Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Akthari ya Waingereza wanataka Israel iwekewe vikwazo

    Akthari ya Waingereza wanataka Israel iwekewe vikwazo

    Jun 05, 2025 03:10

    Utafiti mpya wa maoni uliosimamiwa na Kampeni ya Mshikamano na Palestina (PSC) unaonyesha kuwa, aghalabu ya wananchi wa Uingereza wanaunga mkono kuwekwa vikwazo kamili vya kijeshi dhidi ya utawala wa Israel.

  • Iran: Hatuna cha kujadiliana na Uingereza iwapo haitaki turutubishe urani

    Iran: Hatuna cha kujadiliana na Uingereza iwapo haitaki turutubishe urani

    May 28, 2025 06:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, hakutakuwa na msingi zaidi wa mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Uingereza ikiwa London inaitaka Tehran isitishe kabisa shughuli zake za amani za kurutubisha urani, ikifuata kibubusa msimamo wa mshirika wake wa Magharibi, Marekani.

  • Kampuni ya Uingereza inaipatia Israel injini za ndege zisizo na rubani (Droni)

    Kampuni ya Uingereza inaipatia Israel injini za ndege zisizo na rubani (Droni)

    Apr 29, 2025 11:57

    Shirika moja la habari la Uingereza limefichua kuwa kampuni ya uhandisi ya RCV Engines ya Uingereza inasambaza kwa Israel injini za kizazi kipya zaidi cha ndege zisizo na rubani zinazotumika kufanya mauaji huko Palestina.

  • Wafanyakazi 300 wa Google wapinga kuiuzia Israel teknlojia ya AI, inatumika kuua raia Gaza

    Wafanyakazi 300 wa Google wapinga kuiuzia Israel teknlojia ya AI, inatumika kuua raia Gaza

    Apr 28, 2025 02:24

    Wafanyakazi karibu 300 wa Kampuni ya Google nchini Uingereza wamepinga uamuzi wa kampuni hiyo wa kuuza teknolojia ya akili mnemba (AI) kwa makampuni ya usalama yenye uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel na kutaka hatua hiyo isitishwe.

  • UK: Biashara na Ulaya ni muhimu zaidi kwetu kuliko Marekani

    UK: Biashara na Ulaya ni muhimu zaidi kwetu kuliko Marekani

    Apr 27, 2025 02:31

    Waziri wa Hazina wa Uingereza, Rachel Reeves amesemaa kuwa, biashara baina ya nchi yake na Umoja wa Ulaya ni muhimu zaidi kuliko uhusiano wa kiuchumi na Marekani.

  • Hata UK, Ujerumani na Ufaransa nazo pia zalaani hatua ya Israel ya kuzuia misaada isiingizwe Ghaza

    Hata UK, Ujerumani na Ufaransa nazo pia zalaani hatua ya Israel ya kuzuia misaada isiingizwe Ghaza

    Apr 24, 2025 04:12

    Ufaransa, Ujerumani na Uingereza nazo pia zimelaani hatua ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuendelea kuzuia kikamilifu misaada ya kibinadamu isiingizwe katika Ukanda wa Ghaza, na kutoa wito wa kuanzishwa mara moja utoaji misaada bila vizuizi sambamba na juhudi mpya za kusitisha mapigano.

  • Wafungwa Waislamu ‘wanalengwa’ na kukandamizwa nchini UK

    Wafungwa Waislamu ‘wanalengwa’ na kukandamizwa nchini UK

    Apr 17, 2025 02:30

    Shirika moja la kupigania haki za kijamii limefichua kwamba, wafungwa Waislamu nchini Uingereza wananyanyaswa na kuwekewa mbinyo, ikiwa ni pamoja na kupigwa marungu na kuwekewa vizuizi hasa katika magereza yenye Waislamu wengi.

  • Oligui Nguema ashinda kwa kishindo uchaguzi wa rais wa Gabon kwa kupata 90.35% ya kura

    Oligui Nguema ashinda kwa kishindo uchaguzi wa rais wa Gabon kwa kupata 90.35% ya kura

    Apr 14, 2025 06:10

    Brice Oligui Nguema, kiongozi wa serikali ya mpito ya Gabon na mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi ya mwaka 2023, amepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo wa 90.35% ya kura. Hayo ni kwa mujibu wa matokeo ya awali yaliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani jana Jumapili.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza: Trump anaiburuta dunia katika ukingo wa mdodoro wa uchumi

    Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza: Trump anaiburuta dunia katika ukingo wa mdodoro wa uchumi

    Apr 10, 2025 11:23

    Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza ametahadharisha kuwa sera za kibiashara za Rais Donald Trump wa Marekani zinauelekeza uchumi wa dunia katika mdodoro hatari wa kiuchumi; na ni kupitia tu kuratibiwa hatua za kimataifa ndipo tunaweza kuzuia kukaririwa mgogoro wa uchumi kama ule ulioiathiri dunia mwaka 2008.

  • Waingereza 10 wakabiliwa na tuhuma za jinai za kivita Gaza

    Waingereza 10 wakabiliwa na tuhuma za jinai za kivita Gaza

    Apr 07, 2025 11:35

    Kundi mashuhuri la mawakili wa haki za binadamu wa Uingereza linatazamiwa kuwasilisha malalamiko ya jinai za kivita dhidi ya Waingereza kumi waliokuwa sehemu ya wanajeshi wa Israel waliofanya mashambulizi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS