saba.

  • Uganda yatumia mfumo wa Biometrics kuwasajili wakimbizi

    Uganda yatumia mfumo wa Biometrics kuwasajili wakimbizi

    Mar 03, 2018 12:43

    Uganda inatumia mfumo wa usajili wa alama za vidole (Biometric) kuwasajili wakimbizi wanaozidi kumimnika nchini humo kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemopkrasia ya Kongo.

  • Makumi ya wakimbizi wa DRC huko Uganda waaga dunia kwa kuharisha

    Makumi ya wakimbizi wa DRC huko Uganda waaga dunia kwa kuharisha

    Feb 23, 2018 04:11

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, makumi ya wakimbizi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamepoteza maisha baada ya mlipuko wa ugonjwa wa kuharisha kuikumba kambi moja ya wakimbizi magharibi mwa Uganda.

  • Yumkini Uganda ikarejesha adhabu ya kifo (SAUTI)

    Yumkini Uganda ikarejesha adhabu ya kifo (SAUTI)

    Jan 19, 2018 13:06

    Kuna wafungwa 278 ambao wamehukumiwa kifo lakini Rais Museveni hajatia saini amri ya utekelezwaji wa hukumu hizo.

  • Rais wa Uganda atafakari kurejesha hukumu ya kifo

    Rais wa Uganda atafakari kurejesha hukumu ya kifo

    Jan 19, 2018 10:32

    Rais Yoweri Museveni wa Uganda amesema anatafakari kurejesha hukumu ya kifo nchini humo ili kukabiliana na wimbi kubwa la uhalifu nchini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS