Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Watu zaidi ya 530 watiwa nguvuni London kwa kuiunga mkono Palestina

    Watu zaidi ya 530 watiwa nguvuni London kwa kuiunga mkono Palestina

    Aug 11, 2025 09:06

    Polisi ya London imetangaza kuwa jumla ya waandamanaji 532 wametiwa mbaroni wakati wa maandamano ya kuunga mkono kundi linalojulikana kwa jina la Palestine Action Group linalowatetea Wapalestina.

  •  Kituo cha silaha za nyuklia cha Uingereza chavujisha mada za radioactive

    Kituo cha silaha za nyuklia cha Uingereza chavujisha mada za radioactive

    Aug 09, 2025 15:20

    Mada za radioactive zimeripotiwa kuvuja baharini kutoka katika kituo kinachohifadhi mabomu ya nyuklia ya Uingereza baada ya mabomba ya zamani kupasuka mara kadhaa.

  • Marekani na China zashutumiana vikali kwenye Baraza la Usalama la UN kuhusiana na Russia

    Marekani na China zashutumiana vikali kwenye Baraza la Usalama la UN kuhusiana na Russia

    Jul 27, 2025 09:56

    Marekani na China zimeshutumiana vikali wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu madai ya kuihusisha Beijing katika mzozo wa Ukraine.

  • Maafisa wa Uingereza na Umoja wa Mataifa waitaka London kulitambua rasmi taifa la Palestina

    Maafisa wa Uingereza na Umoja wa Mataifa waitaka London kulitambua rasmi taifa la Palestina

    Jul 24, 2025 12:09

    Zaidi ya maafisa 50 wa zamani wa Uingereza na Umoja wa Mataifa wamemwandikia barua Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer wakimtaka alitambue rasmi taifa la Palestina.

  • Polisi UK yakamata makumi ya watu kwa kushiriki maandamano ya kuiunga mkono Palestina

    Polisi UK yakamata makumi ya watu kwa kushiriki maandamano ya kuiunga mkono Palestina

    Jul 13, 2025 07:06

    Polisi wa Uingereza imewakamata makumi ya wanaharakati wanaoiunga mkono Palestina wakati wa maandamano mapya ya kupinga marufuku ya vuguvugu la 'Palestine Action', kundi linalojulikana kwa maandamano yake dhidi ya makampuni ya silaha yenye uhusiano na Israel.

  • Wabunge 60 wa UK waitaka London ilitambue taifa la Palestina

    Wabunge 60 wa UK waitaka London ilitambue taifa la Palestina

    Jul 12, 2025 16:20

    Kufuatia mpango tata wa Israel wa kuwahamisha kwa nguvu wakazi wa Gaza na kuwapeleka Rafah, takriban wabunge 60 wa Uingereza wameitaka serikali ya London kulitambua rasmi taifa la Palestina.

  • Nafasi ya Uingereza katika vita vya Gaza yamulikwa; Mashinikizo yashtadi kwa ajili ya kufanyika uchunguzi

    Nafasi ya Uingereza katika vita vya Gaza yamulikwa; Mashinikizo yashtadi kwa ajili ya kufanyika uchunguzi

    Jul 05, 2025 04:16

    Huku idadi ya Wapalestina wanaouawa shahidi ikiongezeka huko Gaza, mashinikizo ya kuitaka serikali ya Uingereza kufanya uchunguzi huru kuhusina na mchango wa nchi hiyo katika vita vya Gaza yanazidi kuongezeka.

  • Akthari ya Waingereza wanataka Israel iwekewe vikwazo

    Akthari ya Waingereza wanataka Israel iwekewe vikwazo

    Jun 05, 2025 03:10

    Utafiti mpya wa maoni uliosimamiwa na Kampeni ya Mshikamano na Palestina (PSC) unaonyesha kuwa, aghalabu ya wananchi wa Uingereza wanaunga mkono kuwekwa vikwazo kamili vya kijeshi dhidi ya utawala wa Israel.

  • Iran: Hatuna cha kujadiliana na Uingereza iwapo haitaki turutubishe urani

    Iran: Hatuna cha kujadiliana na Uingereza iwapo haitaki turutubishe urani

    May 28, 2025 06:58

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, hakutakuwa na msingi zaidi wa mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Uingereza ikiwa London inaitaka Tehran isitishe kabisa shughuli zake za amani za kurutubisha urani, ikifuata kibubusa msimamo wa mshirika wake wa Magharibi, Marekani.

  • Kampuni ya Uingereza inaipatia Israel injini za ndege zisizo na rubani (Droni)

    Kampuni ya Uingereza inaipatia Israel injini za ndege zisizo na rubani (Droni)

    Apr 29, 2025 11:57

    Shirika moja la habari la Uingereza limefichua kuwa kampuni ya uhandisi ya RCV Engines ya Uingereza inasambaza kwa Israel injini za kizazi kipya zaidi cha ndege zisizo na rubani zinazotumika kufanya mauaji huko Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS