EAC yataka viongozi wa nchi wawafikie wananchi wa mashinani +Sauti
Mar 09, 2019 06:57 UTC
Wanasiasa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wametaka wananchi wa mashinani wa nchi za jumuiya hiyo wafikiwe na maamuzi makuu ili thamani yao iweze kulindwa. Mwandishi wetu wa Kampala, Uganda na taarifa zaidi...
Tags