-
Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33
May 12, 2025 12:00Wapalestina wasiopungua 33 wameuawa shahidi katika muda wa saa 24 zilizopita huko Gaza, maafisa wa afya katika eneo hilo lililo chini ya mzingiro wameripoti.
-
Israel: Hatusitishi mashambulizi mpaka Wapalestina wafukuzwe Gaza; Syria igawanyishwe
Apr 30, 2025 10:19Waziri wa fedha mwenye misimamo ya kuchupa mipaka wa Israel, Bezalel Smotrich anasema utawala huo wa Kizayuni utasitisha tu uvamizi wake Gaza wakati "mamia ya maelfu" ya Wapalestina watalazimishwa kuyahama makazi yao; na Syria igawanyishwe vipande vipande.
-
Makumi ya wanawake, watoto wauawa na mabomu ya Wazayuni Gaza
Apr 16, 2025 14:51Mashambulizi makali ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel yameua shahidi zaidi ya Wapalestina 20, wakiwemo wanawake na watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.
-
UN: Wapalestina 400,000 Gaza wamefurushwa makwao ndani ya wiki 3
Apr 12, 2025 11:40Takwimu mpya za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa, idadi kubwa ya Wapalestina wamelazimika kuyahama makazi yao katika Ukanda wa Gaza tangu utawala haramu wa Israel uanzishe mashambulizi mapya baada ya kuvunja makubaliano ya usitishaji vita zaidi ya wiki tatu zilizopita.
-
Ripota wa UN: Muda wa kuwanusuru Wapalestina unazidi kuyoyoma
Apr 11, 2025 02:06Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya Palestina ameonya kwamba "hakuna muda mwingi uliobaki" kuwaokoa watu wa Palestina wakati huu ambapo Israel inaendeleza mashambulizi yake mtawalia katika Ukanda wa Gaza, na ukandamizaji unaoendelea katika Ukingo wa Magharibi.
-
Wapalestina wengine 40 wauawa shahidi Gaza na mabomu ya Wazayuni
Apr 10, 2025 02:54Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kumwaga damu za Wapalestina; ambapo umewauwa Wapalestina karibu 40 wakiwemo watoto katika mashambulizi ya anga ya karibuni katika maeneo kadhaa katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.
-
Watoto laki 6 wa Kipalestina Gaza katika hatari ya kupata ulemavu
Apr 07, 2025 11:36Wizara ya Afya katika Ukanda wa Gaza imesema hatua ya Israel ya kuzuia kampeni ya chanjo ya ugonjwa wa kupooza wa polio inawaweka malaki ya watoto wa Kipalestina katika hatari ya kupata ulemavu wa kudumu.
-
Kilele cha ukatili wa Israel; Waliouawa shahidi Gaza wapindukia 50,200
Mar 28, 2025 07:30Jeshi katili la Israel ambalo lilianzisha mashambulizi mapya ya anga katika Ukanda wa Gaza mnamo Machi 18, limeendelea kupuuza miito ya jamii ya kimataifa ya kukomesha ukatili wake katika ukanda huo; ambapo mpaka sasa limeshaua shahidi Wapalestina karibu 900 na kujeruhi wengine karibu 2,000.
-
Jeshi katili la Israel laendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza
Mar 25, 2025 02:51Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wengine 17 katika mashambulizi ya alfajiri ya leo katika Ukanda wa Gaza, siku moja baada ya kuua shahidi Wapalestina zaidi ya 60 akiwemo ripota wa Al Jazeera, Hossam Shabat katika ukanda huo.
-
Iran: Kufurushwa Wapalestina Gaza ni muendelezo wa mauaji ya kimbari
Mar 07, 2025 02:33Iran imesema kuwa, mpango wa kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Gaza na kuwapeleka katika nchi jirani ni kuendeleza mauaji ya kimbari kwa kutumia zana za kisiasa.