-
Zaidi ya raia 2,000 wa UK wamepigana kwa niaba ya Israel katika mauaji ya halaiki Gaza
Feb 13, 2026 02:02Maelfu ya raia wa Uingereza wamehudumu katika jeshi la Israel wakati wa vita vya mauaji ya halaiki vya utawala huo wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
Mkuu wa Jumuiya ya Madola ahimiza kasi kuelekea mazungumzo ya fidia ya utumwa
Feb 11, 2026 09:48Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth), kundi la mataifa 56 linaloongozwa na Mfalme Charles wa Uingereza, amesema anatarajia nchi wanachama wa jumuiya hiyo zitapiga hatua ya kuanza mazungumzo kuhusu fidia ya biashara ya utumwa iliyovuka Bahari ya Atlantiki.
-
Utafiti: UK inaendelea kusakamwa na uchochole
Jan 29, 2026 06:05Umaskini nchini Uingereza umezidi kuwa mbaya, huku idadi kubwa ya watu wakiishi katika hali ngumu wasiweze kumudu mahitaji yao ya msingi, hayo ni kwa mujibu utafiti uliofanywa na shirika moja la kutoa misaada.
-
Ubalozi wa Palestina wafunguliwa rasmi jijini London
Jan 06, 2026 07:08Ubalozi wa Palestina umefunguliwa rasmi jijini London, takriban miezi minne baada ya Uingereza kutangaza kuitambua Nchi ya Palestina.
-
Iran yaihutubu UN kuhusu 'mwenendo haramu endelevu' wa Trump
Jan 03, 2026 07:01Iran imeuonya rasmi Umoja wa Mataifa kuhusu "mwenendo haramu endelevu" wa Marekani, kufuatia matamshi ya vitisho ya Rais Donald Trump ambayo Jamhuri ya Kiislamu imeyashutumu na kuyaeleza kama ya uingiliaji wa mambo yake ya ndani na tishio la wazi la utumiaji nguvu.
-
Wakili Mskochi: Wawindaji wa wanawake wanatembea kwa uhuru nchini Uingereza
Dec 05, 2025 02:35Utafiti mpya unaonyesha kwamba wasichana na wanawake nchini Uingereza bado wanahisi hawako salama katika maeneo ya umma.
-
Afisa wa jeshi la Uingereza: Tuliua makumi ya Waafghani, maafisa walificha uhalifu huo
Dec 02, 2025 03:24Afisa wa zamani wa jeshi la Uingereza amefichua mauaji yaliyofanywa na askari wa kikosi maalumu cha Uingereza nchini Afghanistan na jinsi makamanda wa kikosi hicho walivyonyamazia kimya na kuficha uhalifu huu.
-
Marekani na Uingereza; madai ya uongo kuhusu haki za binadamu
Nov 12, 2025 02:31Ripoti kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Marekani na Uingereza zimechapishwa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran.
-
Chuo Kikuu cha Oxford chanufaika na makampuni yanayojishughulisha na uhalifu wa Israel
Oct 18, 2025 07:46Chuo Kikuu cha Oxford cha nchini Uingereza, ambacho kwa muda mrefu kinajulikana kama kilele cha elimu duniani, kinachunguzwa vikali baada ya kubainika wazi kwamba kimefanya uwekezaji kwa njia isiyo ya moja kwa moja katika makampuni yasiyopungua 49 yanayojihusisha na vitendo haramu vya Israel katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Bunge la Scotland lapiga kura ya kuisusia, kuiwekea vikwazo Israel kwa mauaji ya kimbari Gaza
Sep 05, 2025 10:36Bunge la Scotland limepiga kura ya kutaka kusisiwa mara moja Israel na kampuni za utawala huo wa Kizayuni zinazotuhumiwa kuhusika na mauaji ya kimbari huko Gaza.