-
Poland yaonya: Ulaya ipo katika ncha ya kutumbukia vitani
Jan 14, 2022 03:07Waziri wa Mambo ya Nje wa Poland ametahadharisha kuwa, bara Ulaya lipo katika hatari kubwa ya kutumbukia kwenye vita wakati huu, kuliko ilivyokuwa miongo mitatu iliyopita.
-
Barua za chuki dhidi ya Uislamu zasambazwa misikitini Uholanzi
Jan 04, 2022 07:59Wakfu wa Dini Uholanzi umelaani vikali kitendo cha kusambazwa barua zenye jumbe za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu katika misikiti kadhaa ya nchi hiyo ya Ulaya.
-
Russia yasimamisha kwa muda uwekaji mitambo ya makombora barani Ulaya
Dec 14, 2021 12:26Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema nchi hiyo imeamua kusimamisha kwa muda mpango wa kuweka mitambo yake ya makombora katika bara la Ulaya.
-
WHO: Huenda watu laki 5 zaidi watakufa kwa Corona Ulaya
Nov 21, 2021 10:56Shirika la Afya Dunia (WHO) limetahadharisha kuwa, yumkini watu laki tano wakapoteza maisha katika nchi za Ulaya kutokana na ugonjwa wa COVID-19 kufikia mwezi Machi mwaka ujao, iwapo hatua za dharura hazitachukuliwa.
-
WHO: Kesi za Corona zinapungua kila sehemu isipokuwa Ulaya
Nov 10, 2021 14:23Shirika la Afya Dunia (WHO) limeripoti kuwa, vifo vya ugonjwa wa COVID-19 vimeongezeka kwa asilimia 10 barani Ulaya katika kipindi cha wiki moja iliyopita, na kulifanya bara hilo kuwa eneo pekee duniani ambako vifo na maambukizi ya Corona yameongezeka kwa kiwango cha kutisha.
-
Taliban yazionya Marekani na nchi za Ulaya dhidi ya kuidhoofisha serikali yake
Oct 13, 2021 07:39Msimamizi wa Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya muda ya Taliban nchini Afghanistan amezitahadharisha tawala za Magharibi juu ya hatua yoyote ya kuudhoofisha utawala mpya ulioundwa na kundi hilo.
-
Hali mbaya ya wakimbizi wa Afghanistan nchini Marekani na Ulaya
Oct 11, 2021 09:47Kufuatia matukio ya kisiasa huko Afghanistan na Taliban kudhibiti hali ya mambo nchini humo, maelfu ya raia wa nchi hiyo waliamua kukimbilia Marekani na nchi za Ulaya wakidhani kuwa wangepata usalama na maisha mazuri huko.
-
Washington: Kwa sasa Russia ni tishio kubwa zaidi kwa Marekani kuliko China
Sep 19, 2021 07:16Naibu Waziri wa Ulinzi wa Marekani amedai kwamba kwa sasa Russia ni tishio kubwa kwa usalama wa nchi hiyo na Ulaya kuliko China.
-
Gazeti la Russia: Iran imefelisha njama za Marekani katika Bodi ya Magavana ya IAEA
Sep 15, 2021 06:24Gazeti la Kommersant la Russia limeandika kuwa, Iran imefelisha njama za Marekani na waitifaki wake wa Ulaya za kutaka kutoa azimio dhidi ya Tehran katika kikao cha Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).
-
Kushadidi chuki dhidi ya Uislamu na kuenea vitendo vya utumiaji mabavu katika ulimwengu wa Magharibi
Sep 15, 2021 02:32Kuenea chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika ulimwengu wa Magharibi hivi sasa limegeuka na kuwa tatizo kubwa na la kijamii, tatizo ambalo limeibua na kushadidisha vitendo vya utumiaji mabavu katika jamii ya Magharibi.