Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uhuru Muigai Kenyatta

  • Idadi ya vifo vya wafuasi wa kanisa lenye utata Kenya yafikia 89

    Idadi ya vifo vya wafuasi wa kanisa lenye utata Kenya yafikia 89

    Apr 25, 2023 12:30

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Kenya Profesa Kithure Kindiki amesema, mauaji ya waumini wa Kanisa la kijiji cha Shakahola kilichoko katika Kaunti ya Kilifi ni hatua ya mabadiliko makubwa na muhimu kwa nchi hiyo kuhusu jinsi ya kushughulikia masuala ya usalama yanayosababishwa na waasi wa kidini.

  • Jitihada za Uhuru zimezaa matunda; waasi wa M23 wakubali kuondoka Kivu Kaskazini

    Jitihada za Uhuru zimezaa matunda; waasi wa M23 wakubali kuondoka Kivu Kaskazini

    Jan 13, 2023 07:37

    Juhudi za Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta za kurejesha amani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo zimepiga hatua kubwa kufuatia waasi wa M-23 kukubali kuondoka katika eneo hilo lililoathiriwa na machafuko.

  • Mjane za Mzee Jommo Kenyatta atetea hatua ya Uhuru ya kumuunga mkono Raila

    Mjane za Mzee Jommo Kenyatta atetea hatua ya Uhuru ya kumuunga mkono Raila

    Mar 23, 2022 13:14

    Aliyekuwa mama wa taifa la Kenya, Mama Ngina Kenyatta, ametetea uamuzi wa mwanawe, Rais Uhuru Kenyatta wa kutengana na naibu wake, William Ruto na kumuunga mkono kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga katika kampeni za uchaguzi mkuu ujao.

  • Rais Kenyatta atangaza rasmi kumuunga mkono Odinga katika uchaguzi wa rais Kenya

    Rais Kenyatta atangaza rasmi kumuunga mkono Odinga katika uchaguzi wa rais Kenya

    Feb 23, 2022 14:15

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza rasmi kumuunga mkono kinara wa chama cha upinzani cha ODM, Raila Odinga katika azma yake ya kugombea urais katika uchaguzi mkuu wa Agosti mwaka huu.

  • Mahakama Kuu ya Kenya yapinga mpango wa BBI wa kubadili katiba

    Mahakama Kuu ya Kenya yapinga mpango wa BBI wa kubadili katiba

    May 14, 2021 11:46

    Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamua kwamba, mageuzi ya kikatiba yanayopigiwa debe na Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi mkuu wa upinzani, Raila Odinga ni kinyume na sheria.

  • Tanzania, Kenya zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi

    Tanzania, Kenya zaafikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi

    May 04, 2021 15:00

    Kenya na Tanzania zimefikiana kuhusu ujenzi wa bomba la gesi aina ya LPG kutoka Dar es Salaam kwenda Mombasa.

  • Naibu Rais wa Kenya, Ruto asema yuko tayari kukihama chama tawala na kujiunga na Raila au UDA

    Naibu Rais wa Kenya, Ruto asema yuko tayari kukihama chama tawala na kujiunga na Raila au UDA

    Mar 25, 2021 11:28

    Naibu Rais wa Kenya William Ruto amesema leo Alhamisi kwa mara ya kwanza kwamba yuko tayari kukihama chama tawala cha Jubilee na kujiunga na chama United Democratic Alliance (UDA) kwa ajili ya uchaguzi wa urais wa 2022.

  • Rais Magufuli wa Tanzania aendelea kupongezwa kimataifa baada ya ushindi katika uchaguzi

    Rais Magufuli wa Tanzania aendelea kupongezwa kimataifa baada ya ushindi katika uchaguzi

    Nov 01, 2020 03:27

    Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania anaendelea kupongezwa kimataifa kutokana na ushindi mkubwa alioupata katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 28.

  • Jaji Mkuu wa Kenya amtaka Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge

    Jaji Mkuu wa Kenya amtaka Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge

    Sep 21, 2020 14:37

    Jaji Mkuu wa Kenya David Maraga Jumatatu ya leo amemshauri Rais Uhuru Kenyatta kulivunja Bunge kwa sababu ya kushindwa kutunga sheria kuhusu usawa wa kijinsia.

  • Rais wa Kenya atangaza kurefusha muda wa kafyu kukabiliana na Covid-19

    Rais wa Kenya atangaza kurefusha muda wa kafyu kukabiliana na Covid-19

    Jul 27, 2020 16:53

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya leo Jumatatu amerefusha kipindi cha kafyu nchini humo kwa siku nyingine 30 na kupiga marufuku uuzaji wa pombe migahawani ili kuzuia maambukizi ya COVID-19 nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS