-
Utafiti: Kampuni ya Uingereza ilisafirisha Waafrika kama watumwa hadi Guyana baada ya kukomeshwa
Aug 24, 2026 06:12Gazeti la The Guardian limefichua kuwa, kampuni ya kibiashara ya Uingereza iliendelea kusafirisha Waafrika kama watumwa kwenda Guyana, miaka kadhaa baada ya kukomeshwa utumwa katika sehemu kubwa ya makoloni ya Uingereza.
-
Hamas yawapongeza mabalozi wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaotaka Israel iwekewe vikwazo
Aug 23, 2026 13:57Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imepongeza muungano wa wanadiplomasia zaidi ya 100 wa zamani wa Ufaransa na Uingereza wanaozitaka serikali za nchi zao kushirikiana kulinda sheria za kimataifa katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina. Mabalozi hao pia wametaka Israel iwekewe vikwazo.
-
Hukumu ya kihistoria nchini Uingereza: Kupinga Uzayuni si chuki dhidi ya Wayahudi
Aug 05, 2026 12:03Katika uamuzi wa kihistoria uliotolewa jana Agosti 4, 2026, Mahakama Kuu ya Rufaa ya Ajira ya Uingereza ilikataa rufaa iliyowasilishwa na Chuo Kikuu cha Bristol dhidi ya msomi David Miller, ikithibitisha mfano wa kisheria unaotambua imani za kupinga Uzayuni kuwa ni itikadi ya kifalsafa inayolindwa chini ya Kifungu cha 10 cha Sheria ya Usawa ya Uingereza ya 2010.
-
Licha ya ushahidi wa UN, serikali ya UK yakataa kutambua mauaji ya kimbari ya Ghaza
Jul 29, 2026 02:23Serikali mpya ya Uingereza imekataa wito uliotolewa wabunge 80 na wenzao wa kuyatambua mauaji ya kimbari yaliyofanywa na Israel katika Ukanda wa Ghaza, kuuwekea utawala huo wa kizayuni vikwazo kamili vya silaha na kuanzisha vikwazo kamili dhidi ya utawala huo ghasibu.
-
Madaktari na wauguzi wa London wataka kuachiliwa huru daktari wa watoto wa Kipalestina
Jul 13, 2026 03:08Madaktari, wauguzi na wanaharakati wamekusanyika nje ya Chuo cha Kifalme cha Watoto na Afya ya Watoto (RCPCH) jijini London, wakitaka hatua zichukuliwe dhidi ya kukamatwa kinyume cha sheria daktari wa watoto wa Kipalestina Dkt. Hussam Abu Safiya anayeshilikiwa na utawala ghasibu wa Israel.
-
Uingereza kupiga marufuku watoto wa chini ya miaka 16 kutumia mitandao ya kijamii
Jun 16, 2026 02:47Waziri Mkuu wa Uingereza jana alisema nchi hiyo itapiga marufuku watoto walio na umri wa chini ya miaka 16 kutumia programu mbalimbali za mitandao ya kijamii ikiwa ni pamoja na Snapchat, TikTok na YouTube ili kuwalinda vijana dhidi ya maudhui hatari na kupoteza muda mwingi katika mitandao ya kijamii.
-
BBC: Uingereza ni mwathirika mkubwa zaidi wa kiuchumi wa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran
May 06, 2026 10:29Ripoti ya BBC inasema Uingereza inakabiliwa na pigo kubwa zaidi kwa ukuaji wa uchumi miononi mwa nchi za kundi la 20 (G20), kutokana na vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran na kufungwa Mlango Bahari wa Hormuz.
-
Wall Street Journal: Kambi ya Diego Garcia imeshambuliwa kwa makombora ya Iran
Mar 21, 2026 06:36Gazeti la Kimarekani la Wall Street Journal limeripoti kwamba, Iran imeshambulia kwa makombora mojawapo ya kambi za mbali zaidi za kistratijia za jeshi la Marekani nje ya nchi hiyo.
-
Zaidi ya raia 2,000 wa UK wamepigana kwa niaba ya Israel katika mauaji ya halaiki Gaza
Feb 12, 2026 22:32Maelfu ya raia wa Uingereza wamehudumu katika jeshi la Israel wakati wa vita vya mauaji ya halaiki vya utawala huo wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Mkuu wa Jumuiya ya Madola ahimiza kasi kuelekea mazungumzo ya fidia ya utumwa
Feb 11, 2026 06:18Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth), kundi la mataifa 56 linaloongozwa na Mfalme Charles wa Uingereza, amesema anatarajia nchi wanachama wa jumuiya hiyo zitapiga hatua ya kuanza mazungumzo kuhusu fidia ya biashara ya utumwa iliyovuka Bahari ya Atlantiki.