Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • UK: Biashara na Ulaya ni muhimu zaidi kwetu kuliko Marekani

    UK: Biashara na Ulaya ni muhimu zaidi kwetu kuliko Marekani

    Apr 27, 2025 02:31

    Waziri wa Hazina wa Uingereza, Rachel Reeves amesemaa kuwa, biashara baina ya nchi yake na Umoja wa Ulaya ni muhimu zaidi kuliko uhusiano wa kiuchumi na Marekani.

  • Wasiwasi wa Ulaya uliotokana na mgeuko mkubwa katika sera za Marekani kuhusiana na washirika wake

    Wasiwasi wa Ulaya uliotokana na mgeuko mkubwa katika sera za Marekani kuhusiana na washirika wake

    Apr 19, 2025 02:25

    Kubadilika sera za nje za Marekani kumeanza kidogo kidogo kuwatoa mafichoni wanasiasa wa Ulaya kwa kuwafanya waeleze kinagaubaga na kwa uwazi zaidi wasiwasi walionao kuhusu sera za Donald Trump za kujichukulia hatua za upande mmoja.

  • Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

    Vita vya ushuru kati ya Marekani na China: Beijing kukabiliana na ubabe wa Washington

    Apr 13, 2025 02:18

    Rais Xi Jin Ping wa China amesisitiza katika mazungumzo na Pedro Sanchez, Waziri Mku wa Uhispania ulazima wa kuimarisha ushirikiano kati ya China na Umoja wa Ulaya ili kukabiliana na hatua za upande moja za Marekani.

  • Sera za ushuru za Trump na ukuruba wa China na Ulaya

    Sera za ushuru za Trump na ukuruba wa China na Ulaya

    Apr 10, 2025 10:44

    Sera za ushuru za Rais Donald Trump wa Marekani zimegeuka kuwa vita vya kibiashara kati ya Marekani na waitifaki, washirika na wapinzani wake wa kibiashara.

  • Ulaya inapoteza itibari ya kimaadili kwa kuitetea Israel

    Ulaya inapoteza itibari ya kimaadili kwa kuitetea Israel

    Apr 07, 2025 07:26

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje Iran amesema bara Ulaya linapoteza itibari ya kimaadili kwa kuutetea utawala wa Kizayuni wa Israel na kwa msingi huo itajipata katika upande mbaya wa historia.

  • Jaribio la kwanza la kurusha roketi anga za juu barani Ulaya lafeli

    Jaribio la kwanza la kurusha roketi anga za juu barani Ulaya lafeli

    Mar 31, 2025 11:40

    Roketi la anga za juu la Ulaya limelipuka muda mfupi tu baada ya kuzinduliwa.

  • Marekani, Mshirika Asiyeaminika

    Marekani, Mshirika Asiyeaminika

    Mar 31, 2025 02:39

    Waziri Mkuu wa Canada, Mark Carney, ambaye amemrithi Justin Trudeau, amesisitiza kwamba atajibu hatua za Marekani dhidi ya nchi hiyo katika nyanja za kiuchumi na kibiashara, na amekiri kwamba: "Marekani si mshirika wa kuaminika tena."

  • Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

    Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

    Mar 28, 2025 06:04

    Mark Rutte, Katibu Mkuu wa NATO amesisitiza juu ya umoja wa pande mbili za Bahari ya Atlantiki na kusema kuwa changamoto za kiusalama duniani ni kubwa kiasi kwamba Ulaya na Marekani pake yazo haziwezi kukabiliana nazo.

  • Upinzani wa serikali ya Trump dhidi ya hatua za Ulaya za kupinga Russia

    Upinzani wa serikali ya Trump dhidi ya hatua za Ulaya za kupinga Russia

    Mar 26, 2025 02:39

    Baada ya kuchaguliwa tena kwa mara ya pili Rais Donald Trump wa Marekani sasa amegeukia mazungumzo ya moja kwa moja na Russia nchini Saudi Arabia ili kutimiza ahadi aliyotoa ya kuhitimisha vita huko Ukraine ambapo jumbe za Marekani na Russia tayari zimefanya duru ya pili ya mazungumzo huko Riyadh Saudi Arabia kuhusiana na suala hilo.

  • Peskov: Ulaya inashadidisha mzozo wa Ukraine kwa kuzidisha misaada yake ya kijeshi kwa nchi hiyo

    Peskov: Ulaya inashadidisha mzozo wa Ukraine kwa kuzidisha misaada yake ya kijeshi kwa nchi hiyo

    Mar 24, 2025 07:58

    Msemaji wa ikulu ya Russia (Kremlin) ametangaza kuwa Ulaya inachagiza mzozo wa UKraine kwa kuzidisha misaada ya kijeshi kwa nchi hiyo badala ya kutatua vyanzo vya mzozo huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS