-
Uchunguzi wa maoni: Asilimia 85 ya Waganda 'hawamtaki' Museveni
Dec 10, 2017 03:44Uchunguzi wa maoni umeonyesha kuwa asilimia 85 ya wananchi wa Uganda hawaungi mkono muswada wa kufanyia marekebisho katiba ili kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.
-
Makumi ya wanajeshi wa Uganda waanza kuondoka Somalia
Dec 07, 2017 11:41Jeshi la Ulinzi la Uganda UPDF limeanza kuondoa makumi ya wanajeshi wake wanaohudumu ndani ya Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia Amisom.
-
Besigye akamatwa tena, polisi Uganda yatumia vitoa machozi kuzima mkutano wa upinzani
Nov 15, 2017 03:49Kwa mara nyingine tena polisi ya Uganda imemtia mbaroni kinara wa upinzani nchini humo Kizza Besigye, kwa tuhuma za kuitisha mkutano wa hadhara pasina kibali cha vyombo vya usalama.
-
Magufuli na Museveni walaani uamuzi wa ICC kuhusu Burundi
Nov 11, 2017 12:24Marais wa Tanzania na Uganda wamelaani uamuzi ulitolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), ambayo imemuagiza Mwendesha Mashtaka wake, Fatou Bensouda kuanzisha uchunguzi wa vitendo vya kihalifu dhidi ya binadamu vilivyotokea nchini Burundi.
-
WHO yatahadharisha kuhusu ugonjwa wa virusi vya Marburg Kenya na Uganda
Nov 11, 2017 12:23Shirika la Afya Duniani (WHO) limewatahadharisha wageni wanaotembelea Hifadhi ya Taifa ya Mt Elgon juu ya hatari ya kupatwa na ugonjwa wa virusi vya Marburg.
-
Madaktari Uganda wafanya mgomo wakidai nyongeza ya mishahara
Nov 07, 2017 23:26Madaktari wa Uganda wameanza mgomo wa nchi nzima baad ya serikali kushindwa kutekeleza matakwa yao kuhusu nyongeza ya mshahara na kuboresha mazingira ya kazi katika hospitali za umma.
-
Wabunge wa upinzani Uganda warejesha 'hongo' ya kurefusha uongozi wa Museveni
Oct 26, 2017 04:37Wabunge wanane wa upinzani wamerejesha kwenye hazina ya serikali fedha walizopokea kwa ajili ya kufanikisha muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.
-
Zarif aonana na Rais na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda mjini Kampala + Picha
Oct 25, 2017 12:30Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonana na Rais Yowezi Kaguta Museveni wa uganda mjini Kampala na pande hizo mbili zimejadiliana masuala ya pande mbili na ya kieneo na kimataifa.
-
Dakta Zarif: Wairani wanaoishi nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya Iran
Oct 25, 2017 01:07Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Wairani walioko nje ya nchi ni rasilimali muhimu kwa ajili ya taifa hili.
-
Wabunge Uganda wapewa 'hongo' ya mamilioni ya pesa kurefusha uongozi wa Museveni
Oct 24, 2017 10:11Msemaji wa Bunge la Uganda amesema kila Mbunge wa nchi hiyo amepewa shilingi milioni 29 za nchi hiyo, sawa na dola elfu 8 za Marekani, kufanikisha muswada wa kuondoa kikomo cha umri wa kugombea urais.