-
Marekani na China zashutumiana vikali kwenye Baraza la Usalama la UN kuhusiana na Russia
Jul 27, 2025 09:56Marekani na China zimeshutumiana vikali wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu madai ya kuihusisha Beijing katika mzozo wa Ukraine.
-
Maafisa wa Uingereza na Umoja wa Mataifa waitaka London kulitambua rasmi taifa la Palestina
Jul 24, 2025 12:09Zaidi ya maafisa 50 wa zamani wa Uingereza na Umoja wa Mataifa wamemwandikia barua Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer wakimtaka alitambue rasmi taifa la Palestina.
-
Polisi UK yakamata makumi ya watu kwa kushiriki maandamano ya kuiunga mkono Palestina
Jul 13, 2025 07:06Polisi wa Uingereza imewakamata makumi ya wanaharakati wanaoiunga mkono Palestina wakati wa maandamano mapya ya kupinga marufuku ya vuguvugu la 'Palestine Action', kundi linalojulikana kwa maandamano yake dhidi ya makampuni ya silaha yenye uhusiano na Israel.
-
Wabunge 60 wa UK waitaka London ilitambue taifa la Palestina
Jul 12, 2025 16:20Kufuatia mpango tata wa Israel wa kuwahamisha kwa nguvu wakazi wa Gaza na kuwapeleka Rafah, takriban wabunge 60 wa Uingereza wameitaka serikali ya London kulitambua rasmi taifa la Palestina.
-
Nafasi ya Uingereza katika vita vya Gaza yamulikwa; Mashinikizo yashtadi kwa ajili ya kufanyika uchunguzi
Jul 05, 2025 04:16Huku idadi ya Wapalestina wanaouawa shahidi ikiongezeka huko Gaza, mashinikizo ya kuitaka serikali ya Uingereza kufanya uchunguzi huru kuhusina na mchango wa nchi hiyo katika vita vya Gaza yanazidi kuongezeka.
-
Akthari ya Waingereza wanataka Israel iwekewe vikwazo
Jun 05, 2025 03:10Utafiti mpya wa maoni uliosimamiwa na Kampeni ya Mshikamano na Palestina (PSC) unaonyesha kuwa, aghalabu ya wananchi wa Uingereza wanaunga mkono kuwekwa vikwazo kamili vya kijeshi dhidi ya utawala wa Israel.
-
Iran: Hatuna cha kujadiliana na Uingereza iwapo haitaki turutubishe urani
May 28, 2025 06:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi ameonya kwamba, hakutakuwa na msingi zaidi wa mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Uingereza ikiwa London inaitaka Tehran isitishe kabisa shughuli zake za amani za kurutubisha urani, ikifuata kibubusa msimamo wa mshirika wake wa Magharibi, Marekani.
-
Kampuni ya Uingereza inaipatia Israel injini za ndege zisizo na rubani (Droni)
Apr 29, 2025 11:57Shirika moja la habari la Uingereza limefichua kuwa kampuni ya uhandisi ya RCV Engines ya Uingereza inasambaza kwa Israel injini za kizazi kipya zaidi cha ndege zisizo na rubani zinazotumika kufanya mauaji huko Palestina.
-
Wafanyakazi 300 wa Google wapinga kuiuzia Israel teknlojia ya AI, inatumika kuua raia Gaza
Apr 28, 2025 02:24Wafanyakazi karibu 300 wa Kampuni ya Google nchini Uingereza wamepinga uamuzi wa kampuni hiyo wa kuuza teknolojia ya akili mnemba (AI) kwa makampuni ya usalama yenye uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel na kutaka hatua hiyo isitishwe.
-
UK: Biashara na Ulaya ni muhimu zaidi kwetu kuliko Marekani
Apr 27, 2025 02:31Waziri wa Hazina wa Uingereza, Rachel Reeves amesemaa kuwa, biashara baina ya nchi yake na Umoja wa Ulaya ni muhimu zaidi kuliko uhusiano wa kiuchumi na Marekani.