-
Wananchi waandamana kote Iran kulaani kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na kuwekewa vikwazo IRGC
Jan 27, 2023 12:33Baada ya kuswali Sala ya Ijumaa, wananchi kote katikaa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wamejitokeza mitaani na kulaani hatua za hivi karibuni za nchi za Magharibi na Ulaya zikiongozwa na Marekani za kudhalilisha matukufu ya Kiislamu na kuliwekea vikwazo Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC).
-
Raisi: Kuivunjia heshima Qurani ni tusi kwa dini za mbinguni, utu
Jan 27, 2023 02:48Rais wa Iran amesema vitendo vya karibuni vya kuvunjia heshima Qurani Tukufu katika nchi kadhaa za Ulaya ni tusi kwa dini zote za mbinguni zenye asili ya Nabii Ibrahim (AS), na kwa jamii yote ya wanadamu.
-
Spika: Majlisi ya Iran itachukua 'hatua nzito' mkabala wa Bunge la Ulaya
Jan 21, 2023 10:25Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameashiria hatua ya Bunge la Ulaya iliyo dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na kusema kuwa, iwapo Ulaya inataka 'kufunga mlango wa mantiki' na kuunga mkono ugaidi, basi Jamhuri ya Kiislamu ipo tayari kuchukua hatua nzito ya kujibu mapigo.
-
Afisa wa Ufaransa atahadharisha kuhusu hatari ya ujasusi wa Marekani barani Ulaya
Jan 16, 2023 03:10Mkuu wa Kamandi ya Ulinzi wa Kimtandao wa Ufaransa ametahadharisha kuhusu hatari ya ujasusi wa Marekani kwa bara Ulaya.
-
Uingereza ni nchi ghali zaidi ya Ulaya kuishi
Jan 13, 2023 03:13Takwimu zinaonyesha kuwa Uingereza ndiyo nchi ghali zaidi yabarani Ulaya kuishi kutokana na matatizo makubwa ya kiuchumi na kifedha yanayoikabili nchi hiyo.
-
Fedheha! Uingereza yashindwa kutuma satalaiti yake anga za mbali
Jan 10, 2023 07:30Jaribio la Uingereza la kuwa nchi ya kwanza ya Ulaya kurusha satalaiti katika anga za mbali limegonga mwamba, huku kampuni ya Virgin Orbit ikitangaza kuwa roketi lake la kurushia satalaiti hiyo lilikubwa na hitilafu na kuifanya (satalaiti hiyo) ishindwe kufika katika anga za mbali.
-
Kukirihishwa polisi na vyombo vya habari vya Magharibi katika kukabiliana na kuakisi ugaidi wa Wazungu
Dec 27, 2022 02:28Shambulio la kigaidi na la ubaguzi wa rangi lililotokea hivi karibuni Paris, mji mkuu wa Ufaransa, kwa mara nyingine limeonesha jinsi polisi na vyombo vya habari vya Magharibi vinavyokirihishwa, kuchukizwa na kutopenda kabisa kukabiliana na kuakisi vitendo vya kigaidi vinavyoifanywa na Wazungu magaidi.
-
Mgogoro wa Ukraine wazisababishia hasara ya dola trilioni moja nchi za Ulaya
Dec 19, 2022 07:34Nchi za barani Ulaya zimepata hasara ya dola trilioni moja kutokana na mgogoro wa nishati ya kupaa vibaya bei ya bidhaa hiyo muhimu. Mgogoro huo umekuja baada ya kutokea vita vya Ukraine na nchi za Ulaya kuamua kuiwekea vikwazo Russia.
-
Russia: UN inapuuza ukatili dhidi ya wanawake wa Ukraine nchini Sweden
Dec 04, 2022 06:58Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Umoja wa Mataifa na mashirika ya kutetea haki za binadamu yanafumbia macho dhulma, unyanyasaji na ukatili dhidi ya wanawake wakimbizi wa Ukraine walioko Sweden.
-
Ukosoaji wa Moscow kwa msimamo mpya wa Umoja wa Ulaya na Ujerumani kuhusu mfumo mpya wa usalama wa Ulaya
Dec 04, 2022 02:39Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amekosoa matamshi ya Josep Borrell Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya na Annalena Baerbock Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani kuhusu ulazima wa kuanzishwa mfumo mpya wa usalama wa Ulaya dhidi ya Moscow.