-
Museveni aituhumu UN kuwa 'inalinda ugaidi' Kongo DR
Jan 17, 2018 11:14Rais Yoweri Museveni wa Uganda ameibua tuhuma nzito dhidi ya Umoja wa Mataifa akidai kuwa chombo hicho cha kimataifa 'kinalinda ugaidi' mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Jeshi la Kongo lazindua operesheni dhidi ya waasi wa ADF wa Uganda
Jan 14, 2018 04:19Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeanzisha operesheni kali dhidi ya kundi la ADF la Uganda katika mji wa Beni mashariki mwa nchi.
-
SAUTI, Waislamu watakiwa kuyaenzi mafundisho ya Qur'an Tukufu na kuacha mifarakano
Jan 08, 2018 13:56Waislamu duniani wametakiwa kuenzi mafundisho ya Qur'an Tukufu sambamba na kuachana na tofauti ndogondogo zinazoweza kuwafanya kutokuwa wamoja.
-
Kiongozi wa upinzani Uganda ataka kususiwa uchaguzi
Jan 06, 2018 04:44Kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Dakta Kizza Besigye amewataka wananchi wa nchi hiyo ya Afrika Mashariki kutoshiriki uchaguzi mkuu ujao, na badala yake waunge mkono jitihada zake za kutamatisha utawala wa Rais Yoweri Kaguta Museveni.
-
Rwanda pia yakanusha taarifa za kukubaliana na Israel kuwapokea wahajiri
Jan 06, 2018 00:32Serikali ya Rwanda imekanusha taarifa za kukubali kuwapokea maelfu ya wahajiri wa Kiafrika kama sehemu ya mpango uliofikiwa baina yake na utawala wa Kizayuni wa Israel, muda mfupi baada ya Uganda kukabidhisha madai hayo ya Tel Aviv.
-
Makumi ya Wanyarwanda wafunguliwa mashitaka ya ugaidi Uganda
Dec 29, 2017 04:35Habari kutoka Kampala, mji mkuu wa Uganda zinasema raia 45 wa Rwanda wanaozuiliwa katika kituo cha polisi cha Nalufenya wilayani Jinja wamefunguliwa mashitaka ya ugaidi.
-
Jeshi la Uganda laua waasi zaidi ya 100 wa ADF Kongo DR
Dec 28, 2017 01:11Jeshi la Uganda limetangaza habari ya kuua wanachama wasiopungua 100 wa kundi la waasi wa ADF katika makabiliano makali yaliyojiri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Maelfu ya wakimbizi wa Kongo wawasili Uganda
Dec 27, 2017 23:13Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa limetangaza kuwa kuanzia tarehe 18 mwezi huu hadi hivi sasa zaidi ya wakimbizi 4500 kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamekimbilia Uganda.
-
Uganda na DRC kushirikiana katika kupambana na waasi wa ADF
Dec 20, 2017 04:46Uganda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimekubaliana kuimarisha utaratibu wa mawasiliano na kupeana taarifa za kiintelijensia kwa ajili ya kupambana na waasi wa ADF kufuatia mashambulizi yao dhidi ya vikosi vya walinzi wa amani wa Umoja wa Mataifa.
-
Mbunge wa Kivu Kaskazini atahadharisha kuhusu vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda
Dec 11, 2017 04:38Juvenal Munubo, mwakilishi wa Kivu Kaskazini katika Bunge la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo ametahadharisha kuhusiana na vitisho vya waasi wa ADF-Nalu wa Uganda wanaoendesha harakati zao mashariki mwa DRC.