Bunge la Uganda lataka kuondolewa nyongeza ya karo Chuo Kikuu Makerere + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i56994-bunge_la_uganda_lataka_kuondolewa_nyongeza_ya_karo_chuo_kikuu_makerere_sauti
Bunge la Uganda limependekeza kuondolewa nyongeza ya karo baada ya kuongezeka maandamano na upinzani mkubwa wa wanachuo wa Chuo Kikuu cha Makerere. Maelezo zaidi na mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail.
(last modified 2026-01-02T07:57:23+00:00 )
Nov 01, 2019 16:28 UTC

Bunge la Uganda limependekeza kuondolewa nyongeza ya karo baada ya kuongezeka maandamano na upinzani mkubwa wa wanachuo wa Chuo Kikuu cha Makerere. Maelezo zaidi na mwandishi wetu wa Kampala, Kigozi Ismail.