Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

    Israel yaendeleza ukatili Gaza, yaua shahidi Wapalestina wengine 33

    May 12, 2025 12:00

    Wapalestina wasiopungua 33 wameuawa shahidi katika muda wa saa 24 zilizopita huko Gaza, maafisa wa afya katika eneo hilo lililo chini ya mzingiro wameripoti.

  • Israel: Hatusitishi mashambulizi mpaka Wapalestina wafukuzwe Gaza; Syria igawanyishwe

    Israel: Hatusitishi mashambulizi mpaka Wapalestina wafukuzwe Gaza; Syria igawanyishwe

    Apr 30, 2025 10:19

    Waziri wa fedha mwenye misimamo ya kuchupa mipaka wa Israel, Bezalel Smotrich anasema utawala huo wa Kizayuni utasitisha tu uvamizi wake Gaza wakati "mamia ya maelfu" ya Wapalestina watalazimishwa kuyahama makazi yao; na Syria igawanyishwe vipande vipande.

  • Makumi ya wanawake, watoto wauawa na mabomu ya Wazayuni Gaza

    Makumi ya wanawake, watoto wauawa na mabomu ya Wazayuni Gaza

    Apr 16, 2025 14:51

    Mashambulizi makali ya anga ya utawala wa Kizayuni wa Israel yameua shahidi zaidi ya Wapalestina 20, wakiwemo wanawake na watoto wadogo katika Ukanda wa Gaza.

  • UN: Wapalestina 400,000 Gaza wamefurushwa makwao ndani ya wiki 3

    UN: Wapalestina 400,000 Gaza wamefurushwa makwao ndani ya wiki 3

    Apr 12, 2025 11:40

    Takwimu mpya za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa, idadi kubwa ya Wapalestina wamelazimika kuyahama makazi yao katika Ukanda wa Gaza tangu utawala haramu wa Israel uanzishe mashambulizi mapya baada ya kuvunja makubaliano ya usitishaji vita zaidi ya wiki tatu zilizopita.

  • Ripota wa UN: Muda wa kuwanusuru Wapalestina unazidi kuyoyoma

    Ripota wa UN: Muda wa kuwanusuru Wapalestina unazidi kuyoyoma

    Apr 11, 2025 02:06

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu masuala ya Palestina ameonya kwamba "hakuna muda mwingi uliobaki" kuwaokoa watu wa Palestina wakati huu ambapo Israel inaendeleza mashambulizi yake mtawalia katika Ukanda wa Gaza, na ukandamizaji unaoendelea katika Ukingo wa Magharibi.

  • Wapalestina wengine 40 wauawa shahidi Gaza na mabomu ya Wazayuni

    Wapalestina wengine 40 wauawa shahidi Gaza na mabomu ya Wazayuni

    Apr 10, 2025 02:54

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendelea kumwaga damu za Wapalestina; ambapo umewauwa Wapalestina karibu 40 wakiwemo watoto katika mashambulizi ya anga ya karibuni katika maeneo kadhaa katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa.

  • Watoto laki 6 wa Kipalestina Gaza katika hatari ya kupata ulemavu

    Watoto laki 6 wa Kipalestina Gaza katika hatari ya kupata ulemavu

    Apr 07, 2025 11:36

    Wizara ya Afya katika Ukanda wa Gaza imesema hatua ya Israel ya kuzuia kampeni ya chanjo ya ugonjwa wa kupooza wa polio inawaweka malaki ya watoto wa Kipalestina katika hatari ya kupata ulemavu wa kudumu.

  • Kilele cha ukatili wa Israel; Waliouawa shahidi Gaza wapindukia 50,200

    Kilele cha ukatili wa Israel; Waliouawa shahidi Gaza wapindukia 50,200

    Mar 28, 2025 07:30

    Jeshi katili la Israel ambalo lilianzisha mashambulizi mapya ya anga katika Ukanda wa Gaza mnamo Machi 18, limeendelea kupuuza miito ya jamii ya kimataifa ya kukomesha ukatili wake katika ukanda huo; ambapo mpaka sasa limeshaua shahidi Wapalestina karibu 900 na kujeruhi wengine karibu 2,000.

  • Jeshi katili la Israel laendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Jeshi katili la Israel laendelea kumwaga damu za Wapalestina Gaza

    Mar 25, 2025 02:51

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi Wapalestina wengine 17 katika mashambulizi ya alfajiri ya leo katika Ukanda wa Gaza, siku moja baada ya kuua shahidi Wapalestina zaidi ya 60 akiwemo ripota wa Al Jazeera, Hossam Shabat katika ukanda huo.

  • Iran: Kufurushwa Wapalestina Gaza ni muendelezo wa mauaji ya kimbari

    Iran: Kufurushwa Wapalestina Gaza ni muendelezo wa mauaji ya kimbari

    Mar 07, 2025 02:33

    Iran imesema kuwa, mpango wa kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Gaza na kuwapeleka katika nchi jirani ni kuendeleza mauaji ya kimbari kwa kutumia zana za kisiasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS