Uganda yataka ushirikiano wa kiulinzi majini Afrika Mashariki + Sauti
Nov 26, 2018 14:37 UTC
Umetolewa wito wa kuwepo ushirikiano baina walinzi wa majini katika nchi za Afrika Mashariki katika masuala ya ulinzi na usalama kufuatia ajali ya boti iliyotokea katika Ziwa Victoria siku ya Jumamosi iliyopita. Mwandishi wetu wa mjini Kampala Kigozi Ismail, ametuandalia ripoti ifuatayo.
Tags