Polisi mjini Kampala wapambana na vijana wenye hasira + Sauti
Apr 29, 2019 12:27 UTC
Ghasia za kisiasa na kijamii zimeongezeka mjini Kampala Uganda na kuwalazimisha polisi kutumia nguvu kukabiliana na ghasia hizo. Mwandishi wetu wa Kampala Kigozi Ismail na maelezo zaidi.
Tags