Hali si shwari, Uganda yamimina wanajeshi wake katika mpaka na DRC + Sauti
Nov 20, 2018 03:18 UTC
Kufuatia kuzuka mgogoro wa mpakani mwa Uganda na Jamhuri ya Kidemoksaria ya Kongo, serikali ya Uganda imetuma wanajeshi wake wa wengi wa UPDF katika mpaka wa nchi hizo mbili. Kigozi Ismail na maelezo zaidi kutoka Kampala.
Tags