Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Ulaya

  • Jitihada za Marekani za kuishawishi Ulaya iungane na Washington dhidi ya China

    Jitihada za Marekani za kuishawishi Ulaya iungane na Washington dhidi ya China

    Jun 28, 2020 02:33

    Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump imezididisha mienendo yake ya kukabiliana na China katika nyuga mbalimbali. Mbali na kutaka kuitwisha Beijing matakwa yake katika nyanja za kibiashara na kiuchumi, sasa Marekani inaingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo hususan katika maeneo mawili ya Hong Kong na Xinjiang kwa kisingizio cha haki za binadamu.

  • Iran yakosoa kimya cha Ulaya mbele ya ukandamizaji na ukatili unaofanywa dhidi ya raia wa Marekani

    Iran yakosoa kimya cha Ulaya mbele ya ukandamizaji na ukatili unaofanywa dhidi ya raia wa Marekani

    Jun 21, 2020 10:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran kwa mara nyingine tena amekosoa kimya cha nchi za Ulaya mbele ya ukandamizaji na ukatili unaofanwa na vyombo vya dola vya serikali ya Marekani dhidi ya raia wa nchi hiyo.

  • Indhari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa nchi za Ulaya kuhusiana na JCPOA

    Indhari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa nchi za Ulaya kuhusiana na JCPOA

    Jun 19, 2020 11:51

    Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran imefanywa kisingizio na nchi tatu za Ulaya zilizomo kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA cha kukitumia katika Baraza la Magavana la wakala huo.

  • Kuungana watu wa Ulaya na maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Kuungana watu wa Ulaya na maandamano ya kupinga ubaguzi wa rangi nchini Marekani

    Jun 15, 2020 02:23

    Ukandamizaji na utumiaji mabavu wa polisi ya Marekani dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika licha ya kuwa una historia kongwe, lakini kuuawa Mmarekani mweusi George Floyd jinai iliyofanywa na polisi mweupe katika mji wa Minneapolis kwenye jimbo la Minnesota, sio tu kwamba, kumewasha moto wa malalamiko na maandamano ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika miji mbalimbali ya Marekani, bali malalamiko hayo yameenea hadi katika nchi za bara Ulaya.

  • Nchi nane za Ualaya: Tuko tayari kutambua rasmi nchi huru ya Palestina

    Nchi nane za Ualaya: Tuko tayari kutambua rasmi nchi huru ya Palestina

    Jun 12, 2020 10:04

    Mjumbe wa Kamati Kuu ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema kuwa nchi 8 za Ulaya zimetangaza kuwa ziko tayari kutambua rasmi nchi huru ya Palestina iwapo Israel itatwaa ardhi zaidi ya Ukingo wa Magharibi.

  • Katibu Mkuu wa NATO akiri: Mlingano wa nguvu duniani umebadilika

    Katibu Mkuu wa NATO akiri: Mlingano wa nguvu duniani umebadilika

    Jun 12, 2020 08:02

    Marekani ambayo ni kinara wa nchi za Magharibi imekuwa ikipinga suala la kuongezeka nguvu, ustawi na satua ya China katika uwanja wa kimataifa na imeitambua nchi hiyo kuwa ni tishio kwa ulimwengu wa Magharibi ikizitaka nchi za Ulaya kupunguza uhusiano wao na Beijing.

  • Wasiwasi wa Ulaya kuhusu kushamiri mrengo wa fikra za kibaguzi nchini Marekani

    Wasiwasi wa Ulaya kuhusu kushamiri mrengo wa fikra za kibaguzi nchini Marekani

    Jun 03, 2020 03:52

    Fikra za kuchupa mipaka za mrengo wa kulia zimeshamiri sana nchini Marekani katika kipindi cha uongozi wa Donald Trump kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa.

  • Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu, zichukue hatua za kivitendo

    Rais Rouhani: Nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu, zichukue hatua za kivitendo

    Jun 02, 2020 11:31

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, nchi za Ulaya zisiishie kulaani tu hatua zilizo kinyume cha sheria za Marekani, bali zitekeleze kivitendo majukumu yao.

  • Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani yasambaa duniani kote

    Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na ukatili wa polisi ya Marekani yasambaa duniani kote

    Jun 01, 2020 10:25

    Maandamano ya kulaani ubaguzi wa rangi na jinai ya polisi mweupe kumuuua Mmarekani mwenye asili ya Afrika sambamba na kuendelea kushuhudiwa katika miji na majimbo mbalimbali ya Marekani, lakini pia yamesambaa na kuenea kwa kasi katika nchi mbalimbali duniani hususan za Ulaya.

  • Wakuu wa Ulaya wauonya utawala wa Kizayuni usithubutu kuteka ardhi zaidi za Wapalestina

    Wakuu wa Ulaya wauonya utawala wa Kizayuni usithubutu kuteka ardhi zaidi za Wapalestina

    May 28, 2020 02:22

    Rais wa Ufaransa na mawaziri wakuu wa Italia, Uingereza na Uhispania wamemtumia ujumbe mbalimbali waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu na kumuonya kwamba, mpango wa Israel wa kuteka ardhi zaidi za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan utakuwa na madhara hatari na makubwa sana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS