-
Ufuska Ujerumani: Maambukizi ya magonjwa ya zinaa yaongezeka kwa 460%
Sep 28, 2025 12:21Mambukizi ya magonjwa ya zinaa (STIs) yanaonekana kuongezeka kwa kiwango cha kuogofya nchini Ujerumani.
-
Kwa nini maandamano ya kupinga kuungwa mkono Israel yameongezeka barani Ulaya?
Sep 15, 2025 11:00Maelfu ya watu wamemiminika barabarani mjini Berlin kupinga sera za Ujerumani katika eneo la Asia Magharibi hususan za kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran: Muqawama ni 'hazina kubwa' kwa eneo
Aug 15, 2025 07:31Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema, Muqawama ni "hazina kubwa" kwa eneo na Ulimwengu wa Kiislamu na akabainisha kuwa makundi ya Muqawama yamefikia kwenye "ukomavu" katika kujichukulia maamuzi yao.
-
Russia: Njia ya sasa ya Ujerumani na Ulaya inauelekeza ulimwengu kwenye Vita vya Tatu vya Dunia
Aug 01, 2025 13:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema: "Viongozi wa sasa wa Ujerumani na nchi nyingine za Ulaya wanageuka kuwa Reich ya Nne, na njia yao ya sasa itauelekeza ulimwengu katika vita vikuu vya tatu."
-
Mamia ya watu mashuhuri Ujerumani watoa wito wa kusitishwa uuzaji wa silaha kwa Israel
Aug 01, 2025 13:27Gazeti la Ujerumani la Der Spiegel limeandika kuwa, zaidi ya shakhsia 200 mashuhuri wa vyombo vya habari, utamaduni na sanaa wameitaka serikali ya Ujerumani kusitisha uuzaji wa silaha kwa utawala wa Israel.
-
Ethiopia yazindua kampeni ya kupanda miti milioni 700 kwa siku moja
Aug 01, 2025 07:37Ethiopia imezindua kampeni ya ustawishaji wa mazingira ambayo haijawahi kushuhudiwa wakati mamilioni ya wananchi waliposhiriki jana Alkhamisi katika juhudi za kitaifa za kupanda miti milioni 700 kwa siku moja.
-
Marekani na China zashutumiana vikali kwenye Baraza la Usalama la UN kuhusiana na Russia
Jul 27, 2025 09:56Marekani na China zimeshutumiana vikali wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu madai ya kuihusisha Beijing katika mzozo wa Ukraine.
-
IAEA: Baada ya miezi michache, Ujerumani itaweza kuunda silaha za nyuklia
Jul 11, 2025 14:09Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati IAEA Rafael Grossi ametangaza kuwa, Ujerumani inaweza kutengeneza silaha zake za nyuklia ndani ya kipindi cha miezi kadhaa ikiwa itachagua kufanya hivyo. Katika mahojiano na tovuti ya habari ya Poland ya Reczpospolita Grossi amesema Berlin tayari ina nyenzo muhimu za nyuklia, ujuzi na ufikiaji wa teknolojia ya kuunda silaha hizo.
-
Jibu la swali la leo; Kwa nini Ujerumani inataka kuongeza kwa kiasi kikubwa gharama zake za kijeshi?
Jul 11, 2025 08:18Katika hotuba yake kwa bunge la nchi hiyo Bundestag, Kansela wa Ujerumani, Friedrich Merz, sambamba na kuunga mkono ongezeko kubwa la gharama na matumizi ya kijeshi, alisisitiza kuwa anataka kuligeuza jeshi la nchi yake kuwa taasisi ya kupigiwa mfano na inayoongoza katika Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO).
-
Bunge la Ujerumani latilia shaka uhalali wa mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran
Jul 09, 2025 18:26Huenda mashambulio ya Israel na Marekani dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran mwezi uliopita yalikiuka sheria za kimataifa, kwa mujibu wa ripoti ya wataalamu wa bunge la Ujerumani iliyonukuliwa na shirika la habari la dpa.