• Msalaba Mwekundu: Mfumo wa afya wa Gaza 'ni dhaifu mno'

    Msalaba Mwekundu: Mfumo wa afya wa Gaza 'ni dhaifu mno'

    Jun 09, 2025 11:28

    Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC) imeonya kuwa, mfumo wa huduma za afya katika Ukanda wa Gaza ni "dhaifu sana" wakati huu ambapo vita vya Israel vinaendelea katika eneo hilo lililozingirwa.

  • "Kuuawa viongozi wa Muqawama kunaimarisha irada ya Wapalestina"

    Jun 09, 2025 02:49

    Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imelaani vikali mauaji ya Israel dhidi ya afisa mashuhuri wa Muqawama na watu wengine 30 katika mji wa Gaza na kusisitiza kuwa, mauaji hayo yanayolenga viongozi wa mrengo wa mapambano kamwe hayatadhoofisha uthabiti na azma ya wananchi wa Palestina.

  • Hamas: Jinai za Israel Gaza zinashinda uhalifu wa Wanazi

    Hamas: Jinai za Israel Gaza zinashinda uhalifu wa Wanazi

    Jun 02, 2025 06:44

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amelaani shambulizi la karibuni la Israel dhidi ya wananchi wa Kipalestina wenye njaa waliouawa shahidi wakiendea chakula cha msaada kusini mwa Gaza, akibainisha kwamba mauaji haya yanatuma ujumbe wa wazi kwa ulimwengu wa Kiislamu kwamba wakati umefika wa kusimama dhidi ya wauaji.

  • Israel yaua Wapalestina 30 katika vituo vya misaada vya US, Gaza

    Israel yaua Wapalestina 30 katika vituo vya misaada vya US, Gaza

    Jun 01, 2025 07:15

    Vikosi vya utawala haramu wa Israel vimewamiminia risasi Wapalestina waliokuwa wamekusanyika katika vituo vya kusambaza misaada vinavyoendeshwa na kundi linaloungwa mkono na Marekani kusini na katikati mwa Gaza, na kuua shahidi takriban 30 miongoni mwao huko Rafah, huku Mpalestina mwingine akiuawa shahidi karibu na korido ya Netzarim.

  • Hamas yaafiki pendekezo la US la kuondoka askari wote wa Israel Gaza

    Hamas yaafiki pendekezo la US la kuondoka askari wote wa Israel Gaza

    May 29, 2025 06:07

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema imefikia makubaliano na Mjumbe Maalum wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi, Steve Witkoff kuhusu "mfumo jumla" wa kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza.

  • Mauaji Gaza; Majaji, mawakili 800 wa UK wataka Israel ifukuzwe UN

    Mauaji Gaza; Majaji, mawakili 800 wa UK wataka Israel ifukuzwe UN

    May 28, 2025 06:47

    Kundi la mawakili waandamizi, majaji wa zamani na wasomi wengine zaidi ya 800 wa Uingereza wameitaka serikali ya London kuuwekea vikwazo utawala wa Israel, na kushinikiza kusimamishwa uanachama wa Tel Aviv katika Umoja wa Mataifa.

  • Balozi wa Colombia: Dunia isifumbie macho mateso ya watu wa Gaza

    Balozi wa Colombia: Dunia isifumbie macho mateso ya watu wa Gaza

    May 27, 2025 06:38

    Jorge Ivan Ospina, balozi mpya wa Colombia katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema "ulimwengu haupaswi kuwafumbia macho" raia wa Palestina wanaoteseka huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu.

  • Iran yaitaka Vatican ichukue hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    Iran yaitaka Vatican ichukue hatua za haraka kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

    May 24, 2025 07:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, katika mkutano na maafisa wa Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican huko mjini Rome, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kimataifa kukomesha uhalifu unaoendelea kufanyika Gaza, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inafika katika eneo hilo lililozingirwa.

  • Hamas yapongeza mataifa 80 kwa kulaani jinai za Israel huko Gaza

    Hamas yapongeza mataifa 80 kwa kulaani jinai za Israel huko Gaza

    May 23, 2025 11:56

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imekaribisha kwa mikono miwili taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi 80 duniani, zikisisitiza kwamba Gaza inakabiliwa na mzozo mbaya zaidi wa kibinadamu tangu kuanza kwa vita vya Israel Oktoba 7 mwaka 2023.

  • Iran, Misri zataka kukomeshwa mashambulizi ya Israel huko Gaza

    Iran, Misri zataka kukomeshwa mashambulizi ya Israel huko Gaza

    May 14, 2025 02:46

    Wanadiplomasia wakuu wa Iran na Misri wamesisitiza kuwa kuna haja ya kukomeshwa mashambulizi ya utawla wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.