-
Ujerumani yakosolewa kwa ujumbe wa Twitter wa kuidhalilisha Afrika
Jan 29, 2023 09:09Viongozi na watumiaji mitandao ya kijamii katika nchi za Afrika wameijia juu Wizara ya Mambo ya Nje ya Ujerumani kwa kuchapisha ujumbe wa dharau na kulidhalilisha bara hilo.
-
Ripoti: Harakati ya kutetea ushoga iliibua tatizo kubwa ndani ya timu ya taifa ya Ujerumani huko Qatar
Dec 06, 2022 23:42Harakati ya "kuziba midomo" iliyofanywa na wachezaji wa timu ya taifa ya mpira wa miguu ya Ujerumani kwenye mechi yao ya ufunguzi katika Kombe la Dunia 2022 huko Qatar dhidi ya Japan, ilisababisha matatizo ndani ya kambi ya timu hiyo, na kuibua tofauti kati ya wachezaji ambao walikataa kushiriki kwenye kampeni ya kutetea ushoga.
-
Ujerumani, mkiukaji mkubwa wa haki za binadamu katika joho la mtetezi wa haki za binadamu
Nov 26, 2022 23:00Ujerumani, kama mwanachama wa Umoja wa Ulaya, pamoja na Marekani, imechukua mtazamo wa kiadui na kuingilia masuala ya ndani ya Iran wakati wa machafuko na ghasia za hivi karibuni.
-
Namibia yaangusha 'sanamu la ukoloni' mjini Windhoek
Nov 24, 2022 06:51Sanamu la afisa mkoloni wa zamani wa Ujerumani limeondolewa katika mji mkuu wa Namibia, Windhoek kutokana na mashinikizo ya wanaharakati wa nchi hiyo ya Kiafrika.
-
Mgogoro wa nishati Ulaya, vyuo vikuu vya Ujerumani navyo havikusalaimika
Nov 23, 2022 08:31Mgogoro wa nishati umezidi kuwa mkubwa katika nchi za Ulaya kiasi kwamba vyuo vikuu vya Ujerumani vimelazimika kuweka kwenye ajenda yake ubanaji wa matumizi ya nishati.
-
Jitihada za kufunga kituo cha Kiislamu cha Hamburg, Ujerumani
Nov 12, 2022 08:48Katika juhudi za madola ya Magharibi za kuunga mkono ghasia na machafuko nchini Iran, vyama vya muungano unaotawala nchini Ujerumani vimetoa wito wa kufungwa Kituo cha Kiislamu na Kiutamduni cha Iran katika mji wa Hamburg nchini humo.
-
Iran yaionya Ujerumani: Jibu letu kwa uingiliaji wenu litakuwa zito
Nov 10, 2022 07:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali matamshi ya uingiliaji na ya kichochezi yaliyotolewa na mwenzake wa Ujerumani na kuonya kuwa, Tehran itatoa jibu lenye mlingano na madhubuti kwa misimamo hiyo ya uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi hii.
-
Wanaharakati wa mitandao ya kijamii waanzisha kampeni ya kususiwa PUMA na kupeperusha bendera ya Palestina Qatar 2022
Oct 31, 2022 23:00Wanaharakati wa mitandao ya kijamii wameanzisha kampeni ya kusuusiwa kampuni ya vifaa vya michezo ya PUMA ya Ujerumani na kupeperushwa bendera ya Palestina wakati wa mashindano ya Kombe la Dunia Qatar 2022 ili kuwaazindua walimwengu kuhusumasaibu ya watu wa Palestina na umuhimu wa ukombozi wa ardhi hiyo inayokaliwa kwa mabavu na Israel.
-
Maandamano ya Ulaya dhidi ya kuzorota hali ya kiuchumi
Oct 24, 2022 23:06Kufuatia kuenea mgogoro wa kiuchumi katika nchi mbalimbali za Ulaya, wananchi wengi wameandamana katika nchi kama vile Ujerumani, Ufaransa, Uingereza na Romania kulalamikia hali mbaya ya maisha.
-
Familia yalilia haki baada ya polisi wa Ujerumani kumuua kikatili mtu mweusi
Oct 11, 2022 08:35Familia ya mtu mmoja wa asili ya Afrika aliyefariki dunia kutokana na ukatili wa polisi ya Ujerumani wiki iliyopita imetoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa kina ili kuwafikisha mbele ya sheria askari polisi waliohusika na mauaji hayo.