Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uingereza

  • Oligui Nguema ashinda kwa kishindo uchaguzi wa rais wa Gabon kwa kupata 90.35% ya kura

    Oligui Nguema ashinda kwa kishindo uchaguzi wa rais wa Gabon kwa kupata 90.35% ya kura

    Apr 14, 2025 06:10

    Brice Oligui Nguema, kiongozi wa serikali ya mpito ya Gabon na mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi ya mwaka 2023, amepata ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo wa 90.35% ya kura. Hayo ni kwa mujibu wa matokeo ya awali yaliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani jana Jumapili.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza: Trump anaiburuta dunia katika ukingo wa mdodoro wa uchumi

    Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza: Trump anaiburuta dunia katika ukingo wa mdodoro wa uchumi

    Apr 10, 2025 11:23

    Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza ametahadharisha kuwa sera za kibiashara za Rais Donald Trump wa Marekani zinauelekeza uchumi wa dunia katika mdodoro hatari wa kiuchumi; na ni kupitia tu kuratibiwa hatua za kimataifa ndipo tunaweza kuzuia kukaririwa mgogoro wa uchumi kama ule ulioiathiri dunia mwaka 2008.

  • Waingereza 10 wakabiliwa na tuhuma za jinai za kivita Gaza

    Waingereza 10 wakabiliwa na tuhuma za jinai za kivita Gaza

    Apr 07, 2025 11:35

    Kundi mashuhuri la mawakili wa haki za binadamu wa Uingereza linatazamiwa kuwasilisha malalamiko ya jinai za kivita dhidi ya Waingereza kumi waliokuwa sehemu ya wanajeshi wa Israel waliofanya mashambulizi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Uingereza yailalamikia Israel kwa kuwakamata, kuwadhalilisha na kuwatimua wabunge wake

    Uingereza yailalamikia Israel kwa kuwakamata, kuwadhalilisha na kuwatimua wabunge wake

    Apr 07, 2025 03:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza ameulaumu utawala wa Kizayuni Israel kwa kuwazuia kuingia, kuwakamata na kisha kuwatimua wabunge wawili wa chama tawala cha nchi hiyo cha Leba katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.

  • China yajibu mapigo kwa Marekani, yazitoza ushuru wa 34% bidhaa za nchi hiyo

    China yajibu mapigo kwa Marekani, yazitoza ushuru wa 34% bidhaa za nchi hiyo

    Apr 05, 2025 02:36

    China imetangaza kuwa itazitoza ushuru wa ziada wa 34% bidhaa zote zinazoagizwa kutoka Marekani, hatua inayoonekana kuwa ni ya kujibu mapigo kwa ushuru wa 34% ambao Rais Donald Trump ameziwekea bidhaa zinazozalishwa na nchi hiyo yenye uchumi wa pili mkubwa zaidi duniani.

  • Shambulio la RSF laua raia wanne na kujeruhi wanane katika mji wa Omdurman, Sudan

    Shambulio la RSF laua raia wanne na kujeruhi wanane katika mji wa Omdurman, Sudan

    Mar 19, 2025 04:13

    Wizara ya Afya ya Sudan imetangaza kuwa, raia wanane wameuawa na wengine wanne wamejeruhiwa katika shambulizi la mizinga lililofanywa na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) huko Omdurman, mji mkuu pacha wa nchi hiyo Khartoum.

  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Bila shaka yoyote taifa la Yemen litaibuka mshindi

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Bila shaka yoyote taifa la Yemen litaibuka mshindi

    Mar 17, 2025 06:16

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amelipongeza taifa la Yemen kwa Muqawama wake wa kukabiliana na jinai za kinyama za utawala wa Marekani dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa hakuna shaka yoyote taifa la Yemen litaibuka mshindi.

  • Mtikisiko wa kiuchumi nchini Uingereza; Kengele ya hatari kwa serikali ya Starmer

    Mtikisiko wa kiuchumi nchini Uingereza; Kengele ya hatari kwa serikali ya Starmer

    Mar 15, 2025 08:42

    Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa uchumi wa Uingereza ulidorora mwanzoni mwa 2025, kinyume na utabiri, na kushuka huku kusikotarajiwa, ambako ni matokeo ya uzalishaji duni wa viwandani na kudorora kwa sekta muhimu, kumezidisha wasiwasi kuhusu mustakabali wa uchumi wa nchi hiyo na changamoto zinazoikabili serikali ya Waziri Mkuu wa nchi hiyo Keir Starmer katika njia ya ukuaji wa uchumi.

  • Wizi na uporaji wakithiri UK, kila siku matukio 55,000 ya wizi Uingereza

    Wizi na uporaji wakithiri UK, kila siku matukio 55,000 ya wizi Uingereza

    Mar 15, 2025 02:24

    Ripoti ya Muungano wa Wafanyabiashara wa Uingereza inaonesha kuwa maduka 55,000 nchini humo hukumbwa na vitendo vya wizi na uporaji kila siku, na robo ya wakazi wa nchi hiyo ya Ulaya wanasema walishuhudia kwa uchache tukio moja la wizi mwaka jana 2024.

  • Watoto wenye matatizo ya afya ya akili wazidi kuongezeka nchini Uingereza

    Watoto wenye matatizo ya afya ya akili wazidi kuongezeka nchini Uingereza

    Jan 24, 2025 06:57

    Idadi ya watoto wanaokabiliwa na matatizo ya afya ya akili nchini Uingereza inaripotiwa kuongezeka na kuibua wasiwasi mkubwa katika jamii ya hiyo ya bara Ulaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS