• Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akosoa ufuasi kipofu wa Ulaya kwa Marekani

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran akosoa ufuasi kipofu wa Ulaya kwa Marekani

    Apr 23, 2024 12:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekosoa uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuiwekea Iran vikwazo vilivyo kinyume cha sheria, akisema kuwa watu wa Ulaya hawapaswi kufuata ushauri wa Marekani wa kuuridhisha utawala mtendajinai wa Israel.

  • Wananchi wa Ulaya wakata tamaa, hawatarajii kupata ushindi Ukraine

    Wananchi wa Ulaya wakata tamaa, hawatarajii kupata ushindi Ukraine

    Feb 22, 2024 11:32

    Matokeo ya uchunguzi wa karibuni kabisa wa maoni yanaonesha kuwa, ni asilimia 10 tu ya wananchi wa nchi za Ulaya wanaoamini kwamba Ukraine inaweza kushinda kwenye vita vyake na Russia.

  • Hatua za undumakuwili za nchi za Ulaya kuhusu ugaidi

    Hatua za undumakuwili za nchi za Ulaya kuhusu ugaidi

    Jan 14, 2024 02:43

    Mahakama ya Rufaa ya Denmark inayojulikana kwa jina la "The Eastern High Court" Ijumaa tarehe 12 Januari ilipasisha hukumu ya kifungo jela kwa watu watatu ambao ni wanachama wa kundi linalotaka kujitenga la "Al Ahwaziya" ambao walituhumiwa kueneza ugaidi nchini na kukusanya taarifa za kijasusi kwa ajii ya Shirika la ujasusi la Saudi Arabia.

  • Kuongezeka upinzani dhidi ya Umoja wa Ulaya katika nchi za bara hilo

    Kuongezeka upinzani dhidi ya Umoja wa Ulaya katika nchi za bara hilo

    Nov 28, 2023 02:24

    Baada ya ushindi wa Geert Wilders, mgombea wa mrengo wa kulia wa Uholanzi katika uchaguzi wa nchi hiyo na kupendekeza kwake suala la Uholanzi kujiondoa katika Umoja wa Ulaya, Marine Le Pen, kiongozi wa chama cha mrengo wa kulia cha National Rally cha Ufaransa, pia amesisitiza haya ya Ufaransa kujiondoa katika Umoja wa Ulaya akisema: 'Hatupingi Ulaya, tunapinga Umoja wa Ulaya na ni kwa sababu tunaipenda Ulaya, ndio maana tunaupinga Umoja huo.'

  • Kuongezeka  upinzani dhidi ya vitendo vya kijinai vya utawala wa Kizayuni katika nchi za Magharibi

    Kuongezeka upinzani dhidi ya vitendo vya kijinai vya utawala wa Kizayuni katika nchi za Magharibi

    Nov 07, 2023 02:31

    Mwezi mmoja ukiwa umepita tangu kujiri operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa na utawala wa Kizayuni kuanzisha mashambulizi makali ya mabomu ambayo hajawahi kushuhudiwa tena huko Ghaza, ambayo yamepelekea kuuawa shahidi na kujeruhiwa makumi ya maelfu ya Wapalestina, wengi wao wakiwa ni watoto na wanawake, mwenendo wa upinzani dhidi ya vitendo hivyo vya jinai vya Israeli, umeongezeka sana duniani ikiwa ni pamoja na nchini Marekani, ambayo ni mwitifaki mkubwa wa Tel Aviv.

  • Wasiwasi wa viongozi wa Ulaya kuhusu kuenea barani humo uungaji mkono kwa taifa la Palestina

    Wasiwasi wa viongozi wa Ulaya kuhusu kuenea barani humo uungaji mkono kwa taifa la Palestina

    Nov 01, 2023 06:28

    Kutokana na kuendelea hujuma ya kinyama inayofanywa na utawala haramu wa Isreal katika Ukanda wa Ghaza na mauaji ya umati yanayofanywa kila siku na utawala huo dhidi ya Wapalestina hususan watoto na wanawake, mwenendo wa uungaji mkono wa kimataifa kwa kadhia ya Palestina na kulaaniwa vitendo vya jinai za Israel katika ukanda huo umeongezeka, suala ambalo limewatia wasiwasi mkubwa watawala wa Ulaya.

  • Vipimo viwili tofauti vya Ulaya kuhusu uhuru wa kujieleza; vitisho na adhabu kwa waungaji mkono wa Palestina

    Vipimo viwili tofauti vya Ulaya kuhusu uhuru wa kujieleza; vitisho na adhabu kwa waungaji mkono wa Palestina

    Oct 22, 2023 02:37

    Matukio ya hivi karibuni huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na Israel hasa baada ya mashambulizi ya Kimbunga cha Al-Aqsa na jibu la kinyama la utawala wa Kizayuni, hasa mashambulizi ya kikatili ya utawala huo dhidi ya wanawake na watoto wa Ukanda wa Ghaza, yameibua radiamali kali ya jamii ya kimataifa dhidi ya utawala huo.

  • NYT: Ukuaji wa uchumi wa Russia utaupiku wa US na EU

    NYT: Ukuaji wa uchumi wa Russia utaupiku wa US na EU

    Oct 12, 2023 02:32

    Gazeti la New York Times limeripoti kuwa, uchumi wa Russia ni imara na madhubuti kinyume na matarajio ya serikali za Magharibi, ambazo zilitazamia uchumi huo utalemazwa kikamilifu na vikwazo vyao dhidi ya Moscow.

  • Kupungua uzalishaji wa viwanda nchini Ujerumani; sababu na matokeo yake

    Kupungua uzalishaji wa viwanda nchini Ujerumani; sababu na matokeo yake

    Sep 09, 2023 10:52

    Wizara ya Uchumi na Teknolojia ya Ujerumani imeripoti kwamba uzalishaji wa viwanda nchini Julai iliyopita ulishuka kwa kasi kuliko ilivyotarajiwa, na hivyo kuweka wazi matatizo yanayoukabili uchumi mkubwa zaidi barani Ulaya.

  • Waislamu waghadhabishwa na kuchomwa moto Qur'ani Uholanzi

    Waislamu waghadhabishwa na kuchomwa moto Qur'ani Uholanzi

    Aug 19, 2023 10:28

    Waislamu katika kona zote za dunia wamehamakishwa na kitendo kingine cha kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu, mara hii katika mji wa The Hague nchini Uholanzi.