Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukanda wa Ghaza

  • HAMAS: Tony Blair hakaribishwi kuwa na nafasi yoyote katika uongozi wa Ghaza baada ya vita

    HAMAS: Tony Blair hakaribishwi kuwa na nafasi yoyote katika uongozi wa Ghaza baada ya vita

    Oct 12, 2025 05:44

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imeonya kwamba Tony Blair hatakaribishwa kuwa na nafasi yoyote ya uendeshaji wa Ghaza kufuatia kuanza kutekelezwa usitishaji vita katika eneo hilo la Palestina.

  • "Israel haiaminiki; Iran inaunga mkono kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza"

    Oct 12, 2025 02:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema Jamhuri ya Kiislamu inakaribisha kusitishwa kwa mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel katika Ukanda wa Gaza, huku akitoa indhari juu ya tabia ya kutokuwa na muamana Tel Aviv kwa kukiuka makubaliano kadhaa ya huko nyuma.

  • Iran: Tunaunga mkono mpango wowote wa kumaliza vita, mauaji ya kimbari Gaza

    Iran: Tunaunga mkono mpango wowote wa kumaliza vita, mauaji ya kimbari Gaza

    Oct 10, 2025 03:21

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba Jamhuri ya Kiislamu daima inaunga mkono mpango wowote unaolenga kukomesha vita na mauaji ya halaiki huko Gaza, na kusisitiza ulazima wa kuwa macho mkabala wa hulka ya utawala wa Israel ya kukiuka ahadi na makubaliano.

  • WHO: Watu 400 wameaga dunia kwa utapiamlo Ukanda wa Gaza tangu kuanza mwaka huu

    WHO: Watu 400 wameaga dunia kwa utapiamlo Ukanda wa Gaza tangu kuanza mwaka huu

    Oct 06, 2025 11:43

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limeripoti kuwa watu 400 wameaga dunia kw autapiamlo katika Ukanda wa Gaza kutokana na njaa ya makusudi iliyosaabishwa na Israel. Watoto 100 ni miongoni mwa idadi hii tajwa ya waliopoteza maisha kwa njaa; watoto 80 walikuwa na umri wa chini ya miaka mitano.

  • Wakfu wa Mandela walaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa Sumud

    Wakfu wa Mandela walaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa Sumud

    Oct 05, 2025 10:41

    Wakfu wa Nelson Mandela, taasisi isiyo ya kiserikali iliyoanzishwa kwa ajili ya kumbukumbu ya rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, imelaani amelaani vikali shambulio la utawala wa Israel dhidi ya msafara wa kimataifa wa meli nyingi wa Sumud uliokuwa ukielekea Ukanda wa Gaza, na kutaka kuachiwa mara moja kwa wanaharakati waliotekwa nyara na kuzuiliwa na askari wa majini wa Kizayuni.

  • Israel yampuuza Trump, yaendelea kuwaua Wapalestina Gaza; Hamas yalaani

    Israel yampuuza Trump, yaendelea kuwaua Wapalestina Gaza; Hamas yalaani

    Oct 05, 2025 02:47

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imemjia juu Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwa madai ya uwongo kuwa ameliamuru jeshi la utawala huo kupunguza mashambulizi yake katika Ukanda wa Gaza.

  • Pakistan: Mpango wa Trump kuhusu Ghaza ni tofauti na ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu

    Pakistan: Mpango wa Trump kuhusu Ghaza ni tofauti na ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu

    Oct 03, 2025 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan Ishaq Dar amesema mpango wa amani wa vipengele 20 uliopendekezwa na Rais wa Marekani Donald Trump kwa ajili ya Ghaza sio ule ulioidhinishwa na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu, ikiwemo Pakistan.

  • Jihadul Islami, Ansarullah zapinga mpango wa Trump-Netanyahu kuhusu Gaza

    Jihadul Islami, Ansarullah zapinga mpango wa Trump-Netanyahu kuhusu Gaza

    Oct 01, 2025 10:51

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Jihadul Islami ya Palestina amekosoa vikali mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani wenye vipengele 20 wa eti kumaliza vita vya mauaji ya halaiki ya Israel dhidi ya Gaza, na kuutaja kama "mfumo wa kuendeleza uchokozi na uvamizi wa Israel dhidi ya taifa la Palestina."

  • Rais wa Colombia: Trump anapasa kufungwa jela kwa jinai za Gaza

    Rais wa Colombia: Trump anapasa kufungwa jela kwa jinai za Gaza

    Oct 01, 2025 10:49

    Rais wa Colombia, Gustavo Petro amekosoa vikali sera za mwenzake wa Marekani na kusema kuwa, Donald Trump ni mshiriki wa mauaji ya kimbari huko Gaza na anapaswa kufungwa jela.

  • Russia: Hatutashiriki kwenye mpango wa Trump kuhusu Gaza

    Russia: Hatutashiriki kwenye mpango wa Trump kuhusu Gaza

    Oct 01, 2025 02:33

    Sambamba na kusisitizia utayarifu wa Russia wa kutatua mgogoro wa Asia Magharibi, Msemaji wa Ikulu ya Russia (Kremlin) amesisitiza kuwa Moscow haitashiriki katika mpango wa Rais wa Marekani juu ya Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS