Uganda yataka ushirikiano wa kiulinzi majini Afrika Mashariki + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i49780-uganda_yataka_ushirikiano_wa_kiulinzi_majini_afrika_mashariki_sauti
Umetolewa wito wa kuwepo ushirikiano baina walinzi wa majini katika nchi za Afrika Mashariki katika masuala ya ulinzi na usalama kufuatia ajali ya boti iliyotokea katika Ziwa Victoria siku ya Jumamosi iliyopita. Mwandishi wetu wa mjini Kampala Kigozi Ismail, ametuandalia ripoti ifuatayo.
(last modified 2023-11-27T08:44:11+00:00 )
Nov 26, 2018 14:37 UTC

Umetolewa wito wa kuwepo ushirikiano baina walinzi wa majini katika nchi za Afrika Mashariki katika masuala ya ulinzi na usalama kufuatia ajali ya boti iliyotokea katika Ziwa Victoria siku ya Jumamosi iliyopita. Mwandishi wetu wa mjini Kampala Kigozi Ismail, ametuandalia ripoti ifuatayo.