Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ujerumani

  • Muhammad; Jina pendwa na maarufu zaidi katika mji mkuu wa Ujerumani

    Muhammad; Jina pendwa na maarufu zaidi katika mji mkuu wa Ujerumani

    Dec 31, 2024 07:44

    Jina "Muhammad" limetangazwa kuwa ndilo jina pendwa na maarufu zaidi kwa watoto wa kiume katika miji ya Ujerumani ya Berlin na Brandenburg katika mwaka unaomalizika leo wa 2024.

  • Ripota Maalumu wa UN afichua nafasi ya Ujerumani na Marekani katika mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

    Ripota Maalumu wa UN afichua nafasi ya Ujerumani na Marekani katika mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

    Dec 28, 2024 07:31

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Kuhusu Haki za Binadamu na Kupambana na Ugaidi amesema: Marekani na Ujerumani zinadhamini asilimia 99 ya silaha za utawala wa Kizayuni wa Israel na inawezekana kuchukuliwa hatua za kisheria dhidi ya nchi hizo.

  • Spiegel: Serikali ya Ujerumani imeidhinisha kutuma kiasi kikubwa cha silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Spiegel: Serikali ya Ujerumani imeidhinisha kutuma kiasi kikubwa cha silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Dec 26, 2024 06:50

    Jarida la Spiegel limetangaza kuwa serikali ya Ujerumani imeidhinisha kutumwa kiasi kikubwa cha silaha kwa utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendeza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Ukanda Gaza.

  • Ukatili wa kijinsia unazidi kuongezeka Kenya, matukio zaidi ya 7,000 yameripotiwa katika mwaka mmoja

    Ukatili wa kijinsia unazidi kuongezeka Kenya, matukio zaidi ya 7,000 yameripotiwa katika mwaka mmoja

    Dec 25, 2024 06:54

    Kenya inakabiliwa na ongezeko la kutisha la ukatili wa kijinsia, baada ya kesi zaidi ya 7,100 kuripotiwa tangu Septemba 2023, ikiwa ni pamoja na mauaji 100 yaliyorekodiwa ya wanawake tangu Agosti mwaka huu. Hayo ni kwa mujibu wa rekodi za serikali.

  • Kharrazi: Kuna muelekeo wa Iran kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake

    Kharrazi: Kuna muelekeo wa Iran kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake

    Nov 02, 2024 07:41

    Kamal Kharrazi, Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Mahusiano ya Nje la Iran amesema, kuna muelekeo wa Jamhuri ya Kiislamu kuongeza umbali wa masafa yatakakofika makombora yake, akionya kuwa Tehran inaweza kubadilisha mwongozo wake wa kijeshi iwapo itakabiliwa na kitisho cha kuhatarisha uwepo wake.

  • Kuongezeka uhasama na chuki dhidi ya Waislamu barani Ulaya

    Kuongezeka uhasama na chuki dhidi ya Waislamu barani Ulaya

    Oct 28, 2024 06:58

    Kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya ukatili dhidi ya Waislamu katika nchi mbalimbali za Ulaya kumewatia wasiwasi viongozi wengi wa nchi za bara hilo juu ya matokeo ya mwenendo huo.

  • Ujerumani yaondoa wanajeshi wake wa mwisho Niger baada ya kutimuliwa

    Ujerumani yaondoa wanajeshi wake wa mwisho Niger baada ya kutimuliwa

    Aug 31, 2024 10:59

    Ujerumani imeviondoa vikosi vyake vya kijeshi kutoka nchi ya Niger katika eneo lenye machafuko la Sahel barani Afrika.

  • Ujerumani yakosolewa kwa kumfukuza mwanachuoni wa Kiislamu

    Ujerumani yakosolewa kwa kumfukuza mwanachuoni wa Kiislamu

    Aug 30, 2024 02:42

    Watumiaji wa mitandao ya kijamii wameikosoa vikali serikali ya Ujerumani kwa kumtimua nchini humo mwanachuoni mmoja mashuhuri wa Kiislamu.

  • Ulaya yaendelea kushuhudia maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Ulaya yaendelea kushuhudia maandamano ya kuwaunga mkono Wapalestina

    Jul 29, 2024 02:56

    Wananchi wa nchi mbalimbali za barani Ulaya kwa mara nyingine wamefanya maandamano ya kuwaunga mkono wananchi madhulumu wa Gaza, Palestina.

  • Marekani yahamisha silaha zilizopigwa marufuku kutoka Ujerumani kwenda Ukraine

    Marekani yahamisha silaha zilizopigwa marufuku kutoka Ujerumani kwenda Ukraine

    Jul 28, 2024 08:04

    Vyombo vya habari vya Ujerumani vimefichua kuwa nchi hii inahifadhi mabomu yaliyopigwa marufuku ya vishada ya Marekani na kwamba inapanga kuyahamishia Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS