-
Meli za mafuta za Iran zarejea barani Ulaya
Jan 18, 2017 13:26Meneja wa Shirika la Taifa la Meli za Mafuta la Iran amesema kuwa, meli za mafuta za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zimerejea kwenye bandari za barani Ulaya.
-
Amnesty yaitaka Uhispania iache kuiuzia Saudia meli za kivita
Nov 12, 2016 04:19Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka Uhispania iache kuiuzia Saudi Arabia manowari za kijeshi na kusisitiza kuwa, nchi hiyo ya Ulaya inapaswa kusitisha mauzo hayo kwa kuwa yumkini meli hizo za kivita zikatumika dhidi ya raia wasio na hatia wa Yemen.