Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • Nchi nane za Kiarabu na Kiislamu: Gaza ni eneo lisiloweza kutenganishwa na Palestina

    Nchi nane za Kiarabu na Kiislamu: Gaza ni eneo lisiloweza kutenganishwa na Palestina

    Sep 07, 2026 03:05

    Nchi nane za Kiarabu na Kiislamu ambazo ni Saudi Arabia, Jordan, Umoja wa Falme za Kiarabu, Indonesia, Pakistan, Uturuki, Qatar na Misri, zimetangaza kuwa, Ukanda wa Gaza ni sehemu isiyotenganishwa ya ardhi ya Palestina.

  • Umoja wa Mataifa: Hakuna sehemu salama katika Ukanda wa Gaza

    Umoja wa Mataifa: Hakuna sehemu salama katika Ukanda wa Gaza

    Sep 07, 2026 02:56

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, hakuna sehemu salama katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Mazishi ya Wapalestina 100 waliouliwa shahidi yafanyika Gaza; watoto 70 ni miongoni mwa mashahidi hao

    Mazishi ya Wapalestina 100 waliouliwa shahidi yafanyika Gaza; watoto 70 ni miongoni mwa mashahidi hao

    Sep 06, 2026 11:32

    Mazishi ya Wapalestina 100 waliouliwa shahidi yafanyika Gaza; watoto 70 ni miongoni mwa mashahidi hao

  • UN: Hali ya kibinadamu Gaza na Ukingo wa Magharibi yazidi kuzorota

    UN: Hali ya kibinadamu Gaza na Ukingo wa Magharibi yazidi kuzorota

    Sep 02, 2026 02:43

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa, lile la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) na la Afya Duniani (WHO) yameonya kuhusu kuzorota kwa hali ya kibinadamu katika maeneo ya Palestina yanayokaliwa kimabavu na Israel.

  • Afrika Kusini yawasilisha kesi ICJ dhidi ya Israel kwa kukataa kutekeleza maamuzi yake kuhusu Gaza

    Afrika Kusini yawasilisha kesi ICJ dhidi ya Israel kwa kukataa kutekeleza maamuzi yake kuhusu Gaza

    Aug 30, 2026 03:42

    Afrika Kusini imewasilisha hati mpya ya ushahidi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), ikiishutumu Israel kwa kukataa kufuata maagizo matatu ya kisheria kuhusu Ukanda wa Gaza, na kuonya kwamba kuendelea ukiukwaji wa sheria za kimataifa kunaweza kudhoofisha himaya inayotolewa na mahakama hiyo na uhalali wake.

  • Baada ya miaka 25, Misri yamtambulisha tena mtoto Muhammad al-Durra kwenye mtaala wa somo la historia

    Baada ya miaka 25, Misri yamtambulisha tena mtoto Muhammad al-Durra kwenye mtaala wa somo la historia

    Aug 26, 2026 11:13

    Miaka 25 baada ya tukio lililoishtua na kuitikisa dunia, picha ya mtoto wa miaka 12 wa Kipalestina Muhammad al-Durra aliyeuliwa kinyama na hadharani na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel imehama kutoka kwenye skrini za televisheni hadi kwenye kurasa za kitabu cha kiada cha Misri, katika somo linaloangazia Intifadha ya Pili ya Wapalestina ya mwaka 2000.

  • Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu Ukanda wa Gaza ni mbaya kutokana na kuongezeka wimbi la njaa

    Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu Ukanda wa Gaza ni mbaya kutokana na kuongezeka wimbi la njaa

    Aug 22, 2026 02:53

    Umoja wa Mataifa umeonya kuhusu kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza kutokana na kuendelea mashambulizi ya utawala wa Israel pamoja na kushadidishwa mzingiro dhidi ya eneo hilo.

  • Mazishi ya Wapalestina 50 wasiojulikana waliouawa katika mauaji ya kimbari

    Mazishi ya Wapalestina 50 wasiojulikana waliouawa katika mauaji ya kimbari

    Aug 21, 2026 06:08

    Mamia ya watu wameswali Swala ya Janaza wakati wa mazishi ya pamoja katika Jiji la Gaza kwa ajili ya Wapalestina 50 ambao miili yao ilipatikana hivi karibuni na vikosi vya Ulinzi wa Raia ikiwa chini ya mabaki ya nyumba zilizobomolewa katika mashambulizi ya Israel wakati wa vita vya mauaji ya kimbari katika eneo hilo lililozingirwa.

  • Wabunge wa Uganda watilia shaka uamuzi wa serikali kutaka kupeleka wanajeshi Ghaza

    Wabunge wa Uganda watilia shaka uamuzi wa serikali kutaka kupeleka wanajeshi Ghaza

    Aug 07, 2026 12:27

    Baadhi ya wabunge wa upinzani nchini Uganda wametilia shaka uamuzi wa serikali wa kutaka kupeleka wanajeshi wa nchi hiyo huko Ukanda wa Ghaza watakaokuwa sehemu ya kikosi cha kimataifa cha kurejesha uthabiti katika eneo hilo la ardhi ya Palestina.

  • Ghaza yafanya maziko makubwa zaidi ya halaiki ya Wapalestina 112 waliouliwa kikatili na Israel

    Ghaza yafanya maziko makubwa zaidi ya halaiki ya Wapalestina 112 waliouliwa kikatili na Israel

    Aug 05, 2026 03:04

    Wapalestina wamewazika watu 112 wa ukoo mmoja waliouawa katika mashambulizi ya kinyama ya anga yaliyofanywa na jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel mnamo Novemba 2023, baada ya mabaki yao kupatikana kutoka chini ya vifusi mwezi uliopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS