Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ukristo

  • "Yesu wa Tongaren" afikishwa mahakamani nchini Kenya

    May 12, 2023 08:48

    Raia wa Kenya aliyejitangaza kuwa ni Yesu na kuanzisha Kanisa la New Jerusalem eneo la Tongaren, Bungoma, alitarajiwa kurejeshwa mahakamani leo Ijumaa baada ya kulala kwenye seli ya polisi.

  • Mchungaji Paul Mackenzie na wenzake kubakia rumande kwa siku 30 Kenya

    Mchungaji Paul Mackenzie na wenzake kubakia rumande kwa siku 30 Kenya

    May 10, 2023 11:46

    Mhubiri tata wa Kikristo Paul Mackenzie anayekabiliwa na tuhuma za kuwashawishi wafuasi wake wafunga ili wawe wa kwanza kwenda mbinguni na kukutana na Yesu, Paul Mackenzie na mkewe Rhoda Maweu pamoja na washukiwa wengine 16 watazuiliwa kwa siku 30 gerezani.

  • Rais wa Iran amtumia Papa Francis Salamu za Krismasi

    Rais wa Iran amtumia Papa Francis Salamu za Krismasi

    Dec 26, 2022 12:01

    Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za pongezi kwa mnasaba wa siku ya kuzaliwa Nabii Isa bin Maryam-Amani ya Mwenyezi Mungu Iwe Juu Yake-na kuwadia mwaka mpya wa Miladia.

  • Utafiti: Idadi ya Wakristo inazidi kupungua nchini Australia

    Utafiti: Idadi ya Wakristo inazidi kupungua nchini Australia

    Sep 10, 2022 02:22

    Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Takwimu ya Australia umefichua kuwa, Ukristo unazidi kuporomoka nchini humo, huku aghalabu ya raia wa nchi hiyo hakijiarifisha kama watu wasio na dini.

  • Mwisho wa Ulimwengu wa Kikristo

    Mwisho wa Ulimwengu wa Kikristo"... Je, nchi za Magharibi zinarudi kwenye upagani?

    Jul 25, 2022 11:30

    Mwandishi na mwanafalsafa wa Ufaransa, Chantal Delsol anasema kwamba ustaarabu unaotegemea mila na sheria za imani ya Kikristo umenyauka tangu mwisho wa karne ya 20, kwa sababu Ukristo unazidi kutoweka kama marejeo makuu ya sheria, desturi na maadili, baada ya kkutawala Uulaya na Magharibi kwa karibu karne 16.

  • PEW: Waislamu wataendelea kuongezeka kwa kasi duniani

    PEW: Waislamu wataendelea kuongezeka kwa kasi duniani

    May 29, 2017 03:43

    Shirika moja la utafiti nchini Marekani limesema uchunguzi umebaini kuwa, idadi ya Waislamu itazidi kuongezeka kwa kasi duniani.

  • Maaskofu wa Marekani watuhumiwa kuficha ufuska wa makasisi wa kuwanajisi watoto

    Maaskofu wa Marekani watuhumiwa kuficha ufuska wa makasisi wa kuwanajisi watoto

    Mar 03, 2016 07:52

    Maaskofu wawili wa Marekani wamepatikana na hatia kuwa walificha vitendo viovu vya makaksi wa Kikatoliki vya kuwanajisi watoto wadogo.

  • Mchungaji UK: Uislamu uko karibu na Issa AS zaidi kuliko Ukristo

    Mchungaji UK: Uislamu uko karibu na Issa AS zaidi kuliko Ukristo

    Feb 22, 2016 03:36

    Mchungaji mmoja nchini Uingereza amesema kuwa, mafundisho ya Kiislamu yako karibu na yale aliyoyafunza Yesu yaani Nabii Issa AS, kuliko mafundisho mengi yanayotolewa katika Makanisa ya Magharibi.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS