-
Onyo la Guterres kuhusu ushindani na hatari ya vita vya nyuklia duniani
Sep 28, 2023 04:23Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu dunia kuingia katika mashindano mapya ya silaha za nyuklia ambayo yanaweza kueneza maafa duniani kote. Katika siku ya mwisho ya mkutano wa mwaka wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Katibu Mkuu wa Baraza la Usalama amesema mashindano ya silaha yanatia wasiwasi wa kuongezeka karibuni idadi ya silaha za nyuklia ulimwenguni.
-
Onyo kuhusu utumiwaji wa mabomu ya vishada katika vita vya Ukraine
Sep 16, 2023 08:44Utumiaji wa mabomu ya vishada katika vita vya Ukrainia na matokeo yake hatari yamewakasirisha watetezi wengi wa haki za binadamu na hata taasisi za kimataifa.
-
Raisi: Ukraine haijawasilisha ushahidi wa madai ya kutumwa silaha za Iran kwa Russia wakati wa vita
Sep 14, 2023 07:43Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Waukraine wameshindwa kuwasilisha nyaraka zozote zinazoonyesha kuwa, Jamhuri ya Kiislamu iliipatia silaha Russia wakati wa vita.
-
Njama mpya za Marekani za kushadidisha vita vya Ukraine
Sep 13, 2023 22:53Viongozi wa Marekani wametangaza kuwa, serikali ya Joe Biden imekaribia kupasisha muswada wa kuipa Ukraine makombora ya masafa marefu yenye uwezo wa kubeba mabomu ya vishada.
-
Russia yatungua droni 8 za Ukraine karibu na Crimea
Sep 10, 2023 07:05Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema mifumo ya ulinzi wa anga ya nchi hiyo imefanikiwa kutungua ndege nane zisizo na rubani (droni) za Ukraine zilizokuwa zinaruka katika anga ya Bahari Nyeusi karibu na eneo la Crimea.
-
Russia: Askari 66,000 wa Ukraine wameuawa katika kujibu mashambulio yetu
Sep 05, 2023 23:43Waziri wa Ulinzi wa Russia ameashiria mashambulio ya kigaidi yaliyofanywa na Ukraine dhidi ya maeneo ya raia nchini humo na kutoa takwimu za vifo na hasara za uharibifu ilizopata Kiev katika operesheni ilizotekeleza kujibu mashambulio ya Moscow.
-
Hatua mpya ya Marekani ya kukoleza moto wa vita: Kuipelekea Ukraine risasi zenye madini ya urani
Sep 03, 2023 05:19Serikali ya Rais Joe Biden wa Marekani imeamua kwa mara ya kwanza kuipatia Ukraine risasi zenye madini ya urani hafifu. Risasi hizo ni sehemu ya shehena mpya ya silaha ambayo itatangazwa mnamo siku zijazo.
-
Kubariki Marekani mpango wa kuipelekea Ukraine ndege za kivita aina ya F-16
Aug 21, 2023 05:45Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ametangaza kuwa Washington imeafiki kupelekewa Ukraine ndege za kivita aina ya F-16 kutoka nchi mbili wanachama wa shirika la kijeshi la NATO, yaani Denmark na Uholanzi, na kwamba hilo litafanyika baada ya kukamilishwa mchakato wa utoaji mafunzo kwa marubani wa Ukraine ya kuzitumia ndege hizo.
-
EU yashutumiwa kwa kuwabagua wakimbizi wa Kiafrika
Aug 19, 2023 00:22Umoja wa Ulaya umeendelea kukosolewa kwa kutekeleza sera za kibaguzi dhidi ya wakimbizi kutoka Ukraine kwa upande mmoja, na wale wanaotoka nchi za Afrika na bara Asia kwa upande wa pili.
-
Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine
Aug 13, 2023 07:01Misri imekataa ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine ikiwa ni katika sehemu ya mkakati wa Cairo ya kutopendelea upande wowote kwenye vita vya Ukraine na Russia.